Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhMie siri ambayo nilisahau kuisema (huwa situnzi siri, hii ilitokea bahati mbaya siku mwambia mtu)
Kipindi hicho nilikuwa huko Tanzania (Dar), ninaishi katikati ya mji kwenye apartment fulani hivi, sasa usiku nikaenda kula chips kwa mgogo mmoja hivi hapo hapo karibu Posta, Lahaula nikakuta ndio analetewa mafuta ya transfoma na mteja wake!
Nilizuga sijaona ili asije akanidhuru.
Sikurudia tena kula chips za Mazengo, mxewuuuu
Ni siri kwa sababu muhusika hajajuaHizo zako siyo siri tena ila ya kwangu itasalia kuwa siri kiasi hata nafsi yangu haitakaa ijue
Kuna hotel flan ya wasomali hapo kariakoo inaitwa al uruba wanatengeneza eggchop ndani mayai ya plasticMie siri ambayo nilisahau kuisema (huwa situnzi siri, hii ilitokea bahati mbaya siku mwambia mtu)
Kipindi hicho nilikuwa huko Tanzania (Dar), ninaishi katikati ya mji kwenye apartment fulani hivi, sasa usiku nikaenda kula chips kwa mgogo mmoja hivi hapo hapo karibu Posta, Lahaula nikakuta ndio analetewa mafuta ya transfoma na mteja wake!
Nilizuga sijaona ili asije akanidhuru.
Sikurudia tena kula chips za Mazengo, mxewuuuu
Huenda ninachokiwaza ni sawa kuhusu wewe.siwezi kuja kusema tukio moja lilitokeaga _____ tareh 21 mwezi 5 mwaka 200_ na kusababisha kifo cha _____ aliyekuwa maharufu sana jijini ____
jiji lilizima baada ya taarifa za kifo cha _____ kusambaa huku ikisemekana ni majambazi ndio wamemuuwa na hawakuiba chochote
huku polisi wakisema ni tukio la ujambazi yaani hit and run kumbe hata wao hawajui ukweli
ukweli wa lile tukio ni kwamba vijana wa_____ ndio walihusika na mimi kipindi hicho nilikuwa nakaa pale_____ i used to call em bro's/uncles nao wakiniita _____ jr au dogo
walijiamini nini sijui kuongea mbele yangu nahisi ni sababu waliona ni kijana wa ____ mwenzao so siwezi kuwa a threat au one day nitawajoin Katika_____
nilikuja kugundua ilikuwa ni _____ task na ngoja iendelee kuwa hivyohivyo cha muhimu uhai tu
Hahahaah nilitaka kumaanisha nitazikwa nayo kaburini.😀😀😀😀 mkuu utakufa kaburini
we sio msiri basi ni msahaurifuMimi ni msiri sana mpaka siri nyengine nimezisahau.
kwenye jambo lolote huwa kuna majibu ya aina hii ...ndiyo/hapana.. kweli/sikweliHuenda ninachokiwaza ni sawa kuhusu wewe.
Teh poa mkuu ngoja ibaki siri yangu.kwenye jambo lolote huwa kuna majibu ya aina hii ...ndiyo/hapana.. kweli/sikweli
unachokiwaza kuhusu mimi majibu yake yapo hapo huenda ni kweli au si kweli since sijui ni kitu gani na ni bora kibaki kuwa siri pia
al uruba used to be my best spot kwa kula pilau/mnuso kama njaa ikinikutia nipo maeneo hayo... na lilikuwa tamu haswa... miss those daysKuna hotel flan ya wasomali hapo kariakoo inaitwa al uruba wanatengeneza eggchop ndani mayai ya plastic
pamoja sana mkuuTeh poa mkuu ngoja ibaki siri yangu.
Billie huwa hupati notification?we sio msiri basi ni msahaurifu