upendodaima
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 4,078
- 4,504
Nakumbuka enzi za kutoroka shule kwenda kuangalia mpira kwa Mrema na Sonda..zile bar sijui bado zipo?mitaa ya nation n'gambo kariakoo na cheyo tuliosoma boys tunahusika sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakumbuka enzi za kutoroka shule kwenda kuangalia mpira kwa Mrema na Sonda..zile bar sijui bado zipo?mitaa ya nation n'gambo kariakoo na cheyo tuliosoma boys tunahusika sana
Baadae Tabora Boys tukawa na Akilimali Yahya..acha kabisa Ummiseta ilikuwa Ummiseta kweli.Mgulunde cup au Ummiseta ilikuwa balaa,Mihayo wana jamaa anaitwa Zai,Tabora boys kuna Renatus Njohole na Wilfred Kidau,Uyui yuko Ally Mayai na kipa aitwaye Dave halafu Kazima kuna kajamaa walikuwa wakikaita Nteze,Milambo kuna foward alikuja chezea Shinyanga shooting alikuwa na matege hivi.Kwa kweli ilikuwa zaidi ya burudani.
Nilikuwa nakaa nyumba za polisi railway nasoma cheyo, hayo maembe yamenihusu sana mkubwa!Vipi kuhusu kupopoa maembe kule cheyo mbele ya karakana ya relwe.
Mrema bado IPO,nadhani Sonda ni Hostel ya wanafunziNakumbuka enzi za kutoroka shule kwenda kuangalia mpira kwa Mrema na Sonda..zile bar sijui bado zipo?
Hahahaaaa chezea mboka Manyema weweTabora kuna matunda ambayo sijawahi kuyaona sehemu nyingine yoyote ya Tanzania. Mbula, Nsalansi, Ndati, Magongoti,mfulu, ntalali etc
mwanaisungu namkumbuka Caft, alimaliza wadada wa uyui na uhazili mwisho akaja kufa na gonjwa hili, nakumbuka discko toto badala ya kwenda kanisani unaenda isungu, daah! pale Tabora miaka ile wasichana wa uhazili ndio wazuri aisee maisha haya?! Namkumbuka Major, Juma Nge, Salum Stuwa, Uther ndio walikuwa mabrother man wa town, loo.. maisha yale ya utoto yalikuwa matamu sana.Achana naye huyi mnyamwezi
je angekuwa ndiye mwenye Forim si wengi tungefukuzwa?
Mada anazoziongelea ni za miaka ya 90 kuja mbele
wakati Mwanaisungu kaja pale nje ya geti kuweka kaukumbi ka Disco mwaka 1982 kanikuta
na kalikuta Disco la TH (Tabora Hotel ya Railways) linapiga
Isevya malambo ya minga na maji kutuama hata uwanja wa Ally Hassan Mwinyi haujafikiriwa
leo watu wanataka wa Tabora tu
Mwaka gani huo meti??Nakumbuka nilivyoingia milambo high school nikapita mitaa ya chem chem kila nyumba nasikia harufu ya pilau ukiangalia nyumba zilivyopinda nilichoka.
Hii INA maana gani kaka?Kwetu Bukoba tunawaita RUKANGA EMANZI
Kudhalishana tuTabora muuza maembe anatekwa na anaibiwa na wezi wanasakwa bila kupatikana, niliwahi kumshuudia mama mmoja anapika supu mtaani anasema kaibiwa masufuria na ndoo ya kunawia.
Ukimtaka dada hupati shida, unamtongoza tena kwao na kaka mtu akiwepo anashuhudia ...akizingua unampa buku anakuruhusu unasepa na dadaake
[emoji23][emoji23][emoji23]nzega ndio om mkuu nimesoma nyasa one ,Kwa mimi wa Nzega naikumbuka HINDOCHA, ilikua bas flan hiv Leyland inaondoka Nzg alfajir kuelekea Tabora ndo ilkua basi pekee kipind hcho,
Nilikuwa na demu pale kwa mrema siku moja madafu akanikuta ilikuwa bonge la noma pale shule.Nakumbuka enzi za kutoroka shule kwenda kuangalia mpira kwa Mrema na Sonda..zile bar sijui bado zipo?
Hahahaa,we jamaa umenikumbusha Madafu na amri zake za kila mwanafunzi awe kanyoa nywele ndani ya nusu saa..Nilikuwa na demu pale kwa mrema siku moja madafu akanikuta ilikuwa bonge la noma pale shule.