Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukimwi ndio umeona jambo la msingi sana kwa binadam kudhulika??[emoji41][emoji41][emoji41]Halafu yule mbunge ana Ngoma.nilifanya siri sikukuambia,hizi siri we acha tu.
Labda shika huyo hahahaWee muhaya wacha misifa, hapo red ulitakiwa uandike Korosho sio Croatia
Hata ile niliyokwambia jana umeshaisema? Kweli wewe hutunzi siri[emoji23] [emoji23] [emoji23]Sikumbuki kama nina siri yoyote
Duuuh hii hatariiii sanaaNimekumbuka limamantilie limoja lilikuwa limanyofoa mavuzii kuweka kwenye vitumbua nikaliona likanibembeleza nisiseme, nikakaa kimya ila nkaachaga kununua kwake
Hamna mkuu tushirikishe japo kidogoHata sasa siwezi kuisema, Nikiisema Kizazi chote Kitapotea
Hapana Nitapoteza Vizazi Vingi sana.. Bora nife nayo kama Mrithi alivyokufa na kuniambia peke yangu.Hamna mkuu tushirikishe japo kidogo
Quote ya maana sana hii mjomba.We all have stories we'll never tell
Tumia code mkuu tutakuelewaHapana Nitapoteza Vizazi Vingi sana.. Bora nife nayo kama Mrithi alivyokufa na kuniambia peke yangu.
Tutakufa nazoQuote ya maana sana hii mjomba.
Mjomba Dau, Ramadhan Mzigua.Mjomba mdogo nipo hapa, usijiongopee hatujuani nishajua ngoja nikaliamshe sasa.Ila ngoja na mimi nifanye iwe siri
Mjomba Dau,Ramadhan Mzigua.
Umeshatuma ujumbe wa kusitisha mahusiano kwa yule binti aliyekuwa anakutumia msg nzuri alizotumiwa na mchumba wake?ukawa unajibu mahaba niue ondiek. Hiyo ni kwa mujibu wa mume mwenzakoNaaam
nadhani huyo ndiyo atakuwa Mjomba mkubwa sasaQuote ya maana sana hii mjomba.