Kwa waliopita UDSM- Mlimani Campus

Kwa waliopita UDSM- Mlimani Campus

Mkuu lile kunji kipindi cha uhaba wa maji unalikumbuka, mixer jamaa yetu kufia kwa swimming pool?

We achaaa kabisa mtoto wa
mama leah( Bush ),Kina Mtatiro,Kina David Silinde,Kina D ady Igogo,Odong
Odwar,likiitishwa Kunji lazima kinune kwa Maboko na Mkandala,nakumbuka
kunji la mwisho na chuo kikafungwa baadhi ya watu wakafukuzwa km Kina
Silinde,wazamini walikuwa coca cola Brrrrrr,kunji raha lakini kupewa
masaa kutokuwepo chuo balaaaa!.
 
Kuna mwanaharakati mmoja alikuwaga kundi la kina rich, alikuwa anasoma sociology, alikuwa na ngeu kichwani karibu na jicho, mnene, mweusi a.k.a yake ilikuwa ATUPENDAYE.

Yuko wapi yule jamaa??

nasikia alikujaga kuwa
ticha shule flani hivi kanda ya ziwa uko ila alileana zengwe na utawala
wa shule

ila sijapata clear info yule mtu yuko wapi
 
Siku hizi wabunge (USRC) ni matozi tu, wauza sura, wera wera

nahisi hakuna viongozi
kama wa miaka ile,mbunge alikuwa mbunge,waziri wa mikopo waziri kweli na
rais ana act kama rais kweli,ilikuwa raha sana,revolution for
changes,solidality forever ndani ya Nkrumah Hall achaaa kabisaaa
 
Hakuna mwanaharakati zama hizi...uliza tuliokutangulia zama za Mzee Panchi
 
We achaaa kabisa mtoto wa mama leah( Bush ),Kina Mtatiro,Kina David Silinde,Kina D ady Igogo,Odong Odwar,likiitishwa Kunji lazima kinune kwa Maboko na Mkandala,nakumbuka kunji la mwisho na chuo kikafungwa baadhi ya watu wakafukuzwa km Kina Silinde,wazamini walikuwa coca cola Brrrrrr,kunji raha lakini kupewa masaa kutokuwepo chuo balaaaa!.

We itakuwa tulikuwa pamoja miaka hiyo ya 2009 lilipotokea hilo kunji hadi Ojwang akarudishwa kwao Uganda. Na akina David silinde kufukuzwa. Unamkumbuka Steven Owawa?
 
Mkuu huyu Silinde tunasikia alikuwa mkali sana, hasi alipoikataa TAHLISO na kuanzisha UVIJUTA.

We itakuwa tulikuwa pamoja
miaka hiyo ya 2009 lilipotokea hilo kunji hadi Ojwang akarudishwa kwao
Uganda. Na akina David silinde kufukuzwa. Unamkumbuka Steven
Owawa?
 
Coet
walisaliti sana mgomo wa kudai ongezeko la pesa, ile 7500 haina mkono
wa Coet kabisa, wao walikuwa wanajifungia pale ndani kwao wakiwa na
kamgomo gao ka jamaa aliyedisco. Hawakuunganisha nguvu kudai pesa wala
nini.

Ardhi nao wakatuambia siku ya ruti tuwapitie pale kwao, tulipopita hakuna aliyejiunga hata mmoja, kazi yao ilikuwa kuturushia maji nje wakati tukipigwa mabomu.

Silu kawambwa kapandishwa pale swimming pool coet wako ndani ya uzio
wanachungulia, mwisho wa siku coet wote wakaondolewa chuo na college
zingine wakaongezewa pesa.

coet walikujaga kuwa na mgomo wao kumtetea mwanafunzi aliefukuzwa hatukuwasapoti maana wanajitengaga sana migomo sasa wat hapen walifukuzwa wote aisee na yule mwenzao akurudishwa
 
Mkuu lile kunji kipindi cha uhaba wa maji unalikumbuka, mixer jamaa yetu kufia kwa swimming pool?

kumne huyo jamaa alifia enxi zenu hiyo stor nilioikuta aiseee ila nasikia alikua tungi si mchezo
 
Kuna mwanaharakati mmoja alikuwaga kundi la kina rich, alikuwa anasoma sociology, alikuwa na ngeu kichwani karibu na jicho, mnene, mweusi a.k.a yake ilikuwa ATUPENDAYE.

Yuko wapi yule jamaa??

sio alikua anaitwa KIJICHO yule walifukuzwaga,au ALL SHABABU na ALISHABIBI walifukuzwaga pamoja na baadhi ya viongozi uwezi amini na revo ndo ilifutwa na mgomo mpaka sasa haujatokea

IMAGNE WAMEKAA FIELD WIKI MBILI HAWAJAPEWA ELA ???????YAAN WAMEKAA KIMYA TU
 
yah ilikuwa enzi yetu, huo usiku tumetoka pale makazi ya VC tukapeana solidarity twende swimming maana ndipo kuna maji tele.

kumne huyo jamaa alifia
enxi zenu hiyo stor nilioikuta aiseee ila nasikia alikua tungi si
mchezo
 
Coet walijiaminisha kwamba wao ndio wakubwa na ndio wanajua kunji. Wakasahau kwamba pale Coet hapana historia ya kutoa miamba ya harakati kama ilivyo kwa CASS na UDSL.

Coet ndio maana hata kuiongoza DARUSO wameshindwa kabisa, hawana ushawishi.

coet walikujaga kuwa na
mgomo wao kumtetea mwanafunzi aliefukuzwa hatukuwasapoti maana
wanajitengaga sana migomo sasa wat hapen walifukuzwa wote aisee na yule
mwenzao akurudishwa
 
Coet walijiaminisha kwamba wao ndio wakubwa na ndio wanajua kunji. Wakasahau kwamba pale Coet hapana historia ya kutoa miamba ya harakati kama ilivyo kwa CASS na UDSL.

Coet ndio maana hata kuiongoza DARUSO wameshindwa kabisa, hawana ushawishi.

ila sipendi lile jina la gwine japo sikua cass nilikua conas tumeshea wote Bsc ila nataka nijue je walikua wana refer vitabu vywa nyambari nyangine au ni vitabu vya penguine
 
Ngwini maana yake porojo porojo.

ila sipendi lile jina
la gwine japo sikua cass nilikua conas tumeshea wote Bsc ila nataka
nijue je walikua wana refer vitabu vywa nyambari nyangine au ni vitabu
vya penguine
 
sio alikua anaitwa KIJICHO yule walifukuzwaga,au ALL SHABABU na ALISHABIBI walifukuzwaga pamoja na baadhi ya viongozi uwezi amini na revo ndo ilifutwa na mgomo mpaka sasa haujatokea

IMAGNE WAMEKAA FIELD WIKI MBILI HAWAJAPEWA ELA ???????YAAN WAMEKAA KIMYA TU

Baada ya alishababu na alishabibi kutimuliwa chuoni hamnaga tena mgomo mana wanakufatilia mmoja mmoja wanakuchomoa siku hizi hna kunji tena pale kumepoa ndo mana hata hela za field hawajapewa
 
Baada ya alishababu na alishabibi kutimuliwa chuoni hamnaga tena mgomo mana wanakufatilia mmoja mmoja wanakuchomoa siku hizi hna kunji tena pale kumepoa ndo mana hata hela za field hawajapewa

hawajapewa na wako kimya huku makazini wanatia huruma unawatoa nauli kishikaji hahahhh
NAWAAMBIA KAMA BABA NA MAMA WALIKUAMBIA UKIFIKA CHUONI USIDAI HAKI YAKO ITAKUKOST

Hawajui kwamba lazima wacache waumie ili kunufaisha the rest of the dents..... KILA MTU ANAOGOPA KUTAKE RISK NAWAAMBIA INGEKUA HIVYO HATA HIYO BUKU 7 NA 500 mgekua bado hamjapata alaaa

UNAKUMBUKAA KUNA KIPINDI WATU WALIKULA KWA KUPONI HHAHAHAAHAHAH sitasahau aisee
 
Back
Top Bottom