PAPAA JIWE
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 863
- 149
- Thread starter
- #81
Mkuu lile kunji kipindi cha uhaba wa maji unalikumbuka, mixer jamaa yetu kufia kwa swimming pool?
We achaaa kabisa mtoto wa
mama leah( Bush ),Kina Mtatiro,Kina David Silinde,Kina D ady Igogo,Odong
Odwar,likiitishwa Kunji lazima kinune kwa Maboko na Mkandala,nakumbuka
kunji la mwisho na chuo kikafungwa baadhi ya watu wakafukuzwa km Kina
Silinde,wazamini walikuwa coca cola Brrrrrr,kunji raha lakini kupewa
masaa kutokuwepo chuo balaaaa!.