Kwa wale waliozaliwa na waliowahi kuishi Tabora, tukumbushane vituko vya Mboka

Dr. Kobelo kazichomoa sana mimba za wanafunzi Tabora.
Alikuwa anasema kumdu mkewe lazima alewe kwanza. Ila inasikitisha mkewe na watoto wote waliishia kuwa machizi sijui ni bangi au Mungu alimuadhibu kwa kuua vichanga maelfu.
Kumdu mkewe lazima alewe kwanza? Mkewe hakua anavutia? Au alikua mzee sana nini?
 
πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜› Nope. Mimi siyo mtu wa Mboka. Iselamagazi ni user name tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…