Kwa wale waliozaliwa na waliowahi kuishi Tabora, tukumbushane vituko vya Mboka




Uko sahihi kabisa! Watoto wake nimecheza nao tangu enzi za tayari bado mpaka sasa hivi karibia wote wanafamilia zao. Walikuwa jirani zangu.
 
Nakumbuka Ile fainali ya kombe la Mgulunde Kati ya Milambo wanaume na Uyui sec ilichezwa siku mbili na Milambo kuchukua kombe tulitembeza kombe bado tabora boys. Maana macho ya kwanza Uyui tu liwafunga wakatoboa mipira. Acha kabisa.


Hahaa unamkumbuka jamaa flani walivaa skiert za uyui siku ya kwanza? Ally Mayai sijui ndiyo huyu alikuwa ni hatari, lkn Milambo tulikuwa na akina Rodrick, Goliath, Kimti, Method na nk team ile ilikuwa hatari sana.
 
Hahaa unamkumbuka jamaa flani walivaa skiert za uyui siku ya kwanza? Ally Mayai sijui ndiyo huyu alikuwa ni hatari, lkn Milambo tulikuwa na akina Rodrick, Goliath, Kimti, Method na nk team ile ilikuwa hatari sana.


Timu yeni ilikua vzr sn! Hao jamaa walikwenda Chuo cha Reli!

Kuna jamaa mwingine alikua anaitwa George Kifwewe alikua Beki!
 
Yule mpishi akikuwa akiitwa Msengi kafupi kalikuwa kanajidai kababe ka jikoni. Siku ambayo tulimpiga mwanajeshi tukaambiwa wajeda wanakuja Milambo wanafunzi wote hatukulala na uanaume wetu.
 
Yule mpishi akikuwa akiitwa Msengi kafupi kalikuwa kanajidai kababe ka jikoni. Siku ambayo tulimpiga mwanajeshi tukaambiwa wajeda wanakuja Milambo wanafunzi wote hatukulala na uanaume wetu.


Ha ha haaaaa! Kale kafupi keusi kalikua kanakaa mihogoni!

Wale walikua kwa kuiba vyakula vya wanafunzi km maharage! Teh Teh Teh Teh!
 

kuna mwalimu mwingine mwarabu alikuwa anaitwa Karim, alikuwa na mguu mmoja mlemavu, alifundisha gongoni primary, ndugu yake adam fundikira alias Adam Maroboti.

adam marobiti alikuwa na demu wake anaitwa salama mahewa. nasikia baadaye alimuoa kama mke wa pili.
 
Yule alikuja akawa Mwenyekiti Wa Chawata Tbr na akaacha kz ya ualimu!

 
je matunda ub..oo mmekula pale mbele ya kanisa la roma karibu na shule ya gongoni?
 


Aisee, Andrew alikuwa kama mwehu kabisa, nakumbuka hiyo 504 baba yao aliinunua kwa mwarabu gani sijui, ilikuwa rangi ya blue, hiyo gari ilikuwa kali sana aisee, na huyo dogo alikuwa akiiendesha kwa kasi sana, hakuna ambaye hakumfahamu Tbr kwa fujo zake, kuna kipindi walipata ajali mbaya wakiwa safarini Moshi na Landrover yao 109, huyo andrew alikuwamo, kulikua na dereva wao baba yao na mama yao, mama yao nadhani alipooza kabisa au alivunjika mkono kitu kama hicho. Mimi nilikuwa naishi hapo Kampuni ya sigara kwa juu... opp CRDB.

Pia usimsahau Dr Mhina, alimuoa mtoto mdogo kabisa alikuwa anaitwa Cecilia kama sijasahau jina, alimuoa baada tu ya kumaliza form 4.
 
Sikumbuki chochote cha Tabora zaidi ya mabus ya Palaye / Mpalaye (sijui kama spelling nimekosea) yalikuwa yanakwenda Urambo, au ukifika Tabora na train wakati mnabadilisha train kuingia ya Kigoma au ya Mpanda kwa wanaokwenda Urambo, kuna ambao walikuwa wanaibiwa na kila aina ya usanii. Kiukweli Tabora ilitakiwa iwe zaidi hata ya Mwanza kutokana na historia ya kutoa watu wengi mashuhuri kabla na baada ya Uhuru lakini ndio hivyo tena pakasahaulika (huwa nahisi palisahaulika sijui kwa kuwa tangu enzi zile wapinzani wa kweli walitokea pale au sijui wazawa wa pale hawapendi kujenga nyumbani once wanapoenda nje ya mkoa)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…