hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
hahaaaWee muhaya wacha misifa, hapo red ulitakiwa uandike Korosho sio Croatia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaaaWee muhaya wacha misifa, hapo red ulitakiwa uandike Korosho sio Croatia
Huyo kubanduliwa ndio ilikuwa desturi yake "bora ulivyohama room Aisee"Kuna mshkaji wangu alipigika kishenzi akawa weechat ,kumbe kuna mzungu anatafta wanaume wa kuwabandua ilikuwa mwaka 2014/5 kitu kama hicho, sasa jamaa alikuwa kapigika hana hela, katika kuchati weechat akamuona mzungu men, akamwambia nataka nyuma nakupa dollar 200 jamaa hakuchelewa, sasa siku moja nikamuomba simu yake yangu iliisha chaji, katika kupekuwa nikakuta meseji ya makubaliano ya kubanduliwa, nilishangaa sana nikaziangalia tena na tena, baadae kumrudishia simu yake na wala sijawahi kumwambia mtu yeyote yule, hata yeye sikumwambia kama nimejuaa ila nilimshusha value tokea siku hiyo nikahama na chumba nkazuga shangazi kaniita
Acha masihara" Mavuzi tena "? kwenye bites ""!!!Nimekumbuka limamantilie limoja lilikuwa limanyofoa mavuzii kuweka kwenye vitumbua nikaliona likanibembeleza nisiseme, nikakaa kimya ila nkaachaga kununua kwake
Aisee"... mimi najitahidi sana" nimtunza siri mzuri kiasi chakeMsema kweli ni mpenzi wa mungu
Mimi binafsi sinaga siri kabsaa
Mtu akiniambia kitu halaf ati akasema hii iwe siri yako usimwambie mtu,hapo ndio ananituma kabxaa nikayaseme kwa watu
Aisee "Nakumbuka ilikuwa mwaka 2000 tulikuwa border ya Mozambique na Tanzania,kunajamaa tulikutana nao Wa Tanzania walikuwa wanavuka mto Ruvuma kuingia Mozambique,mmoja wao akawa amekuja upande Wa mozambique kuja kuangalia Usafiri huku wenzake kawaacha upande. Wa pili Tanzania,hawa jamaa walikuwa wakataa mbao.
Basi ikawa Usafiri kakosa na giza limeingia maana kuvuka mwisho ni saa 12jioni,basi tukawa tumekaa upande Wa Mozambique ofisi za uhamiaji huku tunaota moto na kupiga stori,alikuwepo askari mmoja wanawaita guardafrontere, yaani askari wa mpakani alikuwa amelewa ndiye aliyekuwa analinda ofisi au mwenyeji wetu, basi hawa wabongo wakapanga wakaibe mtumbwi wavuke usiku kama saa.
Tatu, na mvua ilikuwa inanyesha, huku askari yuko tungi amelala hajui kinachoendelea,baada ya kama nusu saa nikaona wanaludi mmoja,mmoja kimya huku wamelowa kuwauliza kulikoni?j Jamaa wanasema mtumbwi umepinduka wao wamejiokoa lakini jamaa mmoja mbogo amezama, ishu ikaja tumwambie askari huyu aliyelewa?nikawaambia wote tutafungwa na askari wa mozambiki hawana dogo Maadam kafa Mwenyewe tukae kimya, basi kesho Yake jamaa waliondoka na kuniacha peke yangu nilikuwa na ishu ya kukaa kama wiki pale.
Kati ya wale jamaa waliondoka mmoja si akasimulia kwenye kwenye Gari alilokuwa anasafiri nalo kwamba kuna jamaa anaitwa fulani amezama Jana usiku, kesho yake jioni ikabidi Ndugu zake waje, walipofika kuulizia kama Ndugu yao kazama, kila mtu anashangaa,mbona huku kuko shwari mpaka askari, hakuna anayejua zaidi ya Mimi, ikabidi waondoke warudi tena Tanzania, yule jamaa aliyezama alikuwa na wafanyakazi wake aliokuwa ameongozana nao, wakawa wanamsubiria nao hawajui kitu ,ilibidi serikali iingilie kati kumtafuta jamaa, walikuja kumpataa baada ya siku 10 huku na Mimi nimeshaondokaa, siri ni kitu kinachoweza kukuokoa
Hii itakuwa formular ya cocacola hiiHapana Nitapoteza Vizazi Vingi sana.. Bora nife nayo kama Mrithi alivyokufa na kuniambia peke yangu.
Umesahau MUHANawakumbusha tu,usije mwambia msukuma,mkerewe au mjita siri yako...ni heri ukatangaze kwenye station ya radio!
Jamaa kasema niendelee nae tu maana hawezi rudia tena paleumeshatuma ujumbe wa kusitisha mahusiano Kwa Yule binti aliyekuwa anakutumia msg nzuri alizotumiwa Na mchumba wake?ukawa unajibu mahaba niue ondiek.hiyo ni Kwa mujibu wa mume mwenzako
mimi ninayo ya mwenyekiti wa Chama chetu kile pendwa anavyotafuna ruzuku tu.Mimi ninayo ya jiwe
Kuchukua simu ya mtu na kukimbilia kusoma sms zake ni tabia za kike.Kuna mshkaji wangu alipigika kishenzi akawa weechat ,kumbe kuna mzungu anatafta wanaume wa kuwabandua ilikuwa mwaka 2014/5 kitu kama hicho , sasa jamaa alikuwa kapigika hana hela, katika kuchati weechat akamuona mzungu men, akamwambia nataka nyuma nakupa dollar 200 jamaa hakuchelewa, sasa siku moja nikamuomba simu yake yangu iliisha chaji, katika kupekuwa nikakuta meseji ya makubaliano ya kubanduliwa, nilishangaa sana nikaziangalia tena na tena, baadae kumrudishia simu yake na wala sijawahi kumwambia mtu yeyote yule, hata yeye sikumwambia kama nimejuaa ila nilimshusha value tokea siku hiyo nikahama na chumba nkazuga shangazi kaniita
Kuna siri Bora ufe Nazo tu..Hii itakuwa formular ya cocacola hii
Mhh we umeua au?Kweli siri zangu ni nyingi ila huwa najisemeaga moyoni na MUNGU tu zingine nasema naye na Shetani tu. Ila nawaza kwa mapana siku ya hukumu itakuwaje? Zingine ni zile ninazoweza kuwaambiaga wasio wahusu tu kweli siri kifo ila sometime inabidi tufe nazo maana tukisema tu du Ni aibu ya milele na zingine ni kuharibu maisha milele. Wacheni moyo jamani unabeba makubwa. Ila siri zote MUNGU anazijua zingine shetani ndio mshauri Mkuu tu hata MUNGU hataki kusikia maana ni siri chafu sana
Sema mkubwaNikisema hapa haitakuwa siri...dah...sema ni jambo kubwa sana lililoelekea kugharimu maisha ya mtu ....Aya Maisha aya kuna binadamu hawana utu
Ipi mkuuMimi ninayo ya jiwe