Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
Mimi nisiwe muongo hao nitawakumbuka wenyewe kama wenyewe siwezi kuwakumbuka kama john pombe maana huyo hjohn pombe namkubuka kwa mabaya zaid .Pumzika kwa amani John pamoja na mama John tunawakumbuka sana kama tunavyo mkumbuka john pombe
Mama John ni kituo cha daladala kwa wale wasioelewa kiko mkoa wa mbeya nadhani kituo kinachofuatia pale ni ccm hivo Mama john alishafariki lakini na huyo john ndio huyo kafariki, mtoa mada kafafanua kua watatajwa milele kwa kua kituo kitabaki miaka yote
JF raha sana wakati mwingine 😃😃😃Pesa zitusumbue na mafumbo yatusumbue
Boss unakimbilia kwa mama John nini 😃 😃😃Ilkuahe mpk kikairwa hvyo wadau, mnasahau sio wote wenyeji wa huko
Sasa Mbeya mjini iko mkoa was Shinyanga?Kituo kipo mjini Mbeya, siyo mkoa wa Mbeya.
Poleni sana. John alikumbwa na nn?Je, unafahamu sehemu inayoitwa Mama John?
Mwili wa John hatimaye umesafirishwa kuelekea Kijiji Cha Lugombo kata ya Mwaya wilaya ya kyela kwaajili ya Mazishi.
Atazikwa karibu na mama yake mtu maarufu mama John. Historia imemaliza mwendo Apumzike salama KAMANDA.
Walaaniwe walioudhulumu uhai wako vizazi vyote vitamtaja mama yako MAMA JOHN!
Alipotoa maelezo Kituo kipo Mkoa was Mbeya anatoa ufafanuzi kwa watu mbalimbali ambao wanasoma hapa jfKituo kipo mjini Mbeya, siyo mkoa wa Mbeya.
Nyama gani mkuu ajazie au ya kitimoto"Konda nashuka hapo kituo cha Mama John" kumbe ndiye huyo John mwenyewe, apumzike kwa amani, ila hujajazia nyama nyama mkuu
Aweke hata nyama ya punda tu itafaaNyama gani mkuu ajazie au ya kitimoto
For the record mbeya waligawa ikatoa mkoa wa songwe na mbeyaKituo kipo mjini Mbeya, siyo mkoa wa Mbeya.