Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa


Duuuuh[emoji15][emoji15][emoji50]
 
Hatari
 
ila wazee ile foolish age ya kubarehe ...... Daaaaa hapana kwa kwelii siwez sema, ngoja tu iendelee kua siri yangu
Watu tumefanya vitu vya kipuuzi sana umri ule acha kabisaa......vingine huwez msimulia mtu yeyote
 
Wakuu poromosha sili siliiiii siyo siri
 
kuna mtu humu atafichua siri za mwenzake na wote wapo Jeiefu...

swala la muda tu
 
Kuna siri naisema kuna mzee mmoja anaheshimiwa sana sasa alikuja kupanga kwetu mke wake akawa amemuacha kijijini alipotoka, asubuhi nikawa nawahi shule bila kujali naenda kupeleka maji bafuni, nimakuta yupo anapiga PHd bafuni nikaa kimya sikuwahi kumsimlia mtu kama huyu mzee nilikuta anapiga shahada ya uzamilibation
 
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hata mie nikiota vitu huwa vinatokea ni kawaida tu
 
Mlipot kwa makonda
 
1988 ndani ya chumba cha mtihani wa kuhitimu kidato cha nne,tulipewa majibu ubaoni lakini si kwa maswali yoote baadhi walikuwa wanaruka wanaacha tufanye wenyewe. Ni siri ambayo sikuwahi kumwambia mtu yoyote.
 
1988 ndani ya chumba cha mtihani wa kuhitimu kidato cha nne,tulipewa majibu ubaoni lakini si kwa maswali yoote baadhi walikuwa wanaruka wanaacha tufanye wenyewe. Ni siri ambayo sikuwahi kumwambia mtu yoyote.
Najua Mlifauluu wengi sanaa! Ila hiyo sio sirii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…