Hilo kanisa lilisamehewa kodi kwenye miradi yake yote wakati ule wakati sehemu zingine zote kodi ilikuwa inaendelea kama kawaida enzi zile .Hapo mihayo pana kanisa pembeni na uwanja wa basketball. Hilo kanisa lilitumika kama Hall la kusomea chuo cha SAUT.
Kanisa la kumbukumbu ya askofu Mihayo wa Jimbo kuu la Mboka miaka ya 1980+ walitangaza dau kupaka rangi msaraba juu ya paa la kanisa mafundi rangi wakachemkaHilo kanisa lilisamehewa kodi kwenye miradi yake yote wakati ule wakati sehemu zingine zote kodi ilikuwa inaendelea kama kawaida enzi zile .
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kanisa la kumbukumbu ya askofu Mihayo wa Jimbo kuu la Mboka miaka ya 1980+ walitangaza dau kupaka rangi msaraba juu ya paa la kanisa mafundi rangi wakachemka
Kumbe ni story sio mie nilisoma Mihayo Primary 1978-1984 kuna mwaka kulikua na Jubilee miaka 100 ya Jimbo wakapaka rangi kanisa lote ila kile kimchongoko juu ya paa na msalaba wakachemka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hio ilikuwa story tu bro.
Mimi nilikuwa nasoma hapo Isike miaka hio.
Ule msalaba mpk unaota kutu hakuna mtu aliwahi kupanda kule kupiga rangi.
Tatizo lilikuwa vifaa.
Wazungu dunia nzima wanaweka misalaba Juu kabisa ili mgeni akiingia ktk mji ajue kuna Wakristo hapo na mji huo uko chini yao.
Siku hizi wamekata tamaa.
Magorofa mengi mno.
Misalaba haionekani
Mwenzio wa miaka ya 90 huko,sasa wewe unaongelea oxygen ya juzi hapa.[emoji23][emoji23][emoji23]Hupajui oxygen wewe
Pia Ndati,makuwaa,mpuguswa,salasi,ntonga.πππUmesahau mengine yanaitwa Mfulu Na Magongoti!
Teh teh tehRafiki Yangu kahtaan bora tupige story tukumbushane mambo ya nyuma kuliko mijadala ya Imani kule!
Mwanangu umemtaja Yule Mwehu Teacher umenikumbusha mbali sn! Nakupa majina ya wehu wengine! Malingumu na mwingine Roshi, na Aziza Moka na Yule Muhindi Wa kwa Athumani Store na Amani Mwehu, Mwajuma Ringa?
Vp wawakumbuka wale Mbuzi waliokua wanajichunga wenyewe?
Wayakumbuka mabasi ya Mpalaye?
Mboka Manyema ni balaaaa Mkuu!
Ntonga na ntalali mpk leo zipo.Pia Ndati,makuwaa,mpuguswa,salasi,ntonga.πππ
Agama Agama Lizard.. alikuwa mtata sanaMbona umepaniki... tulia kidogo basi,
kuwa mkubwa sio tatizo,maana kwa kipindi hicho tu kuwa High level inatosha kuonyesha kuwa ulikuwa mkubwa tu,Ila hapa tunakumbushana tu utamu wa Tabora hususani kwa watu tuliokuwa hatujuani .
Haujakosea, akina kalovya ndipo walipokuwa wanakaa, na ni kweli HK alikuwa ana dada zake na kaka yao mkubwa( majina nimesahau).Nilichogundua ni kuwa, ulikuwa shabiki wa Basketball lakini haukucheza.nimekuwekea picha ya miaka hiyo uangalie na kutambua wachezaji( Wengi wao wametajwa kwenye uzi huu.Ukizungumzia High level, walikuwepo akina Salehe Kimenya na wengineo.Hakuna sehemu nimeleta ubishi, rudia post yangu.naamini sote tulikuwa watoto wa "DUGU" PATEL, R.I.P, chini ya mkuu msaidizi Mwl.Mkatakona R.I.P na walimu kama , Mr Mbosori R.I.P, Mr Machibwa,Mr Mrisho (Mtaalam wa Hesabu),Mwalimu mmoja wa Biology, alikuwa na jina gumu tukampa nickname Agama Agama nk hawa wote walikuwa baadhi ya walimu wa O level.
Fifi alikua digala mkubwa sana wa magogo na mbao pale mitaa ya kiyungi, pia alikua na watoto wengi sana baadhi yao ni Eliza, Kulwa, Doto na Kadala.Vipi kuhusu story za Fifi?
Tabora hakuna sehemu inaitwa Kaloleni.kaloleni milambo.
Mwalimu Madafu.πππππnilisoma boizia 95_97, njia yetu kwenda mjin kwa kumuogopa MADAFU ilikuwa chocho za Rufita_National_Kitete_then Kanyenye, tulikuwa tunakula bakora za maafande hasa afande CHACHA_kumamamamake. mahasimu wetu MIRAMBO kwa ajili ya geloz na wote tulikuwa ni mapenz ya barua tu yaan hata mkikutana huwez kumwambia_unapiga story nyingine halaf mwishon unatupia letter akasomee chumban
Mwalimu Moshi bado yupo hai? Mwl Misago bado yupo anasumbuliwa na uzee tu, jipangeni mumtembelee atafarijika sanaWale Wa Kitete na cheo A. Mwamkumbuka Mwalimu Makori? Mlekwa? Misago? Ntabaye? Sabura?
Mama Mpuguso.Mama wa Ramadhani Nyanga na Hashim Nyanga.Kanyenye moja.Aposele naikumbuka ingawa nimesahau ilikuwa wapi, mama mpuguso naye vipi? anakumbukwa? na wale wahindi kina mukesh na sailesh je? walikuwa na garage. mukesh alikuwa anaendesha pikipiki ndo ilikuwa icon yake. nani anakumbuka bizeta hotel?
Uzuri wa kondoo.Aposele ipo karibu na station! Ile njia ya vumbi inayokwenda Boma la jeshi.
Baadaye kule Bachu.I think so.
Sina hakika kama alikuwa anajihusisha na Abortion lakini ndiye aliyekuwa dokta maarufu sana akijihusisha na kutibu matatizo ya wakina mama Pale Hospital ya Mkoa(Kitete)
Aisee! Yaani walikua wanampiga mbupu maza wao? Ulisikia wapi ndugu?Mwanagu Hiyo familia ya Dk Kobelo walichoka sn Alafu alizaa matoto machizi!
Yalikua yakilewa mipombe yanamrudi mama Yao Wa Kirusi na kushiriki nae!
Teh Teh Teh teh!