Kwa wale wote ambao wake zao ni wafanya kazi / waajiriwa asee poleni sana!

Kwa wale wote ambao wake zao ni wafanya kazi / waajiriwa asee poleni sana!

Hivi unafahamu kwamba rais wa hii nchi ni mwanamke na wewe ndiye umemwajili?

Ikiwa umetafiti kuhusu wanawake wote walioajiliwa huliwa huoni kwamba umemdharirisha hata rais wako uliyempa ajira?

Uwe unafanya utafiti wenye tija na sio kukurupuka tu na vinyuzi vya kina Pangu pakavu tía mchuzi [emoji23]
Wewe endelea kuchekelea mshahara wa mke wako endelea kuchekelea perdiem anazopewa pindi anapo kwenda safar za kikazi! Unagongewa huko kazin kwake embu tujifunze kwa mababu zetu zamani ilikuwaje au tujifunze kwa waarabu ! Acha kupenda mtelezo
 
Nyuki na ukali wake wote watu wanakula asali yake, nini mwanamke wako sijui mke...

Kama akiamua kaamua tu huna cha kuzuia...
 
Wewe endelea kuchekelea mshahara wa mke wako endelea kuchekelea perdiem anazopewa pindi anapo kwenda safar za kikazi! Unagongewa huko kazin kwake embu tujifunze kwa mababu zetu zamani ilikuwaje au tujifunze kwa waarabu ! Acha kupenda mtelezo
Ikiwa uligongewa demu huko ofisi tulia usilete maumivu yako hapa.

Mwanamke anaweza kugongwa hata akiwa mama wa nyumbani.

Mwanamke kugawa ni uamuzi wake tu, haijalishi ni mfanyakazi ama mama wa nyumbani akiamua kugawa anagawa tu akiwa home, lodge, ndani ya gari, kichakani nk.

Nakuona kabisa bado upo katika foolish age.
 
Ikiwa uligongewa demu huko ofisi tulia usilete maumivu yako hapa.

Mwanamke anaweza kugongwa hata akiwa mama wa nyumbani.

Mwanamke kugawa ni uamuzi wake tu, haijalishi ni mfanyakazi ama mama wa nyumbani akiamua kugawa anagawa tu akiwa home, lodge, ndani ya gari, kichakani nk.

Nakuona kabisa bado upo katika foolish age.
Mkuu fanya majukumu yako kama mwanaume acha kumchosha huyo mwanamke acha kumuweka kwenye mazingira ya kuliwa ukiona kugongewa mke kwako ni kawaida basi tambua wewe sio mwanaume kamili. Mkeo kwenda kazini kunaongeza risk ya kuliwa ukiwa kwenye ndoa alafu ukagundua mkeo analiwa huko kazin na ukachukulia poa basi jua uanaume wako kuna tatizo sehem!
 
Mkuu fanya majukumu yako kama mwanaume acha kumchosha huyo mwanamke acha kumuweka kwenye mazingira ya kuliwa ukiona kugongewa mke kwako ni kawaida basi tambua wewe sio mwanaume kamili. Mkeo kwenda kazini kunaongeza risk ya kuliwa ukiwa kwenye ndoa alafu ukagundua mkeo analiwa huko kazin na ukachukulia poa basi jua uanaume wako kuna tatizo sehem!
Ni mwanamume mjinga anayeweza kuwa na mawazo kama hayo unayosambaza hapa.

Katika age yako bado hujui kuwa mwanamke hachungwi.

Katika age yako hujui kuwa mwanamke hawezi kufichwa ndani ili kumuepusha asiliwe.

Katika age yako bado ujinga mwingi umekaa ndani ya kichwa chako.

Siku ukikua utaacha utoto na ujinga.
 
Habari wakuu?

Asee leo ndo nimehitimisha tafiti yangu kwa asilimia 100% kuwa wake za watu wanaliwa sana maofisini asee kama mke wako ni mtumishi mfanyakazi asee tambua brother unagongewa kwa asilimia 100 huu ndio ukweli mchungu ambao ni ngumu kuupokea asee hawa wanawake ni hatari hata awe mpole vipi , au mlokole vipi au anavaa ushungi vipi kama ni anatoka asubuhi na kurudi jion asee mkeo analiwa na mhuni mmoja huko job inaweza kuwa analiwa kimya kimya au baadh staff wanajua! Tuwe wakweli tu hawa viumbe sio wa kufanya kazi asee hawa ni kutulia nyumbani na kulea familia mwanamke hatakiwi kutafuta pesa mwanamke anatakiwa kutunzwa vyema na kutulia nyumbani kulea watoto.

Umarioo na kupenda slope baadh ya wanaume wakupenda kuona mke nae analeta mshahara nyumbani ndio hata wakigongewa wake zao huko makazini wao wanaona sawa tu! huu ni upumbavu mkubwa sana nini maana ya kuwa mwanaume sasa yan una mrisk mke wako kisa pesa anayo leta nyumbani kwann ww hiyo pesa usiitafute then unaileta nyumbani. Huku ni kupenda kitonga unafuu wa maisha kupitia mke wako ndo akienda huko kazin lazima aliwe hawezi chomoa wanawake makini ni wapo very humble, yani wao kila kitu yes tena ukute ndo ww ni boss wake asee kila kitu ukimwambia hawezi kubisha.

Ww kama mwanaume unae soma huu ujumbe acha kupenda slope mterezo wa maisha et mwanamke nae afanye kazi ili alete chochote nyumbani acha huu ujinga ww ndio ufanye kazi kwa bidii then peleka mkate nyumbani acha mwanamke akae home alee familia wapo wajinga wale wakusema et mwanamke akiamua kugongwa hata akiwa mama wa nyumbani atagongwa tu sikia niwaambie kwenye maisha unatakiwa u calculate risks kwenye maeneo tofaut tofaut haya mfano tukija kwenye ndoa ivi kati ya mke kuwa mama wa nyumbani na mke kuwa mfanyakazi kutwa safar za kikazi sometimes wanasafir wawili tu yeye na boss wake!

Hapa wapi ni risk kubwa zaid mwanamke kuliwa? Nyie wengine mnajidanganya et mwanake wangu muaminifu sana anamjua mungu acha kujidanganya brother kuna kifala kimoja kipo ofisini kwa mkeo kina mkojoza kwa siri tena mkeo anakipenda balaa! Mkeo akitulia home kuna ubaya gani tena siku hizi technology imekuwa kuna camera unafunga homa ambazo hata ukiwa nje ya mji unaview tu mazingira yako ya home kama mkeo akivusha utajua au kama akitoka bila ruhusa yako utaona kwaiyo possibility ya mkeo kuliwa inakuwa ndogo. Ila huyo muajiriwa anatoka asubuhi saa 12 na kurudi saa moja jion hoi dah asee

Kwa nilicho kishuhudia leo job mwanamke ambae mke wa mtu tena mwenye heshima zako nilikuwa namuheshim sana sana asee tena nilikuwa namtetea sana kuwa hana skendo za kipumbavu kwamba ni mwanamke anae jiheshim sana! kaliwa kwenye gari mimi nilikuwa juu ghorofani wenyewe wapo chini kwenye parking walijua ofisi watu wote tumeshasepa asee hawa wanawake sio tuwapende tu ila tuishi nao kwa akili sana sana brother wanawake wenye msimamo kwenye 100 yupo 1 tu.

Mswat II
Kuna wauza mkaa nyongeza ya mikono miwili anamla mke wa mtu, wauza duka nyongeza ya kidogo ya mafuta ya kula anajipigia mke wa mtu, muuza genge nyanya moja ya nyongeza anajipigia mke wa mtu bado kuna bodaboda,wapaka rangi nk.

Cha msingi omba kupata mwanamke anaye jitambua, mwenye hofu ya Mungu anaye kuheshimu hata kama ww upo kazini still bado anaitunza heshima yako.

Siku hizi hamna wa nyumbani wa ofisini, kuna mama wa nyumbani analiwa yy na msosi anampikia kwa hela aliyo iacha mmewe.
 
Ni mwanamume mjinga anayeweza kuwa na mawazo kama hayo unayosambaza hapa.

Katika age yako bado hujui kuwa mwanamke hachungwi.

Katika age yako hujui kuwa mwanamke hawezi kufichwa ndani ili kumuepusha asiliwe.

Katika age yako bado ujinga mwingi umekaa ndani ya kichwa chako.

Siku ukikua utaacha utoto na ujinga.
Acha kukwepa majukumu halisi ya mwanaume ukiona mwanamke wako mama wa nyumbani analiwa ovyo na watu wa ajabu ajabu basi tambua umeoa malaya au wewe mwanaume umeshindwa kumhandle huyo mwanamke kiuchumi, upendo, na kitandani! Umasikini wako na uvivu wa kupenda kitonga ndio unakusukuma ww kumruhusu mkeo akafanye kazi ili upate unafuu wa maisha!

Sasa mimi na ww nani anaonekana bado mtoto wewe unakuwaje mwanaume alafu unakuwa na pigo hizo za kijinga kwamba mkeo akigongwa huko kazin kwake wewe kwako sawa tu asee
 
Nim
ukiona mwanamke wako mama wa nyumbani analiwa ovyo na watu wa ajabu ajabu basi tambua umeoa malaya
Hoja yako inahusu mwanamke asiajiriwe ili kumwepusha na kuliwa kazini. Hoja yako iliposambalatishwa umeruka na kuhamia kwa wanawake wanaoliwa nyumbani kwamba ni malaya 😂😂😂

Hujakua ndugu, endelea kukua, siku ukikua utaacha utoto na ujinga.
 
Wewe endelea kuchekelea mshahara wa mke wako endelea kuchekelea perdiem anazopewa pindi anapo kwenda safar za kikazi! Unagongewa huko kazin kwake embu tujifunze kwa mababu zetu zamani ilikuwaje au tujifunze kwa waarabu ! Acha kupenda mtelezo

Yaani na wewe unaweka mfano wa waarabu, eti ndo tukajifunze.
 
Habari wakuu?

Asee leo ndo nimehitimisha tafiti yangu kwa asilimia 100% kuwa wake za watu wanaliwa sana maofisini asee kama mke wako ni mtumishi mfanyakazi asee tambua brother unagongewa kwa asilimia 100 huu ndio ukweli mchungu ambao ni ngumu kuupokea asee hawa wanawake ni hatari hata awe mpole vipi , au mlokole vipi au anavaa ushungi vipi kama ni anatoka asubuhi na kurudi jion asee mkeo analiwa na mhuni mmoja huko job inaweza kuwa analiwa kimya kimya au baadh staff wanajua! Tuwe wakweli tu hawa viumbe sio wa kufanya kazi asee hawa ni kutulia nyumbani na kulea familia mwanamke hatakiwi kutafuta pesa mwanamke anatakiwa kutunzwa vyema na kutulia nyumbani kulea watoto.

Umarioo na kupenda slope baadh ya wanaume wakupenda kuona mke nae analeta mshahara nyumbani ndio hata wakigongewa wake zao huko makazini wao wanaona sawa tu! huu ni upumbavu mkubwa sana nini maana ya kuwa mwanaume sasa yan una mrisk mke wako kisa pesa anayo leta nyumbani kwann ww hiyo pesa usiitafute then unaileta nyumbani. Huku ni kupenda kitonga unafuu wa maisha kupitia mke wako ndo akienda huko kazin lazima aliwe hawezi chomoa wanawake makini ni wapo very humble, yani wao kila kitu yes tena ukute ndo ww ni boss wake asee kila kitu ukimwambia hawezi kubisha.

Ww kama mwanaume unae soma huu ujumbe acha kupenda slope mterezo wa maisha et mwanamke nae afanye kazi ili alete chochote nyumbani acha huu ujinga ww ndio ufanye kazi kwa bidii then peleka mkate nyumbani acha mwanamke akae home alee familia wapo wajinga wale wakusema et mwanamke akiamua kugongwa hata akiwa mama wa nyumbani atagongwa tu sikia niwaambie kwenye maisha unatakiwa u calculate risks kwenye maeneo tofaut tofaut haya mfano tukija kwenye ndoa ivi kati ya mke kuwa mama wa nyumbani na mke kuwa mfanyakazi kutwa safar za kikazi sometimes wanasafir wawili tu yeye na boss wake!

Hapa wapi ni risk kubwa zaid mwanamke kuliwa? Nyie wengine mnajidanganya et mwanake wangu muaminifu sana anamjua mungu acha kujidanganya brother kuna kifala kimoja kipo ofisini kwa mkeo kina mkojoza kwa siri tena mkeo anakipenda balaa! Mkeo akitulia home kuna ubaya gani tena siku hizi technology imekuwa kuna camera unafunga homa ambazo hata ukiwa nje ya mji unaview tu mazingira yako ya home kama mkeo akivusha utajua au kama akitoka bila ruhusa yako utaona kwaiyo possibility ya mkeo kuliwa inakuwa ndogo. Ila huyo muajiriwa anatoka asubuhi saa 12 na kurudi saa moja jion hoi dah asee

Kwa nilicho kishuhudia leo job mwanamke ambae mke wa mtu tena mwenye heshima zako nilikuwa namuheshim sana sana asee tena nilikuwa namtetea sana kuwa hana skendo za kipumbavu kwamba ni mwanamke anae jiheshim sana! kaliwa kwenye gari mimi nilikuwa juu ghorofani wenyewe wapo chini kwenye parking walijua ofisi watu wote tumeshasepa asee hawa wanawake sio tuwapende tu ila tuishi nao kwa akili sana sana brother wanawake wenye msimamo kwenye 100 yupo 1 tu.

Mswat II
Ushauri mzuri Sana pongezi kwako
Nahisi una hofu ya mungu pia
 
Nim
Hoja yako inahusu mwanamke asiajiriwe ili kumwepusha na kuliwa kazini. Hoja yako iliposambalatishwa umeruka na kuhamia kwa wanawake wanaoliwa nyumbani kwamba ni malaya [emoji23][emoji23][emoji23]

Hujakua ndugu, endelea kukua, siku ukikua utaacha utoto na ujinga.
Hiyo hoja nilikujibu swali lako kwenye andiko lako lililopita ulisema kwamba mwanamke hata akiwa nyumbani anaweza kuliwa!

Wewe endelea kuteleza kwenye ganda la ndizi ila tambua mkeo watu wanajilia tu ofisini huko! Kisa anakusaidia kulipa school fees za watoto basi ww unaona raha unakenua tu
 
Back
Top Bottom