Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,501
<br /><br />Mimi nilikuwa naenda kuwacheck kina Mzungu wakidrible. Mimi ni mama aisee.<b>Ntuzu said: </b><br />Mwanangu Uhazili Maduu walikua kibao! Mazoezi ulikua unafanya Kweli Mkuu?
Duh Kaunga mie nilikuwa nacheza basket pale na akina mzungu, Kabrola na Chudi palepale Uhazili. Timu ya Bees ilikuwa kali sana wakati huo. Jioni disco Uhazili duh. Nimekumbuka mbali sanaaa