Kwa wale waliozaliwa na waliowahi kuishi Tabora, tukumbushane vituko vya Mboka



Mkuu ile mihongo ilikua inaitwa Kapile Au makapile!

Na kwa wale waliosoma Kazima wanamkumbuka Mwalimu Babu Au Peter!

Vp na wale Wa Chipkizi? Mwamkumbuka Mwalimu Kisanji?
 
Duu sitasahau ugomvi wa Tabora boys na milambo wakigombea mademu wa kazima Enzi hizo kazima kulikuwa
na warembo....mwenye no ya evelini kisenge tafadhali....fungulia dog ya mwanaisungu club.tuliopo Dar tutafutane jamani


Mwanangu ule ugomvi naikumbuka! Watu walikimbia kwenye majaruba kule karibu na hostel ya wanafunzi Wa kike Wa Kazima!

Wapi Zai Kilowoko?

Huyu Kisenge yupi Mkuu?
 


Wale Wa Kitete na cheo A. Mwamkumbuka Mwalimu Makori? Mlekwa? Misago? Ntabaye? Sabura?
 


Abasi Mchemba, Qurash Kasimu Ufunguo, Peter Ombopa, Said John, Said Bena!

Unankumbuka Bongisa? George, Mputa? Ally Gabugila? Hawa walikua Timu ya Polisi pale!
 


Enzi za wababe akina Gosho Ninja!

Enzi ya timu ya Amka Ya Nzega!

Duh! Things will never be the same again!
 

Teh teh teh teh!

Mkuu umenichekesha sana leo kumtaja roshi na mwajuma ringa! Au kwa jina jingine mwajuma miwanja

Na unamkumbuka jeta mwehu! Alikuwa anaishi mtaa wa stendi ya bus ya zamani!
Mshenzi yule alikuwa matusi yake kwa nyerere tu!
 
Last edited by a moderator:
Wale Wa Kitete na cheo A. Mwamkumbuka Mwalimu Makori? Mlekwa? Misago? Ntabaye? Sabura?

Aisee we unamjua Sabura !?

Nikisema sana unaweza kunijua na mimi!
Teh teh teh!
Mimi na Sabura ni mtu na mjomba wake!

Na wakati ule wa ujana bata zangu nilikuwa nalia kule rufita club na jumamosi naruka nyoka pale mwanaisungu!

Kwi kwi kwi kwi!

Duhh! Haki ya mama Tabora siwezi sahau

Unamkumbuka mzee Mushi wa TBR by night!?
 
Enzi za wababe akina Gosho Ninja!

Enzi ya timu ya Amka Ya Nzega!

Duh! Things will never be the same again!

Unawakumbuka black scorpion! ?

Na kina mwene!?

Wakati ule pale gongoni na tambukareli ukikatiza baada ya saa moja usiku unapigwa kabali ya nguvu!

Duhh!
Namkumbuka SAAAANA CHANDE MWEHU!

Kwi kwi kwi kwi kwi!
 
Kuna Matunda huenda yako Tabora tu, kwa mfano Ntalali, Mbuguswa, Mamtonga nk.
Nilijaribu kuyatafuta mikoa mingine lakini sikufanikiwa.

Teh teh teh!
Mkuu mamtonga nimekula saana pale isike primary! Wakati nyerere anafundisha mihayo!

Sasa hapo piga hesabu mi mdingi kiasi gani!

Enzi hizo wale masista wa pale moravian ukiwatizama utafkiri hawa kina dada wa kiislamu!

Yaani huoni chochote kwenye miili yao zaidi ya uso tu!

Na nadhani ile moravian iko mpaka leo. Ya kule mwanza rd.

Na wakati huo igombe ndio ilikuwa beach baab kubwa!

Siku za sikukuu tunabebana kwenye malori tunaenda kucheza SAKAYONSA au Ile miziki ya Tabora Jazz karibu na Viboko wa Bwawa la igombe!

Sii mchezo!
 
Mkuu Yani leo nakumbuka mbali sn! Alafu nacheka sn!

Mboka kiboko Mkuu!

Ilikua na basi Moja la shakira linaiwa USO MDUDU!

Yuko muhindi mmoja alikuwa na mabasi ya kwenda ulyankulu anaitwa karim. Alikuwa anayapiga rangi na brush ya nyumba!

Halafu seat zake ni mabenchi ya mbao!

Teh teh teh teh!

Yalikuwa ya blue yanapaki pale Balewa street!
 
Halafu we Ntuzu mbona uko tofauti sana na wanyamwezi wenyewe!?

Umekuwa bahili wa kutoa "like" hata kwenye uzi wako mwenyewe??

Mhhhhh! Bagesha! Onene na nho! Mmmmm! lugumya mno !!
 
Last edited by a moderator:

Aisee, nawe ni wazamani kama mimi. Mwl Shigela ni mama yangu wa ubatizo, she is late lkn.

Nawakumbuka wengi, pamoja na mwl. Fundi.
Mihogo ya mzee Amir bwana ilikuwa something else na ile supu yake, hata waliosoma Iyui na Uhuru watakuwa wanaikumbuka sana. Kuna kipindi nilienda kuitafuta, nikakuta wanae ndio wanapika lkn haikuwa mizuri kama ile.

Unakumbuka poems za Chiboni? "Once l went to fairy land" na "water water, but no any drop to drink"
 
Duu sitasahau ugomvi wa Tabora boys na milambo wakigombea mademu wa kazima Enzi hizo kazima kulikuwa
na warembo....mwenye no ya evelini kisenge tafadhali....fungulia dog ya mwanaisungu club.tuliopo Dar tutafutane jamani

Aisee, Evelyn Kisenge aliyekuwa na matege na midomo fulani hivi? Kama ni yeye au mdogo wake nilikuwa naye Kazima.
 

Mzee amiri Mungu amrehemu ilikuwa kila saa kumi na mbili asubuhi lzm apite hone agonge mlango!
Na akimwaga lile hogo lage la nguvu na chachandu ya ukwaju!

Dahh!

Yale ndio yalikuwa maisha!

Wakati ule Tanzania Hotel imepamba moto vibaya!
Na yule bubu wa diamond talkies anabeba vyuma kama power murumundu!

Teh teh teh teh!

Old is gold partner!

Those were good old days!
 

You guys, mmenikumbusha mbali. Kulikuwa na mwehu mmoja simkumbuki jina, alikuwa anapenda kukaa kwenye mwembe fulani juu ya kisima oposite na tabora hotel na na kabla ya bweni jipya la ttc alikuwa anapenda kutuonesha dudu lake kila tukimuomba (datada la nne nafikiri)
 
Last edited by a moderator:
Wale Wa Kitete na cheo A. Mwamkumbuka Mwalimu Makori? Mlekwa? Misago? Ntabaye? Sabura?

Ntabaye namfahamu alikuwa jirani yetu. Ninachokumbuka, tulienda kwake kusali jumuiya akatutoa baru, kuwa hamuhitaji Yesu wetu. Lkn Mungu si ntabaye, mumewe Mungu alivyomchukua, akaanzaje kusali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…