[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]nikitulia nitaleta kisa kilichonifanya nijifinze ngumi ilikua form2 hiyo.
Nakumbuka tulikua tuna mechi ya mpira wa miguu na PUGU BOYS Tena wao ndiyo walikuja Azaboy.
Mimi nikiwa shabiki nilikwenda upande wa PUGU BOYS na kuanzisha FUJO wakaniuliza unaweza michezo niliwajibu ndiyo nikiwa Mimi na rafiki ZANGU WAWILI.
Wakanikabidhi dogo mmoja wa Form 1 tuzichape aisee nilichezea kichapo heavy mzee mpaka sasa huwa sisahau wenzangu walinikimbia niligongeshwa vitasa na Yule DOGO mpaka nikajiona bure kabisa[emoji23]
Lyaboizz au umbw....Uboyzin kuoga afta 4months
Una mishe gani kiongoziInanikumbusha enzi zetu Singida tuliomba tufanye mock na ma form six Sema walitubania.
Nakumbuka ticha wa chemistry alikua akiingia darasani anajitetea kabisaa eti hatufundishani bali tunadiskass! Dadeki. Watu tulimeza topic zote za five kwa mkandawire. Ile elimu nyoko niulize saivi nna mbishe gani.
Lyamungo ukioga asubuhi wewe mwanaume [emoji1787]Lyaboizz au umbw....
NDIYO HUYO HUYO HANA MAKUU HUYO NINJA NI MPORE MWAMBA MIMI NILISOMA NAE O LEVEL NA ADVANCE ALIRUDI PALE TUKAGONGA NAE.Jamaa fulani kaenda hewani kidogo alikuwa yupo vizuri kiasi chake,halafu si alikuwa ni president wa shule kama sijakosea,aliniguide kiasi chake kwenye practicals za chemistry o level
AdvanceKu
Kuwa mwalimu au!?
Wewe WasemaWaende wakasome kikubwa ni kuwa na malengo yake.
Watu Ku cover topics haimaanishi wewe uwe mnyonge hapana. Ni kuvumilia na kupambana nawewe utafika
Huyu ndiyo alikua kiboko Sasa alikua mbele yetu Red Label.Kuna mwenzake alikuwa anaitwa Jamal Juma Babu, huyu jamaa alikuwa kiboko[emoji23]
Ww utakuwa OG/Mndewa mwenzangu,...Aza boy kitambo!! enzi hizo Baghdad anachana sana class!!Huyu ndiyo alikua kiboko Sasa alikua mbele yetu Red Label.
Nakumbuka Form two alinyanyua mabanda yote.
Ngozye na ukali wake wote alikua hamchapi huyu asipochomekea na sikumbuki Kama niliwahi kuona kachomekea.
Baada ya paper ya Form two Feza boys walikuja kumchukua wakamsomeshe bure lakini Ngozye (headmaster) aligoma.
Huyu Jamal Juma (babu) tulikua tunamuita babu kwa kua kichwani kwake Kuna mvi za kutosha.
Huyu mwamba alikua anashea yake ya chakula Cha asubuhi, mchana kwenye ofisi ya head Master.
Pepa za mchikichini kwa hidden kachukua sana Zawadi yeye alikua nakwenda kufanya Pepa akisikia Kuna Zawadi tu kachukua sana Zawadi za hidden pale.
Huyu dogo alipiga 1.10 inavyosemekana alikata rufaa kuwa Kuna hujuma hayo siyo matokeo yake Sasa sijui matokeo yake yalikua ni yapi baada ya kukata Rufaa.
Baada ya kumaliza Azania form four Feza boys walimchukua Advanced level mwamba alikwenda Kusimamisha mabanda matatu ya PCM yaani 1.3
Mwamba alipeleka uturuki mpaka Sasa sijui yupo wapi.
Linachekesha sana πNime cheka kwa nguvuππ€£, na Hilo jina la malaika Sasaπ
Yaap..kila mtu amepata matunda aliyopangiwa kupata..tunapitia mifumo sawa ila kila mtu ana destination yakeBidii yake imemzalia matunda
Dunia kijiji wakuu πNafurahi kugundua kuwa nakujua na vile ulisema wewe ni ngumi mkononi basi mpaka hapa wewe mimi nakujua vilivyo ndugu yangu .
Mwenzio mbali na kurukaruka ila nilienda Muhimbili na badae huko nje vipi mwanangu ulitobolea wapi mzee baba ?
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Kuwa kichwa halafu unaishia ualimu....si uzombi huu!Advance
ππππ We acha tu,vilaza tunasoma hapa kmya kmya tunapita ivi πΆπΆπΆπΆRah ya huu Uzi watu wote wamesoma PCM PCB na wamesoma izo shule Maalum [emoji23]
HUYO DOGO ALIKUA ANACHANA SANA ALIKUA HANA MUDA WA KUSOMA ANASHINDA DON BOSCO TU ENZI HIZO ALIKUA BIG KWELI.Ww utakuwa OG/Mndewa mwenzangu,...Aza boy kitambo!! enzi hizo Baghdad anachana sana class!!
ENZI HIZO ALI KIBA ANAKUJA KWENYE WELCOME FORM 1 ANAPIGA SHOOWw utakuwa OG/Mndewa mwenzangu,...Aza boy kitambo!! enzi hizo Baghdad anachana sana class!!
πππKwahio hawapaswi kuwa na familia?,nani wa kuwazalisha kwama sio nyie wanaume?Ofcourse ni macream tu ndiyo yako pale hata siku hizi.
Ubaya wa pale mademu wengi ni sura za baba na umbo la babu hivyo ukijichanganya ukatwisha mimba basi jua umeharibu taswira ya ukoo wako
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app