Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aseehh!Hii Kali![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mm nikiwa mdogo nilikua nanyandua kuku matetea Yale yanayo taga ndo mboo ilikua inaingia vizuri Sana. Kila nikinyandua walikua wanakufa ad leo sijisema Mana walikufa wengi maza alijua Ni ugonjwa. Mungu nisamehe kwa hili
Lofa wee!![emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]Hii siri nimekaa nayo sana, sas nashindwa kuitunza tena
jamani yale maji ya kwenye nazi na madafu mimi ndio nayawekaga
asanteni
Saaafi kabisa km tadinu tudanaTukiwa wapangaji wote kwenye nyumba flani hv, kuna mpangaji mmoja alikuwa mnoko sana maana ye alikuwa ndio mkusanyaji kodi na kumpelekea bosi. Sasa mpangaji huyu akajisahau akawa ana tutriti kama ye ndio bosi.
Nilikuwa na kibaisikeli changu cha gia cha kuendea kazini, sasa kilikuwa kinalala koridoni na pikipiki zake mbili aina ya triller ilikuwa ni lazima baiskeli niingize saa tano usiku wakati wa kulala na kutoa ilikuwa ye ndio anatoa maana alikuwa anawahi kuamka ili atoe vitu vyake vya duka lazima aanze pikipiki zake na baiskeli yangu
Sasa kuna siku nilisafiri kama siku mbili hv kurudi baiskeli sikuiona kumuuliza akanijibu hiyo baiskeli nilimwachia? Au kuna sehemu tuliandikiana kuwa nimemkabidhi? Nikapiga kimya upelelezi wangu nikagundua aliiuza buku 50, nikamfata dogo aliyeuziwa nikampa 50 yake nikarudi ghetto sikutaka kwenda polisi wala nn, alipoiona ghetto akauliza ehh umeipata nikamjibu si unaiona hapo
Baada ya mwezi niliamka saa 7 usiku na pakiti 4 za chumvi nikafungua tank za pikipiki zake nikamwaga ilipofika asubuhi pikipiki haziwaki hadi nahama pikipiki ziko stoo na kutu la kutosha aliogopa kuniuliza maana najua gereji walimwambia nini kilikumba pikipiki zake
Wewe inaweza kuwa mibange tu hiyo.. 😀Siku moja usiku mnene nimekaa nyuma ya nyumba nakula kitu changu, nikasikia kama vishindo nyumba ya jirani nikapanda ukuta nichungulie ile natoa kichwa nikakutana uso kwa uso na Mzee wa ile nyumba akiwa na mwanae wa kiume, mke wake na jamaa wengine wawili wote waliona kuwa niwewaona bangi yote ilikata kichwani nikarudi ndani mbio, hawakuwahi kuniuliza chochote na mimi sikumwambia mtu yeyote yule hadi mwaka jana nilienda nyumbani nikawa naongea na mama stori za mtaani nikajikuta namwambia nilichokiona siku ile ila nikamwambia kuwa makini walijua kuwa nimeona usije kumwambia mtu hii habari!
Acha tuAseehh!Hii Kali![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Walikuwa na ugomvi gani? huyo muuaji yupo hai?Sikujua nini hicho anamuwekea, utoto nao si unajua!...nilikuja kutafakari ile ishu ukubwani baada ya kujua ugomvi wao ndo nikaunganisha doti
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumuachie mungu tu hili linasumbua Sana akili yangu japo nilikua mdogo wakati huoWe siku unakata roho utalia kwiioo na moto wako siku ya hukumu huchangamani na mtu yoyote [emoji51]
Msema kweli ni mpenzi wa mungu
Mimi binafsi sinaga siri kabsaa
Mtu akiniambia kitu halaf ati akasema hii iwe siri yako usimwambie mtu,hapo ndio ananituma kabxaa nikayaseme kwa watu
Ohoooo!!!!Hapa mtaani kuna binti kuna binti amepata mimba ya mtu mwingine kajaribu kuitoa ikashindikana sasa kuna houseboy kahamia hapa kitaa hana muda ndio kukutana na binti wakaanzisha mahusiano hapo hapo binti akamwambia nimeshika mimba jamaa amekubali akijua mimba ni yake sahivi wanaishi wote wamepangisha, ila mtaani tunajua jamaa kaliwa
1. Ndugu yangu mmoja nyumba yao ilikuwa jirani sana. Siku moja nikamuona kupitia dirishani akimbaka mtoto wa jirani nyuma ya nyumba. Kitoto kilikuwa darasa la 3 na yeye akiwa 25 hivi. Sikuwahi kumwambia mtu mbaka leo.
2. Shangazi yangu aliyekuwa anakubalika sana kwa kujiheshimu akikaa Dar. Wakati fulani akaja kijijini. Tulikuwa na mpangaji mmoja mabanda ya nyumba alikuwa kitombi balaa. Basi anti nikamtonya. Hamaad siku moja akabaki peke yake nyumbani,niliporudi kutoka shule cha kwanza ilikuwa kupiga chabo mlangoni kwa mpangaji(mlango wa bati). Nikamkuta anti ndo anavaa chupi ametoka kutiwa. Ama kweli usimuamini mtu.
Ni hayo tu kwa uchache
Mi nikipata siri mpya ile ya zamani natoa sina muda wa kutunza siri nyingi nyingi mukichwa yangu
yaani kaja john kanipa siri yake hyo ntatunza bila shaka lakin akaja ana Juma akanipa hapo itabid nitoe ya john ntabaki na ya juma
Nilishuhudia raisi wa awamu ya tano akiwatafutia wanae na nduguze vitengo serikalini halafu watoto wa wenzie akawa akiwaambia wajiajiri bila aibu mbaya zaidi akawa anajiita raisi wa wanyonge.......mfano wa nduguze ninaowafamu ni mussa magufuri aliekuwa mwalimu wa chuo cha maendeleo ya jamii musoma na jesca magufuri huyu alipata division four na leo yuko serikalini kwenye wizara nyeti kabisaaaaaaaaaa
Hilo sio tatizo bro ...mbona kikwete aliwapa connection wanae akina kharfan kikwete lakini hatukusema....shida ni kuwabatiza watu unyonge kumbe anapiga..na marehemu alikuwa mpigaji sanaHata ni wewe ni wanao si ungewapa kazi jamani au sio ndugu[emoji23][emoji23]..
Hizo kazi mbili ndio zimekosesha kazi watanzani wote?!
Na yule dada mshonaji ?Mtoto alikuwa amesha fariki tayari, mtoto wa week moja,
Ila kesi iliendeshwa kiajabu ajabu, mara upelelezi hujakamilika mara upuuzi mtupu, watu walidakwa sana wa majirani sijui ile kesi ilikuja kufia wapi
😂😂😂Mim siwezi kutunza siri, memory ya kuhifadhi data ya kichwa changu kina mambo ya msingi sana ya kuhifadhi..
Siri kesho yake unakuta nimesha sema..
Mim nilisha wahi kumwona mama na mtoto wake wa kike wanamfukia kitoto kichanga.. Usiku hawakuniona kesho yake mapema nikaenda kulisanua..
Nikaja nikumwona msichana mmoja jirani alikuwa akiishi na mdogo wake wa kike dada mtu alikuwa ni fundi wa kushona alikuwa mjamzito ila hakuna aliekuwa anafahamu hakuwa anatoka nje ya nyumba hadi siku anajifungulia nyumbani mdogo wake yupo shuleni, mtoto akamtupa chooni nikashtuka nikalisanua
Kuna jamaa mmoja alikuwa na grosary yake ya kuuza pombe, ilikuwa karibu na kituo kikubwa cha polis, kumbe nyuma yake mchizi alikuwa anauza madawa ya kulevya, wacha nije nilisanue, kumbe pimbi alikuwa na connection na askari wa pale akaja kunshtukia wacha ale sahani moja na mim, wacha nilisanue karibia kituo kizima cha polis walihamishwa na ule mkoa nikahama mazima
mimi mwenyewe nilikuwa mtoto std 3 hiyo akili ningeitoa wapiHiyo ya kwanza ulitakiwa umuokoe huyo mtoto Na kumshtaki huyo kijana kuna vitu sio vya kufanya siri