Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa

Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa

Siku moja usiku mnene nimekaa nyuma ya nyumba nakula kitu changu, nikasikia kama vishindo nyumba ya jirani nikapanda ukuta nichungulie ile natoa kichwa nikakutana uso kwa uso na Mzee wa ile nyumba akiwa na mwanae wa kiume, mke wake na jamaa wengine wawili wote waliona kuwa niwewaona bangi yote ilikata kichwani nikarudi ndani mbio, hawakuwahi kuniuliza chochote na mimi sikumwambia mtu yeyote yule hadi mwaka jana nilienda nyumbani nikawa naongea na mama stori za mtaani nikajikuta namwambia nilichokiona siku ile ila nikamwambia kuwa makini walijua kuwa nimeona usije kumwambia mtu hii habari!
Walikua wanafanyaje?
 
Mi siku ya kitubio niliwahi kabla Padri hajaingia kwenye kale ka chumba nikakohoa akaja mke wangu kuungama basi babu yangu alishanifundisha kilatini mi nikakumbuka in nomine patris et filie eti spriritus sancte... nikakaa kimya yeye akaanza kutiririka....dah, niliambulia moja tu alipigana kwenye vikoba, nikamchimba biti kwamba aendelee kukumbuka na dhambi nyingine niombe nikakubuka maneno ya babu ...mea culpa, mea kulpa, mea maxima culpa....mengine nachapia halafu kimya...akasema zingine zipo ila nilikwisha kuziungama nikaona hapa ntapata presha wacha aondoke. mpaka sasa sijawahi kumwambia.
Kwema mseminari mwenzangu?
Umenikumbusha mbali sana.
Maisha yangu yote ya useminari alama kubwa nilipata 56%
 
Kama hujawahi ishi vijijini kwa wafugaji husezi elewa...

Tulikua tunafanya mapenzi na nguruwe, mbuzi na ng'ombe.. Kuna mmoja alivunjwa mbavu kwa teke la ng' ombe kwenye harakati za kumuingilia....
Astaghafirullah!!!

Ptuuuuuuuuuu
 
Hatari,

Baba mwenye nyumba yangu alifunaniwa ikabidi mchepuko auingize geto kwangu alafu akazuga ni demu wangu, wala sikumwambia mama huyo nilikaa kimya ,alafu demu lilikuwa powa sana yan hatari mno, nilitamani niligeukie ilikuwa saa mbili usiku mama mwenye nyumba yuko safari sasa aakarudi ghafla palichimbika balaa
Duh
 
Mie siri ambayo nilisahau kuisema (huwa situnzi siri, hii ilitokea bahati mbaya siku mwambia mtu)
Kipindi hicho nilikuwa huko Tanzania (Dar), ninaishi katikati ya mji kwenye apartment fulani hivi, sasa usiku nikaenda kula chips kwa mgogo mmoja hivi hapo hapo karibu Posta, Lahaula nikakuta ndio analetewa mafuta ya transfoma na mteja wake!
Nilizuga sijaona ili asije akanidhuru.
Sikurudia tena kula chips za Mazengo, mxewuuuu
Kwahiyo ulikuwa unakula
 
siwezi kuja kusema tukio moja lilitokeaga _____ tareh 21 mwezi 5 mwaka 200_ na kusababisha kifo cha _____ aliyekuwa maharufu sana jijini ____

jiji lilizima baada ya taarifa za kifo cha _____ kusambaa huku ikisemekana ni majambazi ndio wamemuuwa na hawakuiba chochote

huku polisi wakisema ni tukio la ujambazi yaani hit and run kumbe hata wao hawajui ukweli


ukweli wa lile tukio ni kwamba vijana wa_____ ndio walihusika na mimi kipindi hicho nilikuwa nakaa pale_____ i used to call em bro's/uncles nao wakiniita _____ jr au dogo

walijiamini nini sijui kuongea mbele yangu nahisi ni sababu waliona ni kijana wa __ mwenzao so siwezi kuwa a threat au one day nitawajoin Katika___

nilikuja kugundua ilikuwa ni _____ task na ngoja iendelee kuwa hivyohivyo cha muhimu uhai tu
Jaza nafasi zilizo achwa wazi
 
Back
Top Bottom