INAUZWA Kwa wale wanaoteseka na maji ya chumvi pata machine ya kuchujia maji chumvi kuwa maji baridi

hizo filter za kuondoa magadi na chumvi chumvi zinaitwaje mkuu ?Na je kama shida yangu ni chmvi tu naweza kufunga hiyo filter moja?Google inanichanganya
 
Uarabuni wanabadilisha maji ya chumvi yabahari kua fresh water
Uarabuni Nishati ni ya Kumwaga..., Hio njia kwao ndio cost efficient; unadhani wafanye nini mkuu wachimbe dimwi lijae maji ya mvua ambazo ni chache ?
 
hizo filter za kuondoa magadi na chumvi chumvi zinaitwaje mkuu ?Na je kama shida yangu ni chmvi tu naweza kufunga hiyo filter moja?Google inanichanganya



Kaka chumvi unaweza kuiondoa kwa kufunga reverse osmosis.. kuna teknolojia tofauti

Kuna teknolojianya kutumia special
Beads Salt tanks .. kuna ya kutumia magnetci bar.. kuna ya kutumia UV light..

Ila mfumo wa kuondoa chumvi kwenye majo ni expensive .. kwa jinsi unavyotaka kusafisha ujazo mkubwa wa maji na ndo gharama zinakuwa kubwa
 
Mbona hamuweki maelezo na gharama za machine hapo ndio mnaponichoshaga wafanyabiashara za online
Wabongo bana. Wanashindwa kusema kuwa concentration ya kiasi fulani Cha chumvi mashine yake Bei Ni hii
 
Kwa maji magumu sana softeners zenye resins ni cost effective sana maana zile resins zinakuwa charged na common salt wakati total hardness inapozidi, then maji yakitoka hapo hupita kwenye Ro to Uv filters.
 
Yeah haya yote wafanyabiashara wabongo huwa hawaweki wanataka mteja awafate huko badala ya kuweka kila kitu Ili mteja akija anafahamu.
Wanafanya hivi maana kitu unakuta bei yake halisi ni elf 10 lakini kinaeza kuuzwa elf 50 kwa mteja wa 1, elf 20 wa pili na elf 15 wa 3

Kiufupi wafanyabiashara wengi wa bongo ni wapigaji hawana bei fixed wanashindwa kujua kua biashara ya kitu cha bei ya chini ukiuza kwa wingi unaeza pata faida zaidi ya kuuza kitu bei ghali kwa watu wachache.

Tatizo ni njaa kali tu. Tuwaelewe na twende nao sambamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…