Amen,Yaan acha tu umaridad unaficha vingii, nilikuwa napata tabuu nikikojoa siku a ah achen hiz mambo nzur kusimulia ukipita sio kwa wakati huo ambao ndio unapata shida
Bibi alikuwa mkax yan babu alinisaidia kuniteteea lasivyo ningechezea fimbo za mkojo kila siku.
Huo usafi ilibid tu niwe baba aliniambia yan ukipita karibu yangu kama mchafu hata salam usinipe sina mtoto mchafu mimi, yaan upite mbali kabisa, sasa hata nikikojoa usiku asubuh nahakikisha naoga nguo zangu safi nimenyoosha hata nikipita kazin kwake na hiv nina sura ya baba aa ananitambulisha bint yangu huyu jmn na hela ya shule napata, hivi hiv ah ah alijua ule mkojo ungemuaibisha siku naenda msalimia na kaharufu cha mkojo halafu mzee yupo very smart akaona hii aibu hii