Nina maswali mengi
sema hivi unarudisha elfu 5 yangu hurudishi? Halafu Jibu Sirudishi Niliichomoa Mfukoni Mwako? hapa ndio tuone mimi na wewe nani mfa maji
Unakichaa wewe ni elf 5?? We sio mzima wa akili nakwambia, rudisha pesa zetu na uombe samahani mjinga wewe.
hizo elf 5 mlimpaje?
tafuta mafuta ya miski na unga wa miski na vitunguu saumu...
"Rakims"
halafu nikishavipata hivyo vitu nifanyaje? Unga wa miski upoje maana mafuta yanapatikana Rakimstafuta mafuta ya miski na unga wa miski na vitunguu saumu...
"Rakims"