Kwa waliooa tu, jambo gani au kazi za nyumbani,zinakupa shida pindi mkeo anapokuwa amesafiri na umebaki mwenyewe nyumbani mpaka zinafanya umkumbuke

Kwa waliooa tu, jambo gani au kazi za nyumbani,zinakupa shida pindi mkeo anapokuwa amesafiri na umebaki mwenyewe nyumbani mpaka zinafanya umkumbuke

Alikusoma movement zako na kwa binti rahisi kuchoropoka
Na ni bora uwape kina mama watu wazima
Mim siamini mtu maan hilo sio tukio la kwanza.

Nishawai kuibiwa pia laki na 40 ndani lkn hazikutolewa sehem moja zilitolewa sehem mbili
Moja chini ya nguo kabatini, kwingine kweny wallet ndani ya mkoba,
Eeeeeh nikajajua kesho yake kabisa maan kuna pesa laki nne nilikua nimelipwa advance sherehe ya watu.
Ndo machale kunicheza kukagua vi ela vyangu mhhh vimepungua nikahisi ni mdada anaekujaga kunifanyia usafi nikiwa tait.

Basi nikampgia simu bimkubwa akasema nenda kwanza kwa mwenyekiti, kufika kwa mwenyekiti ndo kumueleza, huku na huko hadi nyumbani kwao na huyo dada.

Kumbana ndo akasema kweli alichukua pesa atanirudishia baada ya week nikamwambia mim sitak utoto nipe tu pesa angu, nikampgia simu mshkaji angu police kusikia police akakopa sijui wapi anajua yeye akanipa pesa angu.

Nikapata somo siku nyingine ndo hiyo nimetoka kununua vinguo nguo vyangu vikabebwa daaah
 
Mimi kazi ambayo inanishinda ni kutandika kitanda, wazee yaani shuka kulitoa kitandani labda niwe naenda kulifua likichafuka ila eti ni safi yaani deile hata neti sichomoi mpaka waifu ataporudi.
 
Kuamka asubuhi na kutandika kitanda, kwanza unajiuliza nipo chumbani namtandikia kitanda nani?
Nilijua wangu pekee ndo mvivu aisee unaamka unamuandalia maji breakfast mnyoshea nguo viatu kila kitu najiangaa naenda mizunguko narudi sa mbili usiku kitanda hajatandika japo nilimucha kalala..nilijitahidi kukuelewesha kuna dharula zipo utarudishwa siku moja home watu wanakuta chumba kiko vululu hivo akajirekebisha kwa kuondoa neti ila blanketi na vinhinevyo unavikuta vile vile..

Nilijifunza usafi ni hulka ya mtu na vile kalelewa,mzee wangu ni mstaafu ana 60 lakni huwezi kuta nyumba chafu mpaka anakolala huwezi kuta kuko rafu hata kama mama kasafiri.
 
Mara nyingi wanaume wavivu ndo wale huwa wanawapa transfer wake zao wakajifungulie kwao au kwa mama zao..maana wanajua watasulubika na kazi za nyumbani na kuhudumia wake zao..mimba waweke wao mama zao wakataabike kulea wazazi
 
Habari, wajf. Kichwa habari kinaeleza.
1. Mimi kuosha vyombo. Hili tu.
Wewe je ni jambo gani Hilo mpaka linafanya umkumbuke Mkeo sio mchepuko hapa nazungumzia WIFE MATERIAL. Tiririka
Kazi kubwa sana inayomshinda jirani yangu ni kujizuia kulala na house girl mke akiondoka! Anasema anajitahidi mno, lakini ni kazi kubwa kuacha!
 
Habari, wajf. Kichwa habari kinaeleza.
1. Mimi kuosha vyombo. Hili tu.
Wewe je ni jambo gani Hilo mpaka linafanya umkumbuke Mkeo sio mchepuko hapa nazungumzia WIFE MATERIAL. Tiririka
Mi kiukweli wife kama hayupo ishu inakuwa sio vitu vya kufanya. Ishu hiyo kitu nakuwa kama nimefiwa nashindwa kabisa kukaa nyumban na watu wengine. Bora niende Bar nirud usiku mnene nilale masaa kadhaa niende job. Aliwah kulazwa na mtoto siku nne daah ilikuwa ni bonge la mtihan.
 
Kuamka asubuhi na kutandika kitanda, kwanza unajiuliza nipo chumbani namtandikia kitanda nani?
Hamna kitu huwa kinanichosha kama kutoka safarini naingia chumbani nikute kipo rafu. Huwa napata uchovu mara mbili, wa safari na wa kukuta chumba hakijapangwa. Sipendi hii kitu.
 
Back
Top Bottom