Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa

Nikisema itakua sio siri ngoja nikae kimya!
 
Mm nikiwa mdogo nilikua nanyandua kuku matetea Yale yanayo taga ndo mboo ilikua inaingia vizuri Sana. Kila nikinyandua walikua wanakufa ad leo sijisema Mana walikufa wengi maza alijua Ni ugonjwa. Mungu nisamehe kwa hili
Aseehh!Hii Kali![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Saaafi kabisa km tadinu tudana
 
Wewe inaweza kuwa mibange tu hiyo.. πŸ˜€
 
Ohoooo!!!!
 

Hiyo ya kwanza ulitakiwa umuokoe huyo mtoto Na kumshtaki huyo kijana kuna vitu sio vya kufanya siri
 
Mi nikipata siri mpya ile ya zamani natoa sina muda wa kutunza siri nyingi nyingi mukichwa yangu

yaani kaja john kanipa siri yake hyo ntatunza bila shaka lakin akaja ana Juma akanipa hapo itabid nitoe ya john ntabaki na ya juma

[emoji23][emoji23][emoji23]
 

Hata ni wewe ni wanao si ungewapa kazi jamani au sio ndugu[emoji23][emoji23]..
Hizo kazi mbili ndio zimekosesha kazi watanzani wote?!
 
Hata ni wewe ni wanao si ungewapa kazi jamani au sio ndugu[emoji23][emoji23]..
Hizo kazi mbili ndio zimekosesha kazi watanzani wote?!
Hilo sio tatizo bro ...mbona kikwete aliwapa connection wanae akina kharfan kikwete lakini hatukusema....shida ni kuwabatiza watu unyonge kumbe anapiga..na marehemu alikuwa mpigaji sana
 
Hapa kitaa kuna mwamba alikuwa akiuza mishikaki alikuwa akiuza miambili na kachumbari ilikuwa inauza hyo sio poa



Katika pita zangu vichochoroni usiku nimetoka mitaa ya Sudan temeke kupita pita nikaskia sauti mshike vizuri asikutie kucha mara ziba mdomo ile kusogea kwenye kile kijumba namkuta ye na wenzie wanachinja paka walishikwa na butwaa uzuri walinilipa nisiseme sijasema mpka leo na bado anauza




Kipindi natafuta maisha nilifika moshi nilikaa kwa balozi nyumba kumi nilikuwa mgeni hakuna nisiemjua kipindi naenda kipindi kile watoto walikuwa wakipotea potea hapo mtaani walikuwa wanamtafuta mtoto wanasema alikuwa akicheza na wenzake wakamuacha hawajui alienda wapi baada ya hapo basi bwana jirani kanikaribisha nimekaa kama siku mbili siku moja alitoka nikawa nazunguka kwenye chumba chake nasachi ili mradi nipate cha kuiba kinisaidie safarini maana nilikuwa naelekea migodini chuga


Nikakuta chungu kikubwa cheusi kama masinzi kimefunikwa ile kukifungua nakuta kichwa cha mtoto nilipigwa na shock.nikaduwaa kama dkt 5 nikaondoka nikarudishia mlango taratibu na vitu.kama nilivyovikuta nikasepa bila kuaga na begi langu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mi siku ya kitubio niliwahi kabla Padri hajaingia kwenye kale ka chumba nikakohoa akaja mke wangu kuungama basi babu yangu alishanifundisha kilatini mi nikakumbuka in nomine patris et filie eti spriritus sancte... nikakaa kimya yeye akaanza kutiririka....dah, niliambulia moja tu alipigana kwenye vikoba, nikamchimba biti kwamba aendelee kukumbuka na dhambi nyingine niombe nikakubuka maneno ya babu ...mea culpa, mea kulpa, mea maxima culpa....mengine nachapia halafu kimya...akasema zingine zipo ila nilikwisha kuziungama nikaona hapa ntapata presha wacha aondoke. mpaka sasa sijawahi kumwambia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…