Kwa wale waliozaliwa na waliowahi kuishi Tabora, tukumbushane vituko vya Mboka

Kwa wale waliozaliwa na waliowahi kuishi Tabora, tukumbushane vituko vya Mboka

Hapo mihayo pana kanisa pembeni na uwanja wa basketball. Hilo kanisa lilitumika kama Hall la kusomea chuo cha SAUT.
Hilo kanisa lilisamehewa kodi kwenye miradi yake yote wakati ule wakati sehemu zingine zote kodi ilikuwa inaendelea kama kawaida enzi zile .
 
Hilo kanisa lilisamehewa kodi kwenye miradi yake yote wakati ule wakati sehemu zingine zote kodi ilikuwa inaendelea kama kawaida enzi zile .
Kanisa la kumbukumbu ya askofu Mihayo wa Jimbo kuu la Mboka miaka ya 1980+ walitangaza dau kupaka rangi msaraba juu ya paa la kanisa mafundi rangi wakachemka
 
Kanisa la kumbukumbu ya askofu Mihayo wa Jimbo kuu la Mboka miaka ya 1980+ walitangaza dau kupaka rangi msaraba juu ya paa la kanisa mafundi rangi wakachemka
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hio ilikuwa story tu bro.
Mimi nilikuwa nasoma hapo Isike miaka hio.
Ule msalaba mpk unaota kutu hakuna mtu aliwahi kupanda kule kupiga rangi.

Tatizo lilikuwa vifaa.
Wazungu dunia nzima wanaweka misalaba Juu kabisa ili mgeni akiingia ktk mji ajue kuna Wakristo hapo na mji huo uko chini yao.

Siku hizi wamekata tamaa.
Magorofa mengi mno.
Misalaba haionekani
 
Tabora hasa mkiizingumzia isevya mnanichoma moyo kabisa baada ya miaka 30 ndo nimerudi mboka tena..karibuni jmn mboka pamekucha sana seheme za starehe za sasa ni gamalo terrace oxygen vimajo mboka ni lami tupu jmn magufuli oooyeeeeee
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hio ilikuwa story tu bro.
Mimi nilikuwa nasoma hapo Isike miaka hio.
Ule msalaba mpk unaota kutu hakuna mtu aliwahi kupanda kule kupiga rangi.

Tatizo lilikuwa vifaa.
Wazungu dunia nzima wanaweka misalaba Juu kabisa ili mgeni akiingia ktk mji ajue kuna Wakristo hapo na mji huo uko chini yao.

Siku hizi wamekata tamaa.
Magorofa mengi mno.
Misalaba haionekani
Kumbe ni story sio mie nilisoma Mihayo Primary 1978-1984 kuna mwaka kulikua na Jubilee miaka 100 ya Jimbo wakapaka rangi kanisa lote ila kile kimchongoko juu ya paa na msalaba wakachemka
 
Miaka ya 90 huko sisi wa kiloleni chimbo letu la siku kuu lilikuwa kwa Bhakharesa kula koni.
Watoto wa uswazi mdundiko zilikuwa ngoma zetu na wimbo kama ---hayaa twendee[emoji444]hayaa twendeee[emoji444]wapiiii[emoji444]kwa Bhakharesaaa[emoji444]kwa Bhakharesa kwa niniiii[emoji444]konii na mlijaaaa[emoji444]---.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Rafiki Yangu kahtaan bora tupige story tukumbushane mambo ya nyuma kuliko mijadala ya Imani kule!

Mwanangu umemtaja Yule Mwehu Teacher umenikumbusha mbali sn! Nakupa majina ya wehu wengine! Malingumu na mwingine Roshi, na Aziza Moka na Yule Muhindi Wa kwa Athumani Store na Amani Mwehu, Mwajuma Ringa?


Vp wawakumbuka wale Mbuzi waliokua wanajichunga wenyewe?

Wayakumbuka mabasi ya Mpalaye?

Mboka Manyema ni balaaaa Mkuu!
Teh teh teh
Ntuzu. Tabora imeisha walenga wote
Siku hizi kuna wahamiaji tu.

Miaka ile ya 80 mpk 90 ndio ilikuwa Tabora.
Wazee wote wamesha tungulia mbele ya haki.

Yule mdosi wa athuman store alikuwa mstaarabu sana .
baskeli yake anaipamba vitambaa na taa km gari.
Leo tabora wamevamia wahutu na wageni wengi mno.
 
Mbona umepaniki... tulia kidogo basi,
kuwa mkubwa sio tatizo,maana kwa kipindi hicho tu kuwa High level inatosha kuonyesha kuwa ulikuwa mkubwa tu,Ila hapa tunakumbushana tu utamu wa Tabora hususani kwa watu tuliokuwa hatujuani .
Haujakosea, akina kalovya ndipo walipokuwa wanakaa, na ni kweli HK alikuwa ana dada zake na kaka yao mkubwa( majina nimesahau).Nilichogundua ni kuwa, ulikuwa shabiki wa Basketball lakini haukucheza.nimekuwekea picha ya miaka hiyo uangalie na kutambua wachezaji( Wengi wao wametajwa kwenye uzi huu.Ukizungumzia High level, walikuwepo akina Salehe Kimenya na wengineo.Hakuna sehemu nimeleta ubishi, rudia post yangu.naamini sote tulikuwa watoto wa "DUGU" PATEL, R.I.P, chini ya mkuu msaidizi Mwl.Mkatakona R.I.P na walimu kama , Mr Mbosori R.I.P, Mr Machibwa,Mr Mrisho (Mtaalam wa Hesabu),Mwalimu mmoja wa Biology, alikuwa na jina gumu tukampa nickname Agama Agama nk hawa wote walikuwa baadhi ya walimu wa O level.
Agama Agama Lizard.. alikuwa mtata sana
 
nilisoma boizia 95_97, njia yetu kwenda mjin kwa kumuogopa MADAFU ilikuwa chocho za Rufita_National_Kitete_then Kanyenye, tulikuwa tunakula bakora za maafande hasa afande CHACHA_kumamamamake. mahasimu wetu MIRAMBO kwa ajili ya geloz na wote tulikuwa ni mapenz ya barua tu yaan hata mkikutana huwez kumwambia_unapiga story nyingine halaf mwishon unatupia letter akasomee chumban
Mwalimu Madafu.😂😂😂😂🙏
 
Aposele naikumbuka ingawa nimesahau ilikuwa wapi, mama mpuguso naye vipi? anakumbukwa? na wale wahindi kina mukesh na sailesh je? walikuwa na garage. mukesh alikuwa anaendesha pikipiki ndo ilikuwa icon yake. nani anakumbuka bizeta hotel?
Mama Mpuguso.Mama wa Ramadhani Nyanga na Hashim Nyanga.Kanyenye moja.
 
Back
Top Bottom