Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa

Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa

2013 kipindi nipo mererani nasaka maisha..kuna jamaa mmoja aliotea Tanzanite kiasi flani. kiasi kadhaa akampa boss kiasi kingine akataka akifiche.sasa ule wakati wa kulala ,kuna katabia fulani hivi ukipata jiwe.Na kutaka kuliiba inabidi utafute sehemu ya mbali na kambi ya kulala unaenda ficha mzigo wako unaufukia Asubuhi unaamka mapema unaenda kuutoa alafu unapanda nao Arusha mjini kwenda kuuza.sasa jamaa akategea wenzake wamelala yeye akaenda tafuta chimbo wakati huo anahakikisha hamna mtu anae mfuata .jamaa kaingia chaka kachimba shimo akafukia tanzanite yake. Alafu juu akaweka kajiwe kadogo kama land mark ili Asubuhi akachukue mzigo fasta. Kumbe kuna wahuni walimchora. jamaa ile kaingia camp kulala .Wahuni wakatoka saa hiyo nipo chaka napuliza mjani nikwasoma kabla hawajaniona .nikatupa kijiti fasta nikakikanyaga kizime maana wangesoma kwamba kuna mtu anawachora yupo macho nikaanza wafata mdogo mdogo nikaskia wanaanza kumtukana yule jamaa huku wanataja jina lake wakaingia lile chaka wakasogeza lile jiwe wakatoa ule mzigo mmoja akaangusha haja kubwa mwingine akamaliza na haja ndogo alafu wakafukia kama palivyokuwa wakaeka na kale kajiwe.maana walikuwa ni majamaa wa wili nnao wasoma. Sikuwahi kumwambia huyo jamaa maana angewaua wale waliomfanyia umafia

Duuuuh[emoji15][emoji15][emoji50]
 
2013 kipindi nipo mererani nasaka maisha..kuna jamaa mmoja aliotea Tanzanite kiasi flani. kiasi kadhaa akampa boss kiasi kingine akataka akifiche.sasa ule wakati wa kulala ,kuna katabia fulani hivi ukipata jiwe.Na kutaka kuliiba inabidi utafute sehemu ya mbali na kambi ya kulala unaenda ficha mzigo wako unaufukia Asubuhi unaamka mapema unaenda kuutoa alafu unapanda nao Arusha mjini kwenda kuuza.sasa jamaa akategea wenzake wamelala yeye akaenda tafuta chimbo wakati huo anahakikisha hamna mtu anae mfuata .jamaa kaingia chaka kachimba shimo akafukia tanzanite yake. Alafu juu akaweka kajiwe kadogo kama land mark ili Asubuhi akachukue mzigo fasta. Kumbe kuna wahuni walimchora. jamaa ile kaingia camp kulala .Wahuni wakatoka saa hiyo nipo chaka napuliza mjani nikwasoma kabla hawajaniona .nikatupa kijiti fasta nikakikanyaga kizime maana wangesoma kwamba kuna mtu anawachora yupo macho nikaanza wafata mdogo mdogo nikaskia wanaanza kumtukana yule jamaa huku wanataja jina lake wakaingia lile chaka wakasogeza lile jiwe wakatoa ule mzigo mmoja akaangusha haja kubwa mwingine akamaliza na haja ndogo alafu wakafukia kama palivyokuwa wakaeka na kale kajiwe.maana walikuwa ni majamaa wa wili nnao wasoma. Sikuwahi kumwambia huyo jamaa maana angewaua wale waliomfanyia umafia
Hatari
 
ila wazee ile foolish age ya kubarehe ...... Daaaaa hapana kwa kwelii siwez sema, ngoja tu iendelee kua siri yangu
Watu tumefanya vitu vya kipuuzi sana umri ule acha kabisaa......vingine huwez msimulia mtu yeyote
 
kuna mtu humu atafichua siri za mwenzake na wote wapo Jeiefu...

swala la muda tu
 
Kuna siri naisema kuna mzee mmoja anaheshimiwa sana sasa alikuja kupanga kwetu mke wake akawa amemuacha kijijini alipotoka, asubuhi nikawa nawahi shule bila kujali naenda kupeleka maji bafuni, nimakuta yupo anapiga PHd bafuni nikaa kimya sikuwahi kumsimlia mtu kama huyu mzee nilikuta anapiga shahada ya uzamilibation
 
2013 kipindi nipo mererani nasaka maisha..kuna jamaa mmoja aliotea Tanzanite kiasi flani. kiasi kadhaa akampa boss kiasi kingine akataka akifiche.sasa ule wakati wa kulala ,kuna katabia fulani hivi ukipata jiwe.Na kutaka kuliiba inabidi utafute sehemu ya mbali na kambi ya kulala unaenda ficha mzigo wako unaufukia Asubuhi unaamka mapema unaenda kuutoa alafu unapanda nao Arusha mjini kwenda kuuza.sasa jamaa akategea wenzake wamelala yeye akaenda tafuta chimbo wakati huo anahakikisha hamna mtu anae mfuata .jamaa kaingia chaka kachimba shimo akafukia tanzanite yake. Alafu juu akaweka kajiwe kadogo kama land mark ili Asubuhi akachukue mzigo fasta. Kumbe kuna wahuni walimchora. jamaa ile kaingia camp kulala .Wahuni wakatoka saa hiyo nipo chaka napuliza mjani nikwasoma kabla hawajaniona .nikatupa kijiti fasta nikakikanyaga kizime maana wangesoma kwamba kuna mtu anawachora yupo macho nikaanza wafata mdogo mdogo nikaskia wanaanza kumtukana yule jamaa huku wanataja jina lake wakaingia lile chaka wakasogeza lile jiwe wakatoa ule mzigo mmoja akaangusha haja kubwa mwingine akamaliza na haja ndogo alafu wakafukia kama palivyokuwa wakaeka na kale kajiwe.maana walikuwa ni majamaa wa wili nnao wasoma. Sikuwahi kumwambia huyo jamaa maana angewaua wale waliomfanyia umafia
 
Dahh hakika kuna watu usiwaambie siri kuna jamaa mmoja anaitwa uncle mecky huyu bwana huwa anajulikana kwa Umbea viunga vya dar kuna siku alimkuta jamaa mmoja anatembea na mke wa Jirani yake, jamaa alivoona vile akamvuta uncle mecky pembeni na kumpa million 1 ili atunze siri, basi uncle mecky akamhakikishia jamaa hatasema. Baada ya week jamaa akasikia uncle mecky anaumwa sana kalazwa hospital akaona akamuangalie basi vile anafika hospital anauliza kwa Dr mgonjwa anaumwa nini akajibiwa ana joto tu Kali lkn kapimwa hana maradhi yyt. Mecky akamuita jamaa ebwana eeeh chukua hii million yako utakuja kuniua maaana nimevumilia huu Umbea nimeshindwa mpk joto limepanda mwilini
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
mimi nna dada yangu nae mfata kuzaliwa hadi leo hua sielewi ni mapepo ama mizimu

akiota kitu kinatokea, ananimbiaga mambo mengi kiasi huwa naogopa hata kuwa nae karibu.

amewahi ota vifo vya ndugu, bahati za watu, mimi kupata/kukosa mishe

hadi leo sijawahi mwambia mtu kama ana uwezo huo zaidi huwa naogopa hata kumuuliza maana hakawii kukwambia kwamba kuna magumu mbeleni
Hata mie nikiota vitu huwa vinatokea ni kawaida tu
 
Kuna mshkaji wangu alipigika kishenzi akawa weechat ,kumbe kuna mzungu anatafta wanaume wa kuwabandua ilikuwa mwaka 2014/5 kitu kama hicho , sasa jamaa alikuwa kapigika hana hela, katika kuchati weechat akamuona mzungu men, akamwambia nataka nyuma nakupa dollar 200 jamaa hakuchelewa, sasa siku moja nikamuomba simu yake yangu iliisha chaji, katika kupekuwa nikakuta meseji ya makubaliano ya kubanduliwa, nilishangaa sana nikaziangalia tena na tena, baadae kumrudishia simu yake na wala sijawahi kumwambia mtu yeyote yule, hata yeye sikumwambia kama nimejuaa ila nilimshusha value tokea siku hiyo nikahama na chumba nkazuga shangazi kaniita
Mlipot kwa makonda
 
1988 ndani ya chumba cha mtihani wa kuhitimu kidato cha nne,tulipewa majibu ubaoni lakini si kwa maswali yoote baadhi walikuwa wanaruka wanaacha tufanye wenyewe. Ni siri ambayo sikuwahi kumwambia mtu yoyote.
 
1988 ndani ya chumba cha mtihani wa kuhitimu kidato cha nne,tulipewa majibu ubaoni lakini si kwa maswali yoote baadhi walikuwa wanaruka wanaacha tufanye wenyewe. Ni siri ambayo sikuwahi kumwambia mtu yoyote.
Najua Mlifauluu wengi sanaa! Ila hiyo sio sirii
 
Back
Top Bottom