Kwa waliomaliza form 4, kama una roho ndogo usiende kusoma special schools (shule za vipaji maalumu)

Unaniuliza kama najua maana yake wakati nimesoma huko... Hakuna Cha uchache Wala Nini sisi shule ilikua na combination 3 tu pcm,pcb na hgl ila tupo mijitu zaidi ya 200
 
Nikajua atakuwa Harvard, oxford, Cambridge anafundisha au kaajiriwa TESLA , google na makampuni makubwa ila kaishia UDSM ,duu basi hatari sana

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Makampuni mbali mbali,mashirika,vyuo yalimtaka/vilimtaka akakataa offer akarudi nyumbani kurudisha kwa jamii(UDSM).
search youtube Martin Chegere vs salama mkasi alimuhoji.
 
hakuna mtu mwengine aliyekuwa t.o o level na advance zaid ya martin chegere.MTAJE na miaka aliyomaliza!
 

Ungesoma enzi za walimu kama Losujak aka Chifu R.I.P, Shembilu aka Mwasahili R.I.P, Mgaya aka Machakura R.I.P sidhani kama ungejaribu kuleta utemi...(timeline unayoielezea inaonesha hao waalimu hawakuwepo Ilboru)
 
nikitulia nitaleta kisa kilichonifanya nijifinze ngumi ilikua form2 hiyo.

Nakumbuka tulikua tuna mechi ya mpira wa miguu na PUGU BOYS Tena wao ndiyo walikuja Azaboy.

Mimi nikiwa shabiki nilikwenda upande wa PUGU BOYS na kuanzisha FUJO wakaniuliza unaweza michezo niliwajibu ndiyo nikiwa Mimi na rafiki ZANGU WAWILI.

Wakanikabidhi dogo mmoja wa Form 1 tuzichape aisee nilichezea kichapo heavy mzee mpaka sasa huwa sisahau wenzangu walinikimbia niligongeshwa vitasa na Yule DOGO mpaka nikajiona bure kabisa[emoji23]
 
[emoji16][emoji16]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Nilipenda sana kusoma lkn elimu haikunipenda kabsaa nilivyofeli darasa la saba tuu tu pale kwenda private ndo akili ikavurugika

Lakn ....

Sent from Tesla device phone
 
Imagine natoka kibaha nakuja kupiga kipindi mchikichini kwa mudi physics (rip) ticha

Nilipiga division 4 o level lkn leo mimi ndo yule ambae matangazo yote ya mpira kutoka azam tv hayaendi hewani bila mimi kuhusika kwa asilimia 95%.

Sent from Tesla device phone
 
Haiwezekani siku ya pure ndiosiku ya bam.hapo umetupiga fix🤣🤣🤣🤣🪑💺
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…