kitimotojikoni
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 408
- 1,003
Good wote kwa wingi mana kila nikiona huku na kule sioni mabadiliko ukuaji wa akili na mawazo, kazi tunayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama Sabrina jina zuri, mke wangu pia anaitwa Mama Sabrina. Enjoy!Huo umbea hata haukunifurahisha aisee
ShukraniMama Sabrina jina zuri, mke wangu pia anaitwa Mama Sabrina. Enjoy!
HahaahahhahaBila ivo ungeambulia sufuri
Shukrani
Kumbe upo jirani tu hapooAviator yako pia iko poa. Karibu Tarime.
Kumbe upo jirani tu hapoo
SikitakiiNdio. Njoo nikufundishe kikurya.
oooh kumbe na ww ni mkurya!Sikitakii
NdiyoHADI SISI WATU WA USALAMA TUNARUHUSIWA KUSHARE ?
Mim siwezi kutunza siri, memory ya kuhifadhi data ya kichwa changu kina mambo ya msingi sana ya kuhifadhi..
Siri kesho yake unakuta nimesha sema..
Mim nilisha wahi kumwona mama na mtoto wake wa kike wanamfukia kitoto kichanga.. Usiku hawakuniona kesho yake mapema nikaenda kulisanua..
Nikaja nikumwona msichana mmoja jirani alikuwa akiishi na mdogo wake wa kike dada mtu alikuwa ni fundi wa kushona alikuwa mjamzito ila hakuna aliekuwa anafahamu hakuwa anatoka nje ya nyumba hadi siku anajifungulia nyumbani mdogo wake yupo shuleni, mtoto akamtupa chooni nikashtuka nikalisanua
Kuna jamaa mmoja alikuwa na grosary yake ya kuuza pombe, ilikuwa karibu na kituo kikubwa cha polis, kumbe nyuma yake mchizi alikuwa anauza madawa ya kulevya, wacha nije nilisanue, kumbe pimbi alikuwa na connection na askari wa pale akaja kunshtukia wacha ale sahani moja na mim, wacha nilisanue karibia kituo kizima cha polis walihamishwa na ule mkoa nikahama mazima
Boss, nini kilitokea?/ pole lakini, kwa sababu hii siri inaonekana ni nzito sana
[emoji37][emoji37][emoji37][emoji37][emoji37]
Ni kawaida tuKwani ni nini mkuu?