konda msafi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 1,696
- 8,763
Samaritan Water Solution LTD ni suluhisho la tatizo la maji chumvi. Tunatengeneza machine bora kabisa za kuchujia maji chumvi na kuwa maji baridi zaidi hata ya maji ya DAWASA. Kutumia maji chumvi kuna hasara nyingi. Watu wengi hata hizi rangi za ngozi tulizo nazo hudhani ni ngozi yetu kumbe ni maji tu yametufanya tuwe na ngozi isiyovutia.
Kuoga maji yasiyokuwa na chemical yeyote hung'arisha na kuifanya ngozi yako iwe na nuru ya kuvutia na kukufanya ujisikie vizuri. Kunywa maji baridi na matamu yasiyokuwa na chemical zozote huongeza siku za kuishi na kufurahia matumizi ya maji nyumbani. Tafadhali usiteseke kwa maji ya chumvi. Kama una kisima chenye maji ya chumvi usihofu tena Samaritan Water Solution LTD wana suluhisho la tatizo lako.
Gharama za machine zinategemea na uwezo wa machine na shida iliyopo kwenye maji ya mteja. Kwenye maji kuna vitu vingi i.e. magadi, chumvi microorganism kama vile bacteria, virus na parasites pia kuna chemical kama nitrate na nitrite etc. Kabla ya kumtengenezea machine mteja lazima kwanza maji yake tuyapime maabara ili kujua yana chemical zipi.
Tukishapata report ya maabara ndio tunategeneza machine kulingana na tatizo la maji yake. Kukiwa na vitu (minerals) vingi kwenye maji ya mteja basi bei itakuwa ni tofauti na bei ya mteja let's say anahitaji machine kwa ajili ya maji ya DAWASA. Pia bei inategemea uwezo wa machine yaani mahitaji ya maji ya mteja. Mteja mwenye uhitaji wa machine yenye kutoa let's say litre 3,000 kwa siku bei yake itakuwa tofauti na bei ya machine yenye uwezo wa kutoa litre 10,000 kwa siku.
Tunatumia technology ya hali ya juu sana kuhakikisha maji yanakuwa laini, masafi na salama "Ultrafiltration with X-flow membrane technology".
Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana nasi kwa njia zifuatazo: info@samaritanwater.co.tz 0676405024 au 0682717749 au tembelea tovuti yetu kuona huduma zetu zingine.
Kuoga maji yasiyokuwa na chemical yeyote hung'arisha na kuifanya ngozi yako iwe na nuru ya kuvutia na kukufanya ujisikie vizuri. Kunywa maji baridi na matamu yasiyokuwa na chemical zozote huongeza siku za kuishi na kufurahia matumizi ya maji nyumbani. Tafadhali usiteseke kwa maji ya chumvi. Kama una kisima chenye maji ya chumvi usihofu tena Samaritan Water Solution LTD wana suluhisho la tatizo lako.
Gharama za machine zinategemea na uwezo wa machine na shida iliyopo kwenye maji ya mteja. Kwenye maji kuna vitu vingi i.e. magadi, chumvi microorganism kama vile bacteria, virus na parasites pia kuna chemical kama nitrate na nitrite etc. Kabla ya kumtengenezea machine mteja lazima kwanza maji yake tuyapime maabara ili kujua yana chemical zipi.
Tukishapata report ya maabara ndio tunategeneza machine kulingana na tatizo la maji yake. Kukiwa na vitu (minerals) vingi kwenye maji ya mteja basi bei itakuwa ni tofauti na bei ya mteja let's say anahitaji machine kwa ajili ya maji ya DAWASA. Pia bei inategemea uwezo wa machine yaani mahitaji ya maji ya mteja. Mteja mwenye uhitaji wa machine yenye kutoa let's say litre 3,000 kwa siku bei yake itakuwa tofauti na bei ya machine yenye uwezo wa kutoa litre 10,000 kwa siku.
Tunatumia technology ya hali ya juu sana kuhakikisha maji yanakuwa laini, masafi na salama "Ultrafiltration with X-flow membrane technology".
Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana nasi kwa njia zifuatazo: info@samaritanwater.co.tz 0676405024 au 0682717749 au tembelea tovuti yetu kuona huduma zetu zingine.