Kwa wale wanaolamika kuhusu Diesel Engine. Uliza chochote nkupe jibu

Kwa wale wanaolamika kuhusu Diesel Engine. Uliza chochote nkupe jibu

Yes Ni cylinder head gasket, niliamua kufanya overhaul nilibadilisha pistons zote,rings zote na cone zote lkn bado tatizo linaendelea, Yani inanikosesha amani sanaView attachment 2224741

Mkuu hiyo compressor yako kama umefanya vyote hivyo na tatizo linaendelea, adjust pressure ya upepo kwenye relief valve ya upepo, kinatochotoke hapo engine overload kwa maana upepo kama load yako unaoverload engine... hapo inatakiwa setting..
 
Mkuu hiyo compressor yako kama umefanya vyote hivyo na tatizo linaendelea, adjust pressure ya upepo kwenye relief valve ya upepo, kinatochotoke hapo engine overload kwa maana upepo kama load yako unaoverload engine... hapo inatakiwa setting..
Kwa inshu kama hii ukiadjust valve ya upepo
Engine itawaka vzur 2 cz inakua haina mzgo. Lakn output ya upepo itakuwa n ndogo
 
Inawezekana ni kweli, lkn engine ya hiyo compressor haitumii maji, yaani sio water cooling, Ni oil cooling, Ina oil cooler ambayo ipo attached kwenye engine,
Pia kupata gasket original kabisa Ni mtihani labda iwe used.
Gasket Original zpo nyng 2. Labda Boss bahili. Lakn tatzo la Gasket hakuna kwa sasa. Tatzo liliopo n Engine haina nguvu kama mwanzo
 
Kwa inshu kama hii ukiadjust valve ya upepo
Engine itawaka vzur 2 cz inakua haina mzgo. Lakn output ya upepo itakuwa n ndogo

labda setting imechezewa na output pressure inakuwa kubwa, ni test rahisi tu wanaweza
kure-adjust na kucheki perfomance..

wakati mwingine inaweza kuwa hiyo relief imekufa na controlling ya airpressure inakuwa ndogo inapelekea kuoverload.... kuna kitu kinaitwa load sensing valve ambayo ukifungulia upepo ndio inaicommand engine kuongeza revs mpaka either 2500 -3000rpm.... kama nayo imekufa inasababisha engine kuwaka na load..
 
Kwanini gari za diesel huwa zinasumbua kuwaka mida ya asubuhi au nyakati za baridi? Na nipe njia nzuri ya kutatua hiyo changamoto.
Asante kwa Swali zuri.
Mfumo/System ya Diesel n kwel inasumbua sana wakat wa asbh kwa sababu
1. Kwanza unatakiwa kwenye Diesel Engine kuna nozzle ambayo ndio inatumika kuinject Diesel hili mlipuko ufanyike. Ikitokea hii nozzle ipo na ubarid haifany kaz vzur hii inapelekea Engine kusumbua kuwaka.
SOLUTION YAKE SASA
Hili diesel Engine iwe rahisi kuwaka wakat wa Asbh au kpnd cha Barid n kufunga Heating System kwa kukausha maji/Ubarid kwenye nozzle.
 
labda setting imechezewa na output pressure inakuwa kubwa, ni test rahisi tu wanaweza
kure-adjust na kucheki perfomance..

wakati mwingine inaweza kuwa hiyo relief imekufa na controlling ya airpressure inakuwa ndogo inapelekea kuoverload.... kuna kitu kinaitwa load sensing valve ambayo ukifungulia upepo ndio inaicommand engine kuongeza revs mpaka either 2500 -3000rpm.... kama nayo imekufa inasababisha engine kuwaka na load..
Kwel mkuu pia n njia ya Kutroubleshoot pia🙏🏾🙏🏾
 
Je kuna uwezekano wa kuiswap system ya engine inayotumia diesel ili ianze kutumia petrol? Na ya petrol itumie diesel..
Haiwezekan kk. Tofaut btn Diesel na Petrol Engine n.
Diesel kuna Nozzle, Wakat Petrol kuna Spark plug.
So kubadilisha inakuwa ngumu sana mkuu. N bora ubadilishe Engine yote 2
 
Kwanini gari za diesel huwa zinasumbua kuwaka mida ya asubuhi au nyakati za baridi? Na nipe njia nzuri ya kutatua hiyo changamoto.
Diesel ni nzito kwaiyo inapokua inaanza kuingia katika injector pumpu ili ivunjwevunjwa na kuwa automized fuel inakua inachelewa kwasababu haijapata joto la kutosha kuifanya iwe imekaa ktk hali ya mvuke so hapo gari itachelewa kuwaka.
 
Je kuna uwezekano wa kuiswap system ya engine inayotumia diesel ili ianze kutumia petrol? Na ya petrol itumie diesel..
Haiwezekani kwasababu compression ratio ya diesel na ya compression ratio ya petrol ni tofaut . Kwanza cylinder ya petrol na diesel aziwez kufanana sababu maranyingi cyilinda ya diesel diesel inakua kubwa kawasababu tunatafta nguvu zaidi na kwa petrol cylinder inaweza kua ndogo sababu tunatafta kasi. Engine ya diesel ina nguvu kubwa kuliko engine na petrol. Hapo ni kubadilisha engine nzima .
 
Asante kwa Swali zuri.
Mfumo/System ya Diesel n kwel inasumbua sana wakat wa asbh kwa sababu
1. Kwanza unatakiwa kwenye Diesel Engine kuna nozzle ambayo ndio inatumika kuinject Diesel hili mlipuko ufanyike. Ikitokea hii nozzle ipo na ubarid haifany kaz vzur hii inapelekea Engine kusumbua kuwaka.
SOLUTION YAKE SASA
Hili diesel Engine iwe rahisi kuwaka wakat wa Asbh au kpnd cha Barid n kufunga Heating System kwa kukausha maji/Ubarid kwenye nozzle.
Mara nyingi shida inakua sio kwenye nozzle bali inakua tangu kwenye pump inayochakata mafuta ili yawe ktk mfumo wa spray sio kimiminika tena .
 
Mara nyingi shida inakua sio kwenye nozzle bali inakua tangu kwenye pump inayochakata mafuta ili yawe ktk mfumo wa spray sio kimiminika tena .
Kivipi mkuu? Wamaanisha wakati wa asubuhi, ufanisi wa pampu hupungua?
 
Asante kwa Swali zuri.
Mfumo/System ya Diesel n kwel inasumbua sana wakat wa asbh kwa sababu
1. Kwanza unatakiwa kwenye Diesel Engine kuna nozzle ambayo ndio inatumika kuinject Diesel hili mlipuko ufanyike. Ikitokea hii nozzle ipo na ubarid haifany kaz vzur hii inapelekea Engine kusumbua kuwaka.
SOLUTION YAKE SASA
Hili diesel Engine iwe rahisi kuwaka wakat wa Asbh au kpnd cha Barid n kufunga Heating System kwa kukausha maji/Ubarid kwenye nozzle.
Mkuu, hizo nozzle tukizipasha kwa hiyo heating system haziwezi lipuka? Kwa sababu kunakuwa na mafuta maeneo hayo au hiyo heating system sijaelewa inavyofanya kazi. ☺
 
Mkuu, hizo nozzle tukizipasha kwa hiyo heating system haziwezi lipuka? Kwa sababu kunakuwa na mafuta maeneo hayo au hiyo heating system sijaelewa inavyofanya kazi. ☺
Nozzle znapata Mafuta wakat wa kulipua tu. Na mafuta yanayo baki au unburnt diesel yanarud kwenye Tank au kwenye Diesel filter. Kwahyo nozzle hazina mafuta mkuu
 
Diesel engine nyingi zinawekwa heater plugs kwenye engine block na ziwe zinaelekea ndani ya cylinders, idadi ya heater plugs iko kulingana na idadi ya cylinders...

Kazi ya heater plugs ni kuwarm engine cylinders wakati wote unapojaribu kuwasha gari lako, kwenye haya magari au small engines, wakati wa baridi engine yako inakuwa imepoa sana hasa eneo muhimu ndani ya cylinders zako na kuna wakati kunaweza hata kuwa na unyevu au kuganda kwenye nchi za baridi... unapoingiza hewa na kuicompress (compression stroke) huku cylinders zako zikiwa za baridi basi wakati wa TDC (top dead center) hiyo compressed air itafika hapo ikiwa yabaridi japo umeicompress na at the end hata inapofanyika Diesel injection mlipuko hauwezi kutokea...

Cylinders zako au chemba zinakuwa pre-heated na heater plugs ili kuwa na joto na hata compression ikifanyika basi hapo TDC joto la hewa yako halitaathiriwa na hali ya cylinders zako maana tayari ziko na joto na mlipuko utafanyika kirahisi.

Heavy engines huwa nyingi zinawekwa fuel heater ndani ya fuel tank na kupreheat mafuta yenyewe hivyo yakiwa pumped kwenye combustion chamber tayari yanakuwa na joto na combustion inakuwa rahisi.... kuna baadhi ya heavy diesel engine pia zinakuwa na kitu kinaitwa ether starting aid kwa ajili ya kupasha joto diesel
 
Back
Top Bottom