INAUZWA Kwa wale wanaoteseka na maji ya chumvi pata machine ya kuchujia maji chumvi kuwa maji baridi

INAUZWA Kwa wale wanaoteseka na maji ya chumvi pata machine ya kuchujia maji chumvi kuwa maji baridi

Bei inategemea unahitaji machine yenye uwezo gani? Machine yenye uwezo wa kutoa let's say litre 3,000 kwa siku haiwezi kulingana gharama na yenye kutoa litre 10,000 kwa siku.
Endeleeni na dana dana hizo mashine zipo toka 5 yrs ago hawajitangazi tu muulize anaeuza sana strawberry alinunua lini.
Mmrkuwa wagumu kutoa taarifa mimi mwenyewe nimefanyakazi na kampuni ya TRUNZ ya nje kwa ajili ya mambo hayo hayo mbona kila kitu kinaeleweka.
Maabata lazima daza zitoke kwenu kwanini.
Mnajiwekea vikwazo ninyi wenyewe na utaalam mwingi bila sababu. Ni sawa data ni muhimu lakini maji ya chumvi ya bahari yanaeleweka sasa uanzie hapo. Sababu sidhani kama kuna kisima kimezidi chumvi ya maji bahari.
 
Endeleeni na dana dana hizo mashine zipo toka 5 yrs ago hawajitangazi tu muulize anaeuza sana strawberry alinunua lini.
Mmrkuwa wagumu kutoa taarifa mimi mwenyewe nimefanyakazi na kampuni ya TRUNZ ya nje kwa ajili ya mambo hayo hayo mbona kila kitu kinaeleweka.
Maabata lazima daza zitoke kwenu kwanini.
Mnajiwekea vikwazo ninyi wenyewe na utaalam mwingi bila sababu. Ni sawa data ni muhimu lakini maji ya chumvi ya bahari yanaeleweka sasa uanzie hapo. Sababu sidhani kama kuna kisima kimezidi chumvi ya maji bahari.
Tunatumia "ultrafiltration with X-flow membrane technology" hii ni technology ya kisasa kabisa. Hao TRUNZ unaowazungumzia washaanza kutumia hii technology?
 
Sasa elezea vizuri kwa mteja na bei ya kila mtambo na capacity yake,be a good marketing manager
Sometimes kuweka bei hapa inaweza kuonekana kama vile bei sio negotiable na ukamkimbiza mteja. Ni vizuri mteja mwenye uhitaji akawasiliana na sisi.
 
Ndugu, jemtambo huu unaendeshwa kwa umeme, Dizel au Mafuta ya taa?
 
Sometimes kuweka bei hapa inaweza kuonekana kama vile bei sio negotiable na ukamkimbiza mteja. Ni vizuri mteja mwenye uhitaji akawasiliana na sisi.
Wewe ni dalali au mmiliki wa hzo bidhaa..?

Sifa kuu ya madalali si wakweli Kwenye Bei...awapendi kuweka wazi Bei ya vitu..

Sababu ya kufanya hvyo kupata mwanya wa upigaji...
 
Wewe ni dalali au mmiliki wa hzo bidhaa..?

Sifa kuu ya madalali si wakweli Kwenye Bei...awapendi kuweka wazi Bei ya vitu..

Sababu ya kufanya hvyo kupata mwanya wa upigaji...
Ukija ofisnini utanikuta mimi mwenyewe. Mimi ndio Boss.
 
Maji ya mvua je, maweza kupata chujio LA kuyafanya safi, je bei ya chujio hilo itakuaje
 
Maji ya mvua je, maweza kupata chujio LA kuyafanya safi, je bei ya chujio hilo itakuaje
Acha masihara mkuu. Wenzio tupo kazini hapa. Huwezi kununua machine ya gharama kubwa kwa ajili ya maji yanayopatikana mara chache kwa mwaka.
 
Tunatumia "ultrafiltration with X-flow membrane technology" hii ni technology ya kisasa kabisa. Hao TRUNZ unaowazungumzia washaanza kutumia hii technology?
Ndg yangu. Ebu ongea kama mtu alienda shule. Una maana kabla ya utalaam wenu huo ilikuwa haiwezekani kubadilisha maji ya chumvi kuwa safi.

Check google.
TRUNZ WATER SYSTEMS AG
kampuni ya Uswisi ( Switzeland)

Acheni longolongo.

Tumechukua brackish water sample toka Mto Ruvu na Maji Chumvi ya Baharini upimahi tulioima Central Water Lab.
Maabara ya Wizara ya Maji na kupata hati safi.

Endeleeni na ngwini ngwini zenu hizo mtafika Mungu akiwjaalia ila mi naina mnajiiona mna kitu very unique mnajidanganya. Bongo hii mitu mingi iko kwenda skuli mazee. Ila job hakuna. Jirekebisheni.

Labda huo mtambo wenu uwe unafanya firltration in " real time"
Bila kusubiria process nzima vinginevyo tusiongopeane hapa.
 
Back
Top Bottom