kwa wale wenye "My Only" zaidi ya 10 mnawezaje kuhandle situation ya kuazimana simu mkiwa pamoja.

kwa wale wenye "My Only" zaidi ya 10 mnawezaje kuhandle situation ya kuazimana simu mkiwa pamoja.

MFALME WETU

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2021
Posts
4,071
Reaction score
10,028
Ughonile..

Hii hali najua sio mimi tu naekumbana nayo.
Unakuta mtu una "My Only" zaidi ya 10 na wote mapenzi yako 🔥 inatokea unameet na mmoja wapo wa hao "My Only" analeta pigo za kuazima simu yako mara naomba nicheze Game, mara naomba nijisnap mara nisaidie simu yako nicheki movie mara naomba nimpigie mtu and the like yaani ilimradi tu usumbufu.

Muda huo unaombwa simu kumbuka "My Only" wengine wanatuma meseji kama ugomvi tena zile sensitive, huwa mnachomokaje kwenye huu mtiani.

My Take: wanawake acheni kuazima simu zetu, mtakuja kutuua kwa presha.
 
Ughonile..

Hii hali najua sio mimi tu naekumbana nayo.
Unakuta mtu una "My Only" zaidi ya 10 na wote mapenzi yako 🔥 inatokea unameet na mmoja wapo wa hao "My Only" analeta pigo za kuazima simu yako mara naomba nicheze Game, mara naomba nijisnap mara nisaidie simu yako nicheki movie mara naomba nimpigie mtu and the like yaani ilimradi tu usumbufu.

Muda huo unaombwa simu kumbuka "My Only" wengine wanatuma meseji kama ugomvi tena zile sensitive, huwa mnachomokaje kwenye huu mtiani.

My Take: wanawake acheni kuazima simu zetu, mtakuja kutuua kwa presha.
Easy, the nearest is the dearest. Hiyo itategemea umeieleweje
 
Ughonile..

Hii hali najua sio mimi tu naekumbana nayo.
Unakuta mtu una "My Only" zaidi ya 10 na wote mapenzi yako 🔥 inatokea unameet na mmoja wapo wa hao "My Only" analeta pigo za kuazima simu yako mara naomba nicheze Game, mara naomba nijisnap mara nisaidie simu yako nicheki movie mara naomba nimpigie mtu and the like yaani ilimradi tu usumbufu.

Muda huo unaombwa simu kumbuka "My Only" wengine wanatuma meseji kama ugomvi tena zile sensitive, huwa mnachomokaje kwenye huu mtiani.

My Take: wanawake acheni kuazima simu zetu, mtakuja kutuua kwa presha.

Unawezaje Kuwa na wanawake 10? Ni Kiwanda cha konyagi fake?
 
Ughonile..

Hii hali najua sio mimi tu naekumbana nayo.
Unakuta mtu una "My Only" zaidi ya 10 na wote mapenzi yako 🔥 inatokea unameet na mmoja wapo wa hao "My Only" analeta pigo za kuazima simu yako mara naomba nicheze Game, mara naomba nijisnap mara nisaidie simu yako nicheki movie mara naomba nimpigie mtu and the like yaani ilimradi tu usumbufu.

Muda huo unaombwa simu kumbuka "My Only" wengine wanatuma meseji kama ugomvi tena zile sensitive, huwa mnachomokaje kwenye huu mtiani.

My Take: wanawake acheni kuazima simu zetu, mtakuja kutuua kwa presha.
Unatumia simu aina gani ambayo haina spam sms, blockage sms nk?
 
Ughonile..

Hii hali najua sio mimi tu naekumbana nayo.
Unakuta mtu una "My Only" zaidi ya 10 na wote mapenzi yako 🔥 inatokea unameet na mmoja wapo wa hao "My Only" analeta pigo za kuazima simu yako mara naomba nicheze Game, mara naomba nijisnap mara nisaidie simu yako nicheki movie mara naomba nimpigie mtu and the like yaani ilimradi tu usumbufu.

Muda huo unaombwa simu kumbuka "My Only" wengine wanatuma meseji kama ugomvi tena zile sensitive, huwa mnachomokaje kwenye huu mtiani.

My Take: wanawake acheni kuazima simu zetu, mtakuja kutuua kwa presha.
Kuwa na Wanawake 10 ni uchafu sasa na kujitakia maradhi yanayoambukiza na yasioambukiza naona wawili mwisho watatu ni sawa.
 
Kwanini uwe nao wengi sasa? Yaan wewe kuwa na mmoja ukikosana nae asubuhi jioni mkubalie mwingine....huyo mwingine huenda ndiyo uliyeandikiwa.

Wakiwa wengi ni ngumu kuwabalance na ni ngumu moyo wako kuwa na furaha ya kujiachia.

Wenge muda wote...nini sasa🤨
 
Kwanini uwe nao wengi sasa? Yaan wewe kuwa na mmoja ukikosana nae asubuhi jioni mkubalie mwingine....huyo mwingine huenda ndiyo uliyeandikiwa.

Wakiwa wengi ni ngumu kuwabalance na ni ngumu moyo wako kuwa na furaha ya kujiachia.

Wenge muda wote...nini sasa🤨
Imagine ukiwa na "My Only" mmoja unavoinjoy, je wakiwa kumi?
 
Back
Top Bottom