Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa

Aiseeee.
 
Kwa nini upekua siri za mtu!ndo maana sipendi kutoa simu yangu
 
Mimi ninazo nyingi,na zinabaki kuwa siri tu. Nyingine nimeshatubia.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni mshakaji kweli au lugha ya fasihi imetumika [emoji23][emoji23]

just jockin ukata ni mbaya asee ukute jama now mambo yamekaa fresh anabak kujutia
Ndo mwanaume ukubali kutoa ndogoo..

Mimi na umaskini wangu na uanamke wangu Mara mia nidange nipate elf 5 wanangu wale kuliko kutoa tigo nipate milioni 10...!!!
 
Ndo mwanaume ukubali kutoa ndogoo..

Mimi na umaskini wangu na uanamke wangu Mara mia nidange nipate elf 5 wanangu wale kuliko kutoa tigo nipate milioni 10...!!!
huyo jamaa inaonekana alikuwa anatamani huo ujinga kitambo sasa akaona aisingizie shida

shida inasingiziwaga mambo mengi sana kumbe mengine ni mtu binafsi alikuwa anatamani kufanya sasa anapata kisingizio shida......
 
Kuna mzee mmoja ni rafiki yangu ila kwasasa anastress za kufa MTU
Alinihadithia kisa cha ajabu sana ambacho sitakisema mpk nipate notification za likes zisizopungua 50

Kifupi sana mzee huyu alizunguka karibu magereza yote makubwa tz kosa alilolifanya mwaka 1971 ndio lililompeleka jela akaacha kiasi cha pesa za Tanzania milioni moja na laki NNE amekifukia chini ya ardhi maeneo ya chuo cha ualimu korigwe tanga ametoka jela 1998 toka 1971 anasema anaamini hizo hela zipo mpk Leo ila hakuzifwata kwakuwa zilishabadilishwa noti na sarafu

Ni kisa cha kusisimua mno
 
Wee muhaya wacha misifa, hapo red ulitakiwa uandike Korosho sio Croatia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yaani aandike hivi. "kuna rafiki yangu amenambia kwamba akiwa mdogo alimuua mtu akiwa Korosho mwaka 1994 , na hakuna aliyejua,
 
Ha ha ha we jamaa snitch kweli kweli [emoji23][emoji23]
 
Ndo sio siri tena hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…