kagombe
JF-Expert Member
- Mar 1, 2015
- 3,615
- 1,805
Maisa is tiuyBaada ya kugundua jirani analiwa na jirani Alafu baadae jirani aliyeliwa anafunga ndoa nakusimamiwa na jirani aliemla.
.Binadamu kweli sio wa mchezomchezo .
Naisha kama penati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisa is tiuyBaada ya kugundua jirani analiwa na jirani Alafu baadae jirani aliyeliwa anafunga ndoa nakusimamiwa na jirani aliemla.
.Binadamu kweli sio wa mchezomchezo .
NiliJUA sema nlikukaushia tu!!Mi nilimla mke wa balozi fulani ninatunza siri wee nikaja kusema hapa kwa mafumbo
Hivi kinachofanya mke wa mtu kuwa mtamu sana nini? Nimekumbuka utamu wa mke wa balozi - JamiiForums
Wala usiwe na shaka hizo sifa zako zitabaki salama lakini hiyo siku watatambua we ni binadamu unaweza kuteleza.Mimi najulikana sinaga siri na huwa sina tabia ya kujitungua au kumsingizia mtu alichosema
Kwa hivo nikisema uliyonaambia ntaaminika tu[emoji3]
mimi nna dada yangu nae mfata kuzaliwa hadi leo hua sielewi ni mapepo ama mizimu
akiota kitu kinatokea, ananimbiaga mambo mengi kiasi huwa naogopa hata kuwa nae karibu.
amewahi ota vifo vya ndugu, bahati za watu, mimi kupata/kukosa mishe
hadi leo sijawahi mwambia mtu kama ana uwezo huo zaidi huwa naogopa hata kumuuliza maana hakawii kukwambia kwamba kuna magumu mbeleni
nidokeze dadako kiduchuKuna moja hilo, sidhani kama nitakuja kumwambia mtu. I'll go down with it, ila nimeshatubu kwa mola.
Aisee siku ukija kusema kuhusu hao ndamaa itakuaa balaasiri nilizokaa nazo mpk leo ni mbili tu 1. Kuwa na mahusiano na mtoto wa mama mdogo tukiwa wadogo
2. Kusahau ndama wa mbuzi waliokuwa mapacha wakatumbukia shimo la choo jirani hii sitasahau maana nilivisikia vikilia chooni nikakauka. Tulitafuta sana siku hiyo na wazee wangu ilihali najua vimefia chooni..
Dah, sidhani aisee. Ingekuwa unaninong'oneza kwa bed huenda ningekuwa Samsoni [emoji16][emoji16]nidokeze dadako kiduchu
Vuta pumzi dada, atakudokezea, huyo tu anaonekana hana siri anayowrza kaa nayo, lazima mdomo uwashenidokeze dadako kiduchu
hahhahahahaha!siri za kitandan hazinogi!mm kwakweli sina siri nnayoijua....au inayonitesa!Dah, sidhani aisee. Ingekuwa unaninong'oneza kwa bed huenda ningekuwa Samsoni [emoji16][emoji16]
Mkuu ulibakwa?
Binafsi hiyo nikiikumbuka inanifanya nikose amani. Hujawahi kula haramu manengelo?
Hahaha, nitabaki na wewe ili tuifurahie dunia.hapana kbs aisee!njia zangu hazina makandokando ya kuogofya kwakweli! sasa na ww kwann ulifanya hivyo?huendi mbinguni😛
Hahaha, nitabaki na wewe ili tuifurahie dunia.
Kuna utakayowahi sema na yapo ambayo hadi unaenda kaburini hautawahi simulia mtu, labda marehemu au mizimu wenzako huko makabulini, au malaika akuhoji huko ili ujitetee hapo zitafichuka vinginevyo ungali hai no