Kwa wale waliozaliwa na waliowahi kuishi Tabora, tukumbushane vituko vya Mboka

Kwa wale waliozaliwa na waliowahi kuishi Tabora, tukumbushane vituko vya Mboka

ww km c wa tabora kaa kmy na kinyamwenzi kinausika hapa km wa kikwete auwezi kufahamu
Kwani kuuliza vibaya ? Una uhakika gani mimi sio wa Tabora ? Nilicho uliza hizi habari wanazo ongelea wadau ni ya miaka ipi
 
Wale wanawake wa kihaya Mwanza road bado wapo ? Wanaendelea kugawa utamu ?
 
Kwani kuuliza vibaya ? Una uhakika gani mimi sio wa Tabora ? Nilicho uliza hizi habari wanazo ongelea wadau ni ya miaka ipi
Achana naye huyi mnyamwezi
je angekuwa ndiye mwenye Forim si wengi tungefukuzwa?
Mada anazoziongelea ni za miaka ya 90 kuja mbele
wakati Mwanaisungu kaja pale nje ya geti kuweka kaukumbi ka Disco mwaka 1982 kanikuta
na kalikuta Disco la TH (Tabora Hotel ya Railways) linapiga
Isevya malambo ya minga na maji kutuama hata uwanja wa Ally Hassan Mwinyi haujafikiriwa
leo watu wanataka wa Tabora tu
 
Habari za familia ya dr. Kobelo inasikitisha sana, tulikaa nao mtaa mmoja kota za boma road (tridep), mtoto mkubwa alikuwa akiitwa Tobby wa pili Steve, mdogo sikumbuki jina lake.
Toby na Steve walisoma na wadogo zangu, walikuwa na akili sana hawa watoto, niliondoka kwenda chuo, mzee naye akahamishwa, baada ya chuo post yangu ya kwanza ya kazi ikawa Tabora, makazi yangu yakawa bachu ground, kumuulizia Toby nikaambiwa yupo mahabusu kwa kesi ya mauaji kama sikosei, wakati huo dr. Kobelo ana dispensary yake bachu karibu na mgahawa wa mikendo.
dr. akawa kashikwa masikio na barmaid wa Georgies bar, dr. alikuwa cha pombe sana. akirudi nyumbani anatembeza kichapo kwa mkewe, inasemekana watoto uzalendo uliwashinda wakaamua kumdunda mpaka kumvunja mguu, Steve naye akaingia mahabusu kwa kesi hiyo.
Nilihama tbr, baada miaka kadhaa nikarudi na kukuta Toby katoka lakini tayari ni chizi, niliumia sana! kuna siku alinikuta nipo ziro bar, kaja na fuko lake la makopo, pamoja na uchizi wake lkn alinikumbuka tukaongea vizuri tu
Mama yao alikufa kwa ajari ya kugongwa na pikipiki maeneo ya chuo cha ualimu.
 
Chini ya Mwalimu Omari! Mihayo walikua na kadada hivi miaka Hiyo kwenye netball na Basketball kanaitwa Pewa keupe hivi na mwingine Joyce Masamalo! Unawakumbuka?

Hawa walikua hodari sn kwenye michezo!
Huyo Pewa kama sikosei ni Mjukuu wa Mzee Simbila. Huyu Mzee ni maarufu ktk siasa ndiye mmoja wa waasisi wa NCCR Mageuzi mkoani Tabora
Joyce Masamalo nilikuta naye hivi karibuni, yupo TRL Dodoma.
 
Wale watoto Wa OCD mabauncer!
Dah! Ntuzu umenikumbusha hao mabouncer, kila siku ni kupiga chuma tu, tulikuwa tukiwaogopa si mchezo, ikiwa kumbukumbu yangu ipo sawa nyumba yao ilikua karibu na mzunguko wa bomani
 
Habari za familia ya dr. Kobelo inasikitisha sana, tulikaa nao mtaa mmoja kota za boma road (tridep), mtoto mkubwa alikuwa akiitwa Tobby wa pili Steve, mdogo sikumbuki jina lake.
Toby na Steve walisoma na wadogo zangu, walikuwa na akili sana hawa watoto, niliondoka kwenda chuo, mzee naye akahamishwa, baada ya chuo post yangu ya kwanza ya kazi ikawa Tabora, makazi yangu yakawa bachu ground, kumuulizia Toby nikaambiwa yupo mahabusu kwa kesi ya mauaji kama sikosei, wakati huo dr. Kobelo ana dispensary yake bachu karibu na mgahawa wa mikendo.
dr. akawa kashikwa masikio na barmaid wa Georgies bar, dr. alikuwa cha pombe sana. akirudi nyumbani anatembeza kichapo kwa mkewe, inasemekana watoto uzalendo uliwashinda wakaamua kumdunda mpaka kumvunja mguu, Steve naye akaingia mahabusu kwa kesi hiyo.
Nilihama tbr, baada miaka kadhaa nikarudi na kukuta Toby katoka lakini tayari ni chizi, niliumia sana! kuna siku alinikuta nipo ziro bar, kaja na fuko lake la makopo, pamoja na uchizi wake lkn alinikumbuka tukaongea vizuri tu
Mama yao alikufa kwa ajari ya kugongwa na pikipiki maeneo ya chuo cha ualimu.
Du,nawakumbuka hawa vijana,wape pole sana,sisi Wa cheyo a NBC flats hatunaga vya kusema,tuwaachie Wa kiyungi,isevya,mwanza rd na huko uswazi
 
Dah! Ntuzu umenikumbusha hao mabouncer, kila siku ni kupiga chuma tu, tulikuwa tukiwaogopa si mchezo, ikiwa kumbukumbu yangu ipo sawa nyumba yao ilikua karibu na mzunguko wa bomani
duuh!!! wee jamaa hatufahamiani kweli, nimeishi kwenye zile flats za Tanesco na Posta jirani kabisa na makazi ya OCD. kichekesho ni kwamba nilikuwa na kaka zangu nao ni wazee wa mazoezi sasa wakawa wanatambiana nani ni mbabe zaidi....kuna bro wangu akawa anabeba chuma za mazoezi na kukimbia nacho akipandisha vilima vya cheyo kuonyesha kwamba yuko fit zaidi.

Namkumbuka mzee mmoja anaitwa Muungwana alikuwa na guest zake kadhaa pia mzee Mwenda na mzee Pancheta maeneo ya Mwanza road.
 
mboka manyema a.k.a western province, wale wa kanyenye naona siku hizi imekuwa kama sinza au tbt noma sana, kama hujaenda since 2005 ukienda now utashangaa
 
Vipi yule mwarabu wa meya bado yupo.? Nilipofika tabora kwa Mara ya kwanza nililala ronaldo guest house ipo bachu.
 
Habari za familia ya dr. Kobelo inasikitisha sana, tulikaa nao mtaa mmoja kota za boma road (tridep), mtoto mkubwa alikuwa akiitwa Tobby wa pili Steve, mdogo sikumbuki jina lake.
Toby na Steve walisoma na wadogo zangu, walikuwa na akili sana hawa watoto, niliondoka kwenda chuo, mzee naye akahamishwa, baada ya chuo post yangu ya kwanza ya kazi ikawa Tabora, makazi yangu yakawa bachu ground, kumuulizia Toby nikaambiwa yupo mahabusu kwa kesi ya mauaji kama sikosei, wakati huo dr. Kobelo ana dispensary yake bachu karibu na mgahawa wa mikendo.
dr. akawa kashikwa masikio na barmaid wa Georgies bar, dr. alikuwa cha pombe sana. akirudi nyumbani anatembeza kichapo kwa mkewe, inasemekana watoto uzalendo uliwashinda wakaamua kumdunda mpaka kumvunja mguu, Steve naye akaingia mahabusu kwa kesi hiyo.
Nilihama tbr, baada miaka kadhaa nikarudi na kukuta Toby katoka lakini tayari ni chizi, niliumia sana! kuna siku alinikuta nipo ziro bar, kaja na fuko lake la makopo, pamoja na uchizi wake lkn alinikumbuka tukaongea vizuri tu
Mama yao alikufa kwa ajari ya kugongwa na pikipiki maeneo ya chuo cha ualimu.
Daah inauma sana ni watu ambao nawafahamu,
Mboka pia kuna ushirikina sana
 
Mwalimu Shigela pamoja na Mwl Gertaback (RIP wote) hawa walinifundisha darasa la kwanza pale Mwenge Shule ya Mazoezi. Pia, Mwalimu Maduhu huyu fimbo zake zile za mianzi zilikuwa balaa, yaani wiki yake ukichelewa basi unamvizia akiianza tu ile corridor ya kuelekea ofisi ya Mwalimu Mkuu, basi wewe unatoka baru tokea pande za Uwanja wa Vita hadi kwenye zile ngazi zilizopo upande wa Magharibi unapanda fasta unazama class, sasa kuna kipindi alishtukiaga, akawa akiianza ile corridor wanafunzi si wanajua mpaka aimalize ile L utamuwahi tu, basi yeye ilikuwa akifika kati anarudi tena huku alipotoka, basi wewe umetoka baru ili umuwahi, hamadi mnakutana uso kwa uso na wewe upo katikati ya ule Uwanja unakatiza, unakuwa huna jinsi unajisalimisha tu kwa bakora moto moto. Hiyo ilikuwa miaka ya early 90's. Classmets wangu walikuwa akina Haruna Moshi "Boban", Nuru Mchemba, Mustapha Muhando, Noah Kiula, Doto Modest, Daniel Gertabark (Huyu alikuwa ni mtoto wa Mwl. Gertabark R.I.P) etc.
Mwalimu chiboni nadhani baada ya kuhama Mwenge alienda kufundisha shule moja inamilikiwa na shirika la Reli nchini "Shule ya Msingi Reli" mahali ilipo stesheni ya ITIGI. kwa wasiofahamu, mwl huyu ni mmoja wa watu waliohusika kwenye utunzi wa vitabu vya kiingeleza shule ya msingi. (kama sio madarasa yote basi ni darasa la tatu na la nne)

Mwalimu Maduhu na lafudhi yake ya kisukuma alikuwa mwalimu mzuri lakini pia bingwa wa mboko.
 
Duu sitasahau ugomvi wa Tabora boys na milambo wakigombea mademu wa kazima Enzi hizo kazima kulikuwa
na warembo....mwenye no ya evelini kisenge tafadhali....fungulia dog ya mwanaisungu club.tuliopo Dar tutafutane jamani

Ipo haja tuanzishe organization yetu tukumbushane maisha yakivyokuwa and then tucheki th way forward. Nikiangalia Tabora inazidi kuchoka siku hadi siku.
 
Undeni waaasap group mtaonana wote ndo tulichofanya sie
 
Back
Top Bottom