Kwa wale wa mkoa wa Mbeya: Mwili wa John mtoto wa Mama John umewasili Jioni hii Kyela kwaajili ya Mazishi siku ya kesho


Kituo kipo mjini Mbeya, siyo mkoa wa Mbeya.
 
Poleni sana. John alikumbwa na nn?
 
Kituo kipo mjini Mbeya, siyo mkoa wa Mbeya.
Alipotoa maelezo Kituo kipo Mkoa was Mbeya anatoa ufafanuzi kwa watu mbalimbali ambao wanasoma hapa jf
Mtu ambae Yuko sehemu yoyote ya Tz au nje ya Tz anaweza kuelewa vizuri akiambiwa mkoa w Mbeya na sio neno Mbeya mjini
Kuna mtu ukimwambia Mbeya mjini hawezi kuelewa ndio kitu gani
Lakini ukisema mkoa was Mbeya anaelewa
Kuna mtu ukimwambia madale heelewi lakini ukisema madale iko mkoa w dsm ataelewa
So acha ushamba
 
Kwani chalamila kichwa kama mbegu ya ubuyu anasemaje
 
Umeandika kama vile wote tunatokea huko Mbeya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…