Kwa wale wapenda mazoezi ya 'Push up' tukutane hapa!

Kwa wale wapenda mazoezi ya 'Push up' tukutane hapa!

Chief mi nakumbuka zile nyuzi zako za mazoezi
Yaani leo mimi na wewe inabidi tuwe wanafunzi tujue nini tunatakiwa kufanya ili kupiga push ups 150 bila kupumzika.
 
Mazoezi Kwa kuongea ni Rahisi sana... Ishu kufata ROUTINE..

More pain more gain but push-up ni nzuri ww unayeenda push up 150 unapiga push-up za uhakika au zile za kutingisha kichwa kama Gonole

Sent using Jamii Forums mobile app
Gonole[emoji3][emoji3][emoji3] sisi kule kwetu tunamwita Gong'ole. Limjusi fulani hivi. Asee umenikumbusha mbali na nimecheka sana.

Sent using my Nokia Torch
 
Natamani sana hizo,ndio zilikuwa zangu. Home kwangu nimetenga room kabisa. Ilikuwa kila asubuhi,saa moja na nusu namalizia hapo. Naanza na kuruka kamba na kichura hiyo dk 30 nakata. Nakuja push up zile za two nakoz tu,mkupuo wa 30,30 mara 5. Nakuja unashika mikono kwa nyuma kwenye kama mwamba wa kitanda,yaani unaukigeukia huo mwamba unashuka chini na kupanda. Mikono tu na visigino ndio vinakuwa vimeubeba mwili. Hayo mazoezi nimeanza nayo miaka 20 iliyopita. Sasa kilichokuwa kinanitokea kila nikikomaa mayo sana ilikuwa napata bawasiri, yaani kama vidude vinatokea sehemu ya haja kubwa,kama tuvidole tudogo hivi. Wakati wa haja,nikimaliza ile mishipa ya ndani inauma. Ikawa hiyo inakuja na kupotea nikawa naendelea na mazoezi huku nikitafuta tiba. Nimehangaika sana na tiba. Hivi ninavyoongea nimeacha mazoezi kabisa,kwa sababu sasa nikifanya tu kidogo napata maumivu makali balaa. Bado nahangaikia tiba,tiba ni adimu sana. Inaniuma sana nikikumbuka mazoezi,natamani mno

Sent using Jamii Forums mobile app
Bawasir ina tiba. Upo mkoa gani nikuunganishe kwa mtu akupe dawa.?

Sent using my Nokia Torch
 
Nimeacha pushups nowdays kifua kimekuwa kikubwa sana,napata shida sana kuchagua mashati mazuri ninapokuwa madukani au ninapotoa size yangu mtu anapotaka kunitumia zawadi...

This is JF mama£ [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jamani wana jf mtabaki kuwa juu (in pierre's voice)


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Natamani sana hizo,ndio zilikuwa zangu. Home kwangu nimetenga room kabisa. Ilikuwa kila asubuhi,saa moja na nusu namalizia hapo. Naanza na kuruka kamba na kichura hiyo dk 30 nakata. Nakuja push up zile za two nakoz tu,mkupuo wa 30,30 mara 5. Nakuja unashika mikono kwa nyuma kwenye kama mwamba wa kitanda,yaani unaukigeukia huo mwamba unashuka chini na kupanda. Mikono tu na visigino ndio vinakuwa vimeubeba mwili. Hayo mazoezi nimeanza nayo miaka 20 iliyopita. Sasa kilichokuwa kinanitokea kila nikikomaa mayo sana ilikuwa napata bawasiri, yaani kama vidude vinatokea sehemu ya haja kubwa,kama tuvidole tudogo hivi. Wakati wa haja,nikimaliza ile mishipa ya ndani inauma. Ikawa hiyo inakuja na kupotea nikawa naendelea na mazoezi huku nikitafuta tiba. Nimehangaika sana na tiba. Hivi ninavyoongea nimeacha mazoezi kabisa,kwa sababu sasa nikifanya tu kidogo napata maumivu makali balaa. Bado nahangaikia tiba,tiba ni adimu sana. Inaniuma sana nikikumbuka mazoezi,natamani mno

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu dawa ya bawasiri ni kunywa maji mengi ukiwa una tabia ya kunywa maji mengi huwezi kupata bawasiri


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom