You guys, mmenikumbusha mbali. Kulikuwa na mwehu mmoja simkumbuki jina, alikuwa anapenda kukaa kwenye mwembe fulani juu ya kisima oposite na tabora hotel na na kabla ya bweni jipya la ttc alikuwa anapenda kutuonesha dudu lake kila tukimuomba (datada la nne nafikiri)
Sawa Sawa ..urambooooooooooooooooooooooooo🙂
Kuna Matunda huenda yako Tabora tu, kwa mfano Ntalali, Mbuguswa, Mamtonga nk.
Nilijaribu kuyatafuta mikoa mingine lakini sikufanikiwa.
Wakuu salama?
Nimeona tukumbushane mambo na vituko vya mboka na story kibao za mkoa ule! Na mitaa, matunda ya porini km Magongoti, vijana Wa mboka, Mwanaisungu etc.
Wakuu Mwenye story ya mboka Au Mwenye chochote kile aje tupige porojo kidogo!
Umenigusa sana Aisee ..
Sawa Sawa ..
Abasi Mchemba, Qurash Kasimu Ufunguo, Peter Ombopa, Said John, Said Bena!
Unankumbuka Bongisa? George, Mputa? Ally Gabugila? Hawa walikua Timu ya Polisi pale!
Teh teh teh!
Mkuu mamtonga nimekula saana pale isike primary! Wakati nyerere anafundisha mihayo!
Sasa hapo piga hesabu mi mdingi kiasi gani!
Enzi hizo wale masista wa pale moravian ukiwatizama utafkiri hawa kina dada wa kiislamu!
Yaani huoni chochote kwenye miili yao zaidi ya uso tu!
Na nadhani ile moravian iko mpaka leo. Ya kule mwanza rd.
Na wakati huo igombe ndio ilikuwa beach baab kubwa!
Siku za sikukuu tunabebana kwenye malori tunaenda kucheza SAKAYONSA au Ile miziki ya Tabora Jazz karibu na Viboko wa Bwawa la igombe!
Sii mchezo!
Sakayonsaaaaaaaaa hahahaahahhaahaha kumbe tumo wazee wengi humu
Mkuu we nikitazama jina lako naona kwa mbuguswa na mantonga si wa kawaida!
Teh teh teh teh teh!
Mboka yeeee!
Makamilwa na makopa ya kufa mtu!
Piga jolowe kama hakuna serikali!
Teh teh teh teh!
mkuu we nikitazama jina lako naona kwa mbuguswa na mantonga si wa kawaida!
Teh teh teh teh teh!
Mboka yeeee!
maalim,nimepita tabora last week,nikaona mikate toka kahtaan bakery! We ndo unamiliki ile kitu!!?
maalim,nimepita tabora last week,nikaona mikate toka kahtaan bakery! We ndo unamiliki ile kitu!!?
Hahaha, nimepiga sana jolowe na kaka zangu, kuna vindege vingine vidogo vya blue, tulikuwa tunavitega kwa ungo na chenga za mchele sijui vyaitwaje.
Yule chizi, bwana tulikuwa wadogo about 12 na akawa anatuonesha dushe lake, we were just naughty girls.
umeionaje! Mitamu!?
Hao ndege watakuwa wqnaitwa zizi kkkkkkk