Mtoto yupo wapi??? Me kuna manzi aisee nusu Nile maana mumewe alikuwa hashindi nyumbani kabisa na ndoa ilikuwa changa sema niliwazaa Sana nkaona sio poaaMimi siri yangu ambayo iko moyoni na inanitesa ni kumla mke wa jirani yangu na kumpa mimba(Zamani lakini) mpaka leo nikimwona jamaa huwa najutia sana, kweli kutoka moyoni najutia sana kitendo kile japo mkewe alikuwa mzuri sana
Hahaha... Kwa nini mkuu?Nawakumbusha tu,usije mwambia msukuma,mkerewe au mjita siri yako...ni heri ukatangaze kwenye station ya radio!
Aisee"... mimi najitahidi sana" nimtunza siri mzuri kiasi chake
Sasa hakikisha jina linabadilishwa kutoka Mjomba dau kama umeachiwa utamu upambane nao peke yako.ila Sasa hivi utakosa zile msg nzuri,maana aliyekuwa anamtumia ameshajivuaJamaa kasema niendelee nae tu maana hawezi rudia tena pale
Labda kweli ila siri nyingine zinanizidi uwezo.Kuna kitu tofauti Mungu kakiweka ndani yako/Pia mwonekano wako ndio maana wanakuja tu siyo Bahatimbaya
Mimi unakuta Mtu mzima au Hata wazee anakuja kuomba Ushauri au analalamika kwangu na anafunguka kweli,Maskini wa Mungu sina Elimu kubwa wala Maendeleo/Mali nyingi na wengine Wananiogopa ata namna ya kuanza kuongea nami Bc nikijiangalia najishangaa Najitafakari sina lolote wala Chochete.
Mungu wangu hiyo ya mwisho jamani Du.[emoji2955]Binadamu katika mazingira mbali mbali,ukumbana na majanga mbali mbali ambayo mengine ni hatari kabisa,
Kuna waliowahi kushuhudia mtu kiauawa na kukaa kimya
Kuna waliowahi kuona mtu anamloga mwingine wakatunza siri,
Kuna waliowahi kuona mwenzao anaibiwa wakakaa kimya,
Kuna waliowahi kushuhudia mtu anabakwa wakakaa kimya,
Kuna waliowahi shuhudia mtu au mke wa mtu anatembea na mwanaume mwingine wakakaa kimya,
Mi siri yangu ambayo sitakuja kuisema ni kamba nilimfumania mjomba mkubwa akiwa anatembea na mke wa mjomba mdogo alafu wakajua kwamba nimejua sikuwahi kuisema ilikanusha, yapata miaka 20 sasa,
Leo kuna rafiki yangu amenambia kwamba akiwa mdogo alimuua mtu akiwa Croatia mwaka 1994 , na hakuna aliyejua,
Mwingine (dr) akasema kuwa amewahi kumuinject mgonjwa UKIMWI kupitia syringe, na akakaa kimya maana alilipwa Hela ya kutosha
Najua na wee una siri umetunza tudokeze
Enjai ya kashai iwe cheiKwa hiyo mkuu umeamua kuitoa siri yangu ama kweli we ni koroooo.
Nabaki kyoma!Enjai ya kashai iwe chei
pole mkubwa, ni Kwa kuwa alikuita "Mjomba",Na Mjomba mdogo alishajitokezaKwa umri wangu nina wajukuu
Wala bila samahanipole mkubwa, ni Kwa kuwa alikuita "Mjomba",Na Mjomba mdogo alishajitokeza
Duh!! Hii chai mzee baba utatuua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dahh hakika kuna watu usiwaambie siri kuna jamaa mmoja anaitwa uncle mecky huyu bwana huwa anajulikana kwa Umbea viunga vya dar kuna siku alimkuta jamaa mmoja anatembea na mke wa Jirani yake, jamaa alivoona vile akamvuta uncle mecky pembeni na kumpa million 1 ili atunze siri, basi uncle mecky akamhakikishia jamaa hatasema. Baada ya week jamaa akasikia uncle mecky anaumwa sana kalazwa hospital akaona akamuangalie basi vile anafika hospital anauliza kwa Dr mgonjwa anaumwa nini akajibiwa ana joto tu Kali lkn kapimwa hana maradhi yyt. Mecky akamuita jamaa ebwana eeeh chukua hii million yako utakuja kuniua maaana nimevumilia huu Umbea nimeshindwa mpk joto limepanda mwilini
Ambiele wewe ni Me au Ke?Nilishawai kumla mbunge flan iv acha tuuu
Mbaya zaid ni mke wa mtu maisha haya
Kuuumbee..... [emoji16][emoji16][emoji16]bibi akiniita mchumba;babu anacheka tu
NDIYO HIVYO MKUUKuuumbee..... [emoji16][emoji16][emoji16]
Baby nimeanza kukuogopa!Kuna siri nyingine ninazo hadi nikianza kuziwaza naogopa mwenyewe.
Watu wamekua wakijiamini Sana wakikaa na Mimi kuongea mambo yao.
Nyingine nashindwa kuzibeba hadi nakua Kama mgonjwa ila ndo inakua siri tena nashindwa kuzitoa.
Kuna muda natamani ni mwambie MTU asiongee au kufanya kitu mbele yangu sababu ananipa mzigo wa kuanza kufikiria ila nakaa tu.
Wengine nawaulizaga hivi unajiamini nini kufanya/kuongea hiki mbele yangu.