Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekupata mkuu, tena kwa hapo ulipozungumzia starting fluid (ether) nikaona kweli haya mambo unayapata vizuri.Diesel engine nyingi zinawekwa heater plugs kwenye engine block na ziwe zinaelekea ndani ya cylinders, idadi ya heater plugs iko kulingana na idadi ya cylinders...
Kazi ya heater plugs ni kuwarm engine cylinders wakati wote unapojaribu kuwasha gari lako, kwenye haya magari au small engines, wakati wa baridi engine yako inakuwa imepoa sana hasa eneo muhimu ndani ya cylinders zako na kuna wakati kunaweza hata kuwa na unyevu au kuganda kwenye nchi za baridi... unapoingiza hewa na kuicompress (compression stroke) huku cylinders zako zikiwa za baridi basi wakati wa TDC (top dead center) hiyo compressed air itafika hapo ikiwa yabaridi japo umeicompress na at the end hata inapofanyika Diesel injection mlipuko hauwezi kutokea...
Cylinders zako au chemba zinakuwa pre-heated na heater plugs ili kuwa na joto na hata compression ikifanyika basi hapo TDC joto la hewa yako halitaathiriwa na hali ya cylinders zako maana tayari ziko na joto na mlipuko utafanyika kirahisi.
Heavy engines huwa nyingi zinawekwa fuel heater ndani ya fuel tank na kupreheat mafuta yenyewe hivyo yakiwa pumped kwenye combustion chamber tayari yanakuwa na joto na combustion inakuwa rahisi.... kuna baadhi ya heavy diesel engine pia zinakuwa na kitu kinaitwa ether starting aid kwa ajili ya kupasha joto diesel
Shukrani mkuu, ila hujatoa sababu.Heater plug
Mara nyingi hupinda kama ili overheat au wakati wa kuifunga haikufungwa kwa mtiririko unaotakiwa na mtengeneza mashine. Huyu alisema walifungua kwa sababu ilikuwa ikivujisha oil.Uko sawa, na ongezea labda kupinda kwa cylinder head.
Unaweza, bonyeza*102#Swali langu, hakuna njia kumgeuza x wangu kuwa malighafi ya mafuta.?
Uwezekano upo, ila mchakato wake ni mkubwa na gharama kupita kununua engine nyingine tuJe kuna uwezekano wa kuiswap system ya engine inayotumia diesel ili ianze kutumia petrol? Na ya petrol itumie diesel..
Diesel haiunguzwi na cheche kama kwenye gari za petroli. Kwa hiyo hakuna system ya plugs ambazo kwenye petroli huwekwa umeme na kulipua petroli ndio ifanye mzunguko ktk engine. Diesel yenyewe hurushwa katika cylinder kwa mfumo wa mvuke (mfano wa mvuke kutoka kichupa cha pafyumu) na baada ya valvu kufunga piston inagandamiza huo mchanganyo ndio mlipuko hutokea.Shukrani mkuu, ila hujatoa sababu.
Asante mkuu Coolhigh (coolant temp high)Uwezekano upo, ila mchakato wake ni mkubwa na gharama kupita kununua engine nyingine tu
Mkuu hebu nipe madini kuhusu mfumo wa HE unit injector.
Nakuunga mkono.Bongo kuna vitu huwa tunavichanganya sana
Qualification na experience
Ni nadra sana kwa mafundi wengi wa bongo kuwa na hivyo vitu viwili kwa pamoja hiyo inatokana na sababu za kimazingira.
Humu jukwaani wengi wana qualification but wamekosa experience believe me or not.
Watu wengi wenye qualification ni wabishi sana kupata experience kwasababu wanaamini walichojifunza kwenye vitabu basi ndio hicho hicho kilichopo kwenye troubleshooting, thats totally wrong.
Ukiwa na qualification jitahidi sana kujishusha nenda garage na kwenye kichwa chako ufute kabisa hicho unachokiamini mpaka pale utakapopata experience ya kutosha,, one day utakuja kunishukuru
Hii kitu nimeisema sio kwakukurupuka, nimepitia nyuzi nyingi sana zinazohusiana na mambo ya ufundi na nimeona hii weakness
Pia watu wengi wenye experience ni wavivu wa kujiendeleza kujua ulimwengu wa engineering unaendaje kwa sasa.
Gari aina ya crown na nyingne nyingi zinawasumbua wabongo wengi kwasababu ya hawa mafundi wenye experience na hawataki kujiendeleza
Bongo magari mengi hayana shida ila shida ipo kwa mafundi (hapa ni wote) wenye experience wakishirikiana na hawa wenye qualification
Sawaa nitajaribu kumuona fundiMkuu hiyo compressor yako kama umefanya vyote hivyo na tatizo linaendelea, adjust pressure ya upepo kwenye relief valve ya upepo, kinatochotoke hapo engine overload kwa maana upepo kama load yako unaoverload engine... hapo inatakiwa setting..
Block ya engine haina sleeve ya kuchomoa, (sijui unanielewa hapo maana mm Sina sijui ufundi kabisa).N
N kubadilisha sleeve 2
Kama unavyo ona hapo, hiyo niliyoshika ndo original iliyotoka na mashine nilipoweka mpya baada ya miezi 4 ikaanza kuvuja tena.View attachment 2227424Gasket Original zpo nyng 2. Labda Boss bahili. Lakn tatzo la Gasket hakuna kwa sasa. Tatzo liliopo n Engine haina nguvu kama mwanzo
Ni jina la mtu hilo. Kama vile ukisikia Ford, McKenzie, John walker etc. Ni brand zenye majina ya founders wake.hivi kwa nini ikaitwa diesel
Mmmmmmhmn bro, umeanza kuharibu uzi mapema sana na hili tangopori. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Diesel ni jina la mtu hilo.Diesel inamanisha Nguvu. Ndio maana kwenye Heavyduty Machine nyingi znatumia Diesel
Hii niliona imefanywa kwenye engine ya Land Rover 110 na 109. 110 Ilibadilishiwa mfumo chap ikawa inatumia Petrol badala ya diesel.Je kuna uwezekano wa kuiswap system ya engine inayotumia diesel ili ianze kutumia petrol? Na ya petrol itumie diesel..
Nimejifunza kituOverhaul inahitaji umakini sana. Ni muhimu sana sana kupata manual ya hiyo mashine ili kujua wao wanahitaji vipimo gani kwenye kila bolt na nati unayofunga, siyo kutumia uzoefu. Maana kwenye cylinder head mfano, engine nyingi wenyewe wanataka zile main bolts za cylinder head kuwekwa mpya kila ukifungua. Na zenyewe zina specification zake siyo kila bolt itafaa.
Je nozzle huwa zinasafishwa kama plug au ni kununia mpya tu?Haiwezekan kk. Tofaut btn Diesel na Petrol Engine n.
Diesel kuna Nozzle, Wakat Petrol kuna Spark plug.
So kubadilisha inakuwa ngumu sana mkuu. N bora ubadilishe Engine yote 2