Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
MmhSifa ya mwanamme wa kweli ni ukiingia kwake ukute kuchafu na vitu viko disorganized.
Ukienda anakokaa mwanamme pekee yake ukakuta ni kusafi na kumepangiliwa vizuri ujue huyo si mwanamme kamili ni mwanamke mwenzio.
Kabisaa Kal....na hongera pia ...Acheni uchafu kwa Kisingizio cha Uanaume. Tulioolewa na Waseminari hii kitu hawana, yaani kila kitu kimenyooka, ustaarabu kila mahali.
Thanx dia...yani ni hatari...wakati tumeanza kudate....ukiiingia room yake mpk unashangaa kila kitu kiko kwenye mpangilio...kitanda sasa kimetandikwa kimenyookaaa..anasema shule ilikua ukikutwa hujapangilia cube yako unayolala hyo adhabu yake sio ya kitoto...Kabisaa Kal....na hongera pia ...
Jmn Nina 2 ex's🤣
Mmoja mseminary ,alooo mpk shidaa sio uwa usafi ule ..
Huyu mwingine ni mkaka tu very smart yaani
Anafua,anadeki ,anapanga vitu ,alooo
🙌🙌🙌
Ninae ndio, muulize mama ako kijana anaemtomber ni nani, atakuambia balaa langu kwa bed.Kumbe nawe unademu?
Kwa kweli Mimi uchafu sipendi lakini inategemea na mazingira niliyopo, kwa sasa Niko peke yangu, nyumba inakuwa Safi nje ndani lakini suala la kuoga ni Mara moja kwa siku, nikikoga asubuhi ndio imeisha hiyo, nikirudi najitupa tu kama gunia la mbatata, Sina wa kunikera ya nini kujipa shida zote utafikiri nafuga majini kulala kwa masharti lazima ukoge ndio upate usingizi, nikiwa na mwenzangu nitakoga kwa sababu sipendi kukerana na mtu kwa majasho yangu lakini nikiwa mwenyewe najiachia tu si Niko kwangu?Acheni uchafu kwa Kisingizio cha Uanaume. Tulioolewa na Waseminari hii kitu hawana, yaani kila kitu kimenyooka, ustaarabu kila mahali.
Chura wako wa Aina nyingi ujue, umemaanisha Nini shangazi?[emoji849][emoji849][emoji849]Moral of the story unaogopa chura,ila nyie wakaka wa siku hizi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji16][emoji16][emoji16] dah wee jamaa hatari, Mimi naweza kuiwacha nisiioshe hata miezi sita lakini kuchomoa nachomoa Kila siku, sema unaonekana wewe ni mvivu sio mchafu, yaani kuchomoa tu net unashindwa? Mimi huwa sipendi ile harufu yake nikiamka kwahiyo ili nikirudi usiku nisiisikie inabidi nikiamka tu nichomoe, sema kwangu Mimi hakuna mbu kivile sikumbuki miezi mingapi imepita sijachomekea netiToka nilivyoweka neti mwezi wa 11 baada ya mbu kuanza. Sijaichomoa tena
Mm sio mpangiliaji mzuri wa vitu ila napenda vitu viwe katika mpangilio. Yaani apangilie mtu mwingine [emoji41][emoji41]
Nashangaa wakati vyura tunanunua kwa gharama kubwa yeye anawakimbia, too sad[emoji847]Mwanaume mzima unaogopa chura [emoji15] ati nikaenda kulala kwa mshikaji,[emoji849]
Huna hata aibu!
Huyo ni kama demu angu tu..yaani akitimba magetoni hata akikuta nimesafisha anaanza kusafisha upya,na kupanga vitu upyaa..namkubali sana kwa kipengele hichoMimi sio mchafu lakini ni disorganized haswa. Nashukuru nilipata mwanamke ambaye ni organized.
Nilivompeleka kwa wazee mara ya kwanza, maza alimuuliza wazi, umewezaje ku deal na how disorganized this nigga is?
Actually mojawapo ya vitu naenjoy kwa mama chanja ni hicho. Tumegawana, yeye kazi za kutumia nguvu nyingi hafanyi, mimi huko ndio nyumbani.
Kwel kabisa huo ni ujingaWEWE NI MPUMNAVU SANA...Nyie ndo hamuogiii nywele za ikulu hamnyoi kwapa linanuka kama mbuzi kmmk alafu unasema huo ni uanaume ulisikia wapi..Kuna chance nyingi sana zinapotea kwasababu ya Uchafu..unajishisha nyota kamanda Uchafu hautakupeleka popote zaidi ya hospital kwa mafangasi na magonjwa SHENZI KABISA
Humkeri mtu tajiri... 😆 😆Kwa kweli Mimi uchafu sipendi lakini inategemea na mazingira niliyopo, kwa sasa Niko peke yangu, nyumba inakuwa Safi nje ndani lakini suala la kuoga ni Mara moja kwa siku, nikikoga asubuhi ndio imeisha hiyo, nikirudi najitupa tu kama gunia la mbatata, Sina wa kunikera ya nini kujipa shida zote utafikiri nafuga majini kulala kwa masharti lazima ukoge ndio upate usingizi, nikiwa na mwenzangu nitakoga kwa sababu sipendi kukerana na mtu kwa majasho yangu lakini nikiwa mwenyewe najiachia tu si Niko kwangu?
Em nitafutie mseminari mmoja [emoji4]Acheni uchafu kwa Kisingizio cha Uanaume. Tulioolewa na Waseminari hii kitu hawana, yaani kila kitu kimenyooka, ustaarabu kila mahali.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]khee!Nilienda Uzazi Mwezi mmoja tu jaman nikarudi na kukuta Bakuli za plastiki zote zimetupwa, eti alikuwa akitumia haoshi anapeleka jalalani
Nilitamani nikamtupe na yeye aiseee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3]Mimi huwa nakuta shuka analotandika kitandani limefungwa pande zote ili lisichomoke. Kwahiyo akilala akiamka hamna haja ya kutandika.
Vingine navikuta kama vilivyo, hagusi kitu zaidi ya anapokaa aangalie TV. Hapiki hata chai hadi mbwa anawanunulia chakula.
Jamaa anadhani akiji softisha na kujibebisha labda ndiyo atawavuteni madem kirahisi😅.Mwanaume mzima unaogopa chura [emoji15] ati nikaenda kulala kwa mshikaji,[emoji849]
Huna hata aibu!