kitimotojikoni
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 408
- 1,003
Mimi huwa huwa najisikia furaha napokuwa natoa umbea halafu maboya fulani yako kodo macho na masikio kunisikiliza najiona kidume kwelikweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi siri yangu ambayo iko moyoni na inanitesa ni kumla mke wa jirani yangu na kumpa mimba(Zamani lakini) mpaka leo nikimwona jamaa huwa najutia sana, kweli kutoka moyoni najutia sana kitendo kile japo mkewe alikuwa mzuri sana
Kuua kwani ni siri hiyoMhh we umeua au?
unasiri unataka unipe?
hahaa nataka nisikie visanga vyako hapa' ..ilikuwaje mpaka ukamuacha Yule mangi muuza dukaunasiri unataka unipe?
😀😀😀hahaa nataka nisikie visanga vyako hapa' ..ilikuwaje mpaka ukamuacha Yule mangi muuza duka
hehee haya tirilika " vinginevyo nitakwenda kumwambia yule fataki kuwa wakati upo nayeye " pia ulikuwa unatoka na mangi
Hahahaha au alihusikaAlijuaje kuwa ni mafuta ya transformer?
Kwani ni nini mkuu?Kuua kwani ni siri hiyo
Boss, nini kilitokea?/ pole lakini, kwa sababu hii siri inaonekana ni nzito sanaKuna vitu sitakuja kuvisema hadi nazikwa, iwe kwa anaenifahamu au asiyenifaham. Iwe ni kwa kuandika au kwa kuongea. Sitakuja kusema.
Jamaa yako alikosa vya kuuza, mpaka akajiuza mwenyewe.Kuna mshkaji wangu alipigika kishenzi akawa weechat ,kumbe kuna mzungu anatafta wanaume wa kuwabandua ilikuwa mwaka 2014/5 kitu kama hicho , sasa jamaa alikuwa kapigika hana hela, katika kuchati weechat akamuona mzungu men, akamwambia nataka nyuma nakupa dollar 200 jamaa hakuchelewa, sasa siku moja nikamuomba simu yake yangu iliisha chaji, katika kupekuwa nikakuta meseji ya makubaliano ya kubanduliwa, nilishangaa sana nikaziangalia tena na tena, baadae kumrudishia simu yake na wala sijawahi kumwambia mtu yeyote yule, hata yeye sikumwambia kama nimejuaa ila nilimshusha value tokea siku hiyo nikahama na chumba nkazuga shangazi kaniita
Mbona umeisema sasaBinadamu katika mazingira mbali mbali,ukumbana na majanga mbali mbali ambayo mengine ni hatari kabisa,
Kuna waliowahi kushuhudia mtu kiauawa na kukaa kimya
Kuna waliowahi kuona mtu anamloga mwingine wakatunza siri,
Kuna waliowahi kuona mwenzao anaibiwa wakakaa kimya,
Kuna waliowahi kushuhudia mtu anabakwa wakakaa kimya,
Kuna waliowahi shuhudia mtu au mke wa mtu anatembea na mwanaume mwingine wakakaa kimya,
Mi siri yangu ambayo sitakuja kuisema ni kamba nilimfumania mjomba mkubwa akiwa anatembea na mke wa mjomba mdogo alafu wakajua kwamba nimejua sikuwahi kuisema ilikanusha, yapata miaka 20 sasa,
Leo kuna rafiki yangu amenambia kwamba akiwa mdogo alimuua mtu akiwa Croatia mwaka 1994 , na hakuna aliyejua,
Mwingine (dr) akasema kuwa amewahi kumuinject mgonjwa UKIMWI kupitia syringe, na akakaa kimya maana alilipwa Hela ya kutosha
Najua na wee una siri umetunza tudokeze