Mie sipo single ila ningekua namhusudu sanaBinadamu tumeumbwa na hisia, ata tukijiweka bize sana katika utafutaji; mwisho wa siku tutaishia kwenye hisia tu.
Inawezekana kuna sababu nyingi zinaotufanya tusiwe na wenza; ila mwisho wa siku tunabaki na maumivu yetu.
Aya mlio singo, fungukeni; mngependa kuwa na mahusiano na nani humu?
Ukiona aibu shauri yako; waswahili wanasema mficha nini sijui hazai! mtamalizia wenyewe.
Karibu kwa chat!
Sanaaa[emoji1787][emoji1787]too muchoooo
Si kweli, mahusiano siku hizi yamekuwa biasharaKuna mtu anamfukuzia anasubiri amtaje aende PM [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
anajipa matumaini atatajwaHili swali mbona huwa unauliza sana mkuu?
Ninamiliki suruali tu, je nitakufaa πNakutamani wewe tena nnakutaka sanaaa
Nihusudu hata sahivi, naweza kukufikiriaa.Mie sipo single ila ningekua namhusudu sana
COCASTIC.
Wengi ni wajasiriamali humu πHamna alonitaja
Nnachojali ni upendo wa kweliNinamiliki suruali tu, je nitakufaa π
Samsoni na nguvu zake zote, kwa Delila alifeli πNnachojali ni upendo wa kweli
(maneno pendwa ya uongo kutoka kwa mwanamke)
sikuoni siku hizi jamaa angu umeadimika kwenye majukwaa labdda majukumu pengine kwema?UBUNTU BOTHO
Adam nae alinyooshwa na LilithSamsoni na nguvu zake zote, kwa Delila alifeli π
ππππMtakuja kupenda wanaume wenzenu umu kwa kufuata id shaur zenu
πππ kuna kitu nilitaka kusema ila acha nikaushe bffMaswali mengine bwana
πππππ raraa reree umeisikia hii?!!Leejay49 raraa reree hawa wanafaa kuwa wake wenza nitie ndani wote huwa nawapenda 50/50
πππ atalala na viatuNakutamani wewe tena nnakutaka sanaaa
ππππππWengi ni wajasiriamali humu π
Oya bro πππNnachojali ni upendo wa kweli
(maneno pendwa ya uongo kutoka kwa mwanamke)
Nimeiona Lamomy ππππππ raraa reree umeisikia hii?!!