Kwa waliopita UDSM- Mlimani Campus

Kwa waliopita UDSM- Mlimani Campus

Namkumbuka sana Dr
Osoro. Dr Amani. Dr Kasungu. Dr Mbago Dr Anna Tibaijuka. Dr.
Mtatifikolo. bw Karamagi wote sasa nasikia ni ma Professor. Yule wa
jikoni bw Chitanda na hall manager wa hall Three na hall one bw. Ali.
Dr. lipumba daa those were the days. ukitaka kuondoa uhanga una import
KCC kutoka Mwenhe au Ubungo unampa exile room mate wako. enzi zile ni
chumba watu wawili hata kiwe kile kikubwa cha hall five. walimu waliokua
na magari walikua wanahesabika kama Costa Mahalu. dr Lyakurwa. Dr.
masuha. Dr Suleiman Ngware wa Ds. wengine wengi ni uda na daladala....
Siku hizi eti na madenti wanaendesha.......

bila kumsahau Dr. Natu mwamba sasa ni naibu gavana wa benki kuu , Suleiman ngware namkumbuka mkuu halafu hivi kama sikosei mkewe au dada ake ni lecturer hapo udsm.
 
mke wake na watoto wake watatu ni malecturer pale Udsm na Ardhi.

bila kumsahau Dr. Natu
mwamba sasa ni naibu gavana wa benki kuu , Suleiman ngware namkumbuka
mkuu halafu hivi kama sikosei mkewe au dada ake ni lecturer hapo
udsm.
 
bila kumsahau Dr. Natu mwamba sasa ni naibu gavana wa benki kuu , Suleiman ngware namkumbuka mkuu halafu hivi kama sikosei mkewe au dada ake ni lecturer hapo udsm.

Prof. I presume. Suleiman ngware jamaa anamkwara sijawahi kuona. Alimkuta binti yake na jamaa kwenye kichaka wamesimama. badala ya kupandisha aliwashika mikono na kuwaambia njooni muongelee ndani nje mtaumwa na nyoka. kufika ndani akawafungulia soda . Dogo kiwembe acha jasho limtoke. alijua mtego kumbe Ngware wala.
 
Watoto mlosoma CHUO CHA KATA mna tabu sana!kelele nyiingi kichwani 0...karibuni HAVARD.
 
Umenikumbusha mbaali sana, enzi za kunji la kukomaa ifutwe 40% kisha kukomaa yasiwepo madaraja. Kipindi hicho Udsm ilikua Udsm kweli siyo hizi nyakati za leo. Odoooong...

Kunji la bwana Odong alikua akiongoza maandamano mbele na baiskeli phonex chakavu,Jamaa alikua mwanaharakati wa kweli,serikali ilimpiga ban ndani ya 24 hrs arudi kwao Uganda.
 
Mkuu nadhani baada ya enzi ya Odong na mtatiro ndio kikaja kizazi cha kipara na Rich. hapo katikati enzi za kina mlowe, kiswaga hali haikuwa tete sana.

Mlowe na Kiswaga walikuwa wateule wa Utawala.

Mlowe alipata support ya Utawala coz of Odong Odwar's desire to become the DARUSO top chief.

Kiswaga alipata support ya Utawala coz he was so cool and non active. Amshukuru aliyekuwa PM wake (Enosy) kwa kufanya kazi nzuri.

Kiswaga baada ya upresida Mlimani aliteuliwa kuwa DC.
 
Enzi zole Philip Mulugo ni katibu DARUSO. rais wake Lema Godbless na huyu Amos Makala alikua fresher. enzi zile Professor Maji Marefu ndio amehamishiwa UDSM akitokea SUA. akaja UDSM botany. John Komba aliingia kama mature entrant. alikua mwembamba huwezi kuamini na alikua mlokole.
Hahaahaaaa mkuu umemaliza kabisa haahaaa,,,,John Komba alikua mature entrant..hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Mwita mpaka alifungia ndoa pale pale Chuo,,jamaa kweli alikua fisadi japo watu walimpigania na walikua wanampenda sana kuliko makoye.
Awamu iliyofuata yaani Julius Mtatiro ndo kama alikua raisi kabisa.
 
Mimi namkumbuka kamanda wangu bahati tweve wakati wa mgomo wa kwanza wa bodi ya mkopo mwaka 2005. Rais wa daruso aliogopa kuongoza maandamano lakini tweve akatuhamasisha pale nkurumah tukaanza maandamano tukapigwa mabomu pale mlimani city wakati huo ilikuwa bado mlimani city. Tukarudo chuoni kujipanga tena kila mtu akibeba maji ya viroba tukarudi tena wakatupiga mabomu tena.

Uchaguzi wa daruso uliofuata nao ulikuwa kivutio maana kulikuwa na kambi 2, kambi ya kwanza ilikuwa na mtu anatoka law ambaye alipata support kutoka utawala na ccm akiwemo ridhiwani kikwete, wakati kambi ya pili aliyekuwa anagombea ni mwita mwikabe akipewa support na bahati tweve.

Kambi ya kwanza ilikuwa na hela kwa kampeni zao zilikuwa za kitajiri, wanafunzi wengi walipombeka bure. Wakati upande wa mwikabe support ilikuwa kubwa kwa wanafunzi wenyewe na watu walikuwa na mabadiko ya kweli. Baada ya muda uchaguzi ukafanyika nakumbuka usiku huo kulikuwa na tetesi kuwa kambi ya riz wanataka kuiba kura watu wakaenda kulinda usiku kucha. Mwisho wa siku MWITA MWIKABE akachukua uraisi wa daruso.

Mkuu baadae Mwita Mwikabe alikuja ku dissapoint sana wanafunzi,Alifanya ufisadi Daruso,pamoja na kushiriki kuuza rooms.
 
enzi za mtungirehi. foe walikuwa hawampendi. waliwahi kumshusha high table nkrumah kwa kichapo chuo kikafungwa.

Yap tena ni sisi G211 kutoka FOE.Duu nimekumbuka mbali sana akina JP!!Barozi...Mumwi!DM na Daniel Mwita na enzi hizo Mzee Puch ni moto wa kuotea mbali na msemo wake maarufu kukutana na MZEE means DEATH
 
Back
Top Bottom