Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa

Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa

Hii inshu hata mi iliwahi nikuta nilionana na rafiki wa muda mrefu akanipa simu yake bahati mbaya ilikuwa hajayoka wasap nadhani alisahau ,nikasema ngoja niangalie chart moja anachart na mzungu weweeee nilitetemeka nilisikitikaa,yule mzungu anamuuliza huyu rafiki wangu wa kiume kuwa anapenda size ipi ya ub..anapenda style gani ,nikawaza kumbe watu wanaliwa halaf sasa alikuwa akiona mademu anavyowataka sasa mara niunganishie huyu ,na ni kijana mdogo kweli,nikasema simu hizi zina siri kweli
daaaah hatari sana.... ila sidhani kama shida inaweza mfanya mtu akafanya hayo aliyoyafanya ila tu shida inaweza kuwa kichocheo

yaani mtu alikuwa anatamani muda mrefu tu kufanya hayo mambo sasa anaamaua kuipa shida lawama kumbe..
 
Hii inshu hata mi iliwahi nikuta nilionana na rafiki wa muda mrefu akanipa simu yake bahati mbaya ilikuwa hajayoka wasap nadhani alisahau ,nikasema ngoja niangalie chart moja anachart na mzungu weweeee nilitetemeka nilisikitikaa,yule mzungu anamuuliza huyu rafiki wangu wa kiume kuwa anapenda size ipi ya ub..anapenda style gani ,nikawaza kumbe watu wanaliwa halaf sasa alikuwa akiona mademu anavyowataka sasa mara niunganishie huyu ,na ni kijana mdogo kweli,nikasema simu hizi zina siri kweli
alafu siku hizi mabraza men wengi wanaopenda maisha mazuri huku wakiwa wavivu kutafuta ndio mchezo wao ...

analiwa na wanaume wenzake wanampa pesa na yy anaenda kuhonga mtoto mzuriiiii..

wapo mjini hapa tunaishi nao sema ndio kila mtu na maisha yake na msalaba wake
 
lazima ujiskie vibaya.... kama tu mtu usiye mjua ukijua anajihusisha na usho.ga roho inauma sasa kwa mtu unayemjua sindio inakuwa balaa
Aliniumiza sana moyo ,halaf ukimuona alivyo ana akili kweli,tokea hapo nilikoma kushika simu ,zamani tena nikashika simu kuna watu nilikuwaga nawahisi vibaya tu,nikashika simu ya mmoja wao nikaaingia kuona chat zao mweee niliyoyakuta ,lakin nilifurahi maana niliona rangi zao na sikuwahi kuwaambia mpaka leo nikionana nao naongea nao vizuri tu,
 
Aliniumiza sana moyo ,halaf ukimuona alivyo ana akili kweli,tokea hapo nilikoma kushika simu ,zamani tena nikashika simu kuna watu nilikuwaga nawahisi vibaya tu,nikashika simu ya mmoja wao nikaaingia kuona chat zao mweee niliyoyakuta ,lakin nilifurahi maana niliona rangi zao na sikuwahi kuwaambia mpaka leo nikionana nao naongea nao vizuri tu,
hizi simu hizi acha tu watu waweke nywila 😂😂... zinaficha mengi sana
 
Hii inshu hata mi iliwahi nikuta nilionana na rafiki wa muda mrefu akanipa simu yake bahati mbaya ilikuwa hajayoka wasap nadhani alisahau ,nikasema ngoja niangalie chart moja anachart na mzungu weweeee nilitetemeka nilisikitikaa,yule mzungu anamuuliza huyu rafiki wangu wa kiume kuwa anapenda size ipi ya ub..anapenda style gani ,nikawaza kumbe watu wanaliwa halaf sasa alikuwa akiona mademu anavyowataka sasa mara niunganishie huyu ,na ni kijana mdogo kweli,nikasema simu hizi zina siri kweli
Mbona mmeisha wabongo aisee
 
Mi nikionaga kitu cha siri au cha ajabu nafuta kabisa sitaki kibaki [emoji23][emoji23][emoji23] ndio unajisahau unampa simu anachokonoa anayaona
😂😂😂😂😂 au kuna zile situation kuna kitu hutaki kionekana kwenye simu yako

alafu unamkuta mtu yupo na simu yako na ametoa lock daaaah unabaki na mawazo sijui ameona 😂😂😂
 
Aliniumiza sana moyo ,halaf ukimuona alivyo ana akili kweli,tokea hapo nilikoma kushika simu ,zamani tena nikashika simu kuna watu nilikuwaga nawahisi vibaya tu,nikashika simu ya mmoja wao nikaaingia kuona chat zao mweee niliyoyakuta ,lakin nilifurahi maana niliona rangi zao na sikuwahi kuwaambia mpaka leo nikionana nao naongea nao vizuri tu,
Aisee mbona ulikuwa na ukaribu na masho...ga hivyoo?? pole mzee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au kuna zile situation kuna kitu hutaki kionekana kwenye simu yako

alafu unamkuta mtu yupo na simu yako na ametoa lock daaaah unabaki na mawazo sijui ameona [emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi mtu akiomba simu yangu nauliza ya nini kama kuna kitu nimuoneshe tu labda G wangu ndio nampa wengine hata mdogo hunisema namnyima simu nami namuambia si ana simu yake
 
Mimi mtu akiomba simu yangu nauliza ya nini kama kuna kitu nimuoneshe tu labda G wangu ndio nampa wengine hata mdogo hunisema namnyima simu nami namuambia si ana simu yake
Hakika simu hii ina SIRI KALI za daraja la juu kabisa!

Kuna siri za muda mfupi, na SIRI za mpaka kiama!

Bila shaka siri zako katika simu ni aina hiyo ya pili za siri!🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hakika simu hii ina SIRI KALI za daraja la juu kabisa!

Kuna siri za muda mfupi, na SIRI za mpaka kiama!

Bila shaka siri zako katika simu ni aina hiyo ya pili za siri!🤣🤣🤣🤣🤣
Hapana ni kawaida tu ni ile mtu anakutumia video mbaya,sina siri inayonifanya mpaka moto uwake kwa mawazo
 
Back
Top Bottom