Ndiyo hivyo tena,serikali na mifumo mingi ya nchi mbalimbaliUki analyse vizuri utaona hilo genge linapewa amri toka juu maana lenyewe halikuwa sure jamaa kakosa nini ila pia inaweza kuwa mamlaka ya mkoa hasa rejea swali aliloulizwa we una duka kariakoo?
DuhSijaona SATIVA kama anaitukana serikali basi tu waliamua kumfanyia waliomfanyia ,ndiyo maana walishindwa coz alikuwa hana hatia.
Kassim Hanga alikuwa na mke "Mzungu" na walibahatika kupata mtoto mmoja wa kike anayeishi Uingereza kwa Sasa.Mmmmh hadi huruma yaani. Kumbe Nyerere naye alikuwa mtu wa hovyo sana.
Hapo wenye miwani ni 3. Kassim Hanga ni yupi? Au huyo asiye na kibaraghashia?
Na hao watoto na huyo mwanamke aliyejiinamia akionekana kuwa na majonzi ni familia ya Kassim Hanga? 🙆😭
PLUS KARUME SR WA ZANZIBARIBILISI Nyerere huko aliko sasahivi anachomeka tu kama kuni, yule muhuni hastahili kukumbukwa kwa lolote.
Nyerere alikuwa wa hovyo sana. Yeye ndo kaleta ukabila na mkanda na kufanya Moshi uisiwe jamhuri.
darcity Accumen Mo
Kwahiyo wewe ulitaka Moshi iwe jamhuri? Kati ya Nyerere na mawazo yako hayo nani mkabila na mkanda? Ni vipi kama kila jimbo/lingetaka kuwa jamhuri tungekua na Nchi kweli?
Ukisoma kitabu cha Ludovick Mwijage kiitwacho " The dark side of Nyerere's legacy " utaona hayo mambo yote hata hiyo iitwayo karakana ya mateso kwa mateka ya Oysterbay ilikuwepo tangu enzi za Julius ikiitwa "gestapo"Watu wengi walitekwa wakati wa Nyerere kuliko wakati wa marais wengine wote combined!
There is a reason why anaitwa Baba wa Taifa. Mambo yote, ya kila nyanja ya utawala na mahusiano ya kijamii, ya nchi hii, yameasisiwa na Baba wa Taifa.
Baba wa Taifa aliteka mpaka mawaziri. Julius Nyerere ndio anajua alipo Waziri Mtenguliwa Kassim Hanga.
Mara ya mwisho kuonekana hadharani Waziri Mtenguliwa Kassim Hanga alionekana kapigwa pini na mapolisi viwanja vya mnazi mmoja anatukanwa na Julius Nyerere
View attachment 3066545
Waziri Mtenguliwa Kassim Hanga, mwenye miwani katikati ya mapolisi watatu, nyuma ya watoto wawili, siku ya mwisho ya uhai wake. Mkutano huu ulipoisha aliondoka na mapolisi wa Nyerere, hakuonekana tena milele na milele...
Uki analyse vizuri utaona hilo genge linapewa amri toka juu maana lenyewe halikuwa sure jamaa kakosa nini ila pia inaweza kuwa mamlaka ya mkoa hasa rejea swali aliloulizwa we una duka kariakoo?
Siku moja nikawekwa sero ,kwa ujinga wa mtu mmoja hivi wa karibu , huko nyuma yupo na wapambe nduguze maana pesa ipo ,Jana nilipoona hii thread sikutaka ku-commend kwa sababu nilishangaa kuona hili swali ni episode gani inagusa zaidi. Swali langu kwa mleta mada, hivi kuna episode ambayo ni nafuu kwa mtu aiyetekwa? Kwanza mtu akiwa mikononi mwa polisi tu inaanza kutia shaka moyo wako, sasa hii ya kutekwa!
Huko sasa ni kuwafanya wajione miungu watu.
Mapande yao lazima wapewe, wao wenyewe wanajijua ni slow thinkers.
Ugomvi mwingine inawachukua muda kuelewa ohoo kumbe angle hii atukutazama.
Sasa bila ya kukosoana nao watajuaje?
They know legit criticisms, achana na machawa wa hovyo ya JF. Sio kila mtu lazima akuelewe JF wachangiaji wanapishana perception.
Wqchaga wangekuwa wamechoka sana. Bora Nyerere amewapa fursa ya kutafuata nafasi za kiuchumi Tanzania mzima.Nyerere alikuwa wa hovyo sana. Yeye ndo kaleta ukabila na mkanda na kufanya Moshi uisiwe jamhuri.
darcity Accumen Mo
Nyuma ya mzee mwenye kibaraghashia, mwenye shati jeupe, yuko katikati ya polisi wamekaa nae kulia na kushoto.Mmmmh hadi huruma yaani. Kumbe Nyerere naye alikuwa mtu wa hovyo sana.
Hapo wenye miwani ni 3. Kassim Hanga ni yupi? Au huyo asiye na kibaraghashia?
Na hao watoto na huyo mwanamke aliyejiinamia akionekana kuwa na majonzi ni familia ya Kassim Hanga? 🙆😭
Kwa maelezo niliyoyapata juu ya kisa hiki ni kwamba kutenguliwa kwa Hanga lilikuwa ni shinikizo toka kwa Rais wa Zanzibar Karume Sr, kuwa kama Nyerere anataka Muungano uendelee kuwa na afya basi amfukuze,kumkamata na kumrejesha Hanga Zanzibar.
Nyerere alielewa nia ovu ya Karume Sr, lakini kutokana na hayo wanaita 'maslahi ya kisiasa' akamrejesha Zanzibar alikofika na kuuawa bila kushitakiwa.
Si Kassim Hanga pekee aliyefanyiwa unyama huo, ni viongozi wengi sana kwenye utawala wa Karume Sr, waliuawa kwa mtindo huu wa 'kupotezwa'.
Basi nami kusema ukweli nilisoma historia zilizotoholewa, nakubali nili-'brain woshiwa'.Nyuma ya mzee mwenye kibaraghashia, mwenye shati jeupe, yuko katikati ya polisi wamekaa nae kulia na kushoto.
Sasa unajua kosa lake ? Alikwenda kukaa nyumba ya Kambona wakati Kambona kakimbia.
Kassim Hanga alipotumbuliwa alijiondokea bila bifu, akasimama Egypt akafikia kwa balozi, halafu akaenda Guinea, halafu akiwa njiani kurudi nyumbani akasimama Uingereza, nyumbani kwa Kambona. Kambona anasema akamwita Hanga chumbani kwake, akamwambia unarudi Tanzania, watakukula kichwa. Hanga hakuwa convinced. Kambona akawaita Wazanzibari wawili nyumbani kwake akawaambia hebu ongeeni na huyu mtu, anaenda kuwambwa msalabani huko kwa Nyerere. Hanga akawaambia, jamani mimi nimeondoka sina ugomvi na Nyerere. Haya. Alipofika airport Kiwalani Jet Lumo, akaja rafiki yake mwingine na mke wake, wakamwambia umerudi huku ? Nyerere anatafuta kichwa chako kwenye sinia.
Hanga akaenda kufikia nyumbani kwa Kambona, Msasani, two doors down the block kutoka kwa Nyerere. Kesho yake magazeti yakaandika Hanga kaingia nchini. Gestapo wa Nyerere wakaja kumkwida. Akaenda mahabusu, baada ya siku chache akaletwa Mnazi Mmoja kwenye mkutano wa Nyerere. Toka siku ile mpaka leo anaejua alipo Hanga ni Mungu, shetani na Nyerere.
Ingekuwa Nyerere alikuwa under pressure ya Karume, na kwamba Karume ndio mbaya, basi Nyerere asingemleta Waziri Hanga uwanjani Mnazi Mmoja yeye mwenyewe binafsi Nyerere kumtukana Hanga.
Huwezi kum sanitize Julius Nyerere. Nyerere hasafishiki, alikuwa na yeye ni primitive, ignorant third world despot, masikini ya Mungu.
Baada ya kuwa wakubwa na kupata elimu ya juu inayofundisha kujifunza kwa kutafiti, wengine tulishajiosha majini na maruhani ya ule utoporo wa mwalimu wa siasa wa primary school, ambae nae, tuseme ukweli, alikuwa hazimo, you and I know that.... masikini ya Mungu. Mwalimu wa primary aliyetufundisha hizi historia alikuwa hana uwezo wa kuchambua ule uharo wa propaganda za chama kimoja cha enzi zile, hajui chochote.
Episode 3.. Mpige chuma
Somo ni kwamba kutukana viongozi wa nchi mwisho wake uwa sio mzuri.
Lord Acton, “Power tends to corrupt and absolute power corrupts absolutely”...anayetukana viongozi wa nchi anapaswa kushtakiwa na kuhukumiwa kifungo.
..Na viongozi isiwe chama tawala peke yao, hata miongoni mwa wapinzani kuna viongozi.
..lakini pia hivi viongozi wetu wanajisikiaje wanapopewa taarifa kwamba mwananchi aliyewatukana ameuliwa?
Bado anatumbua zile 35 zikiisha anapiga tukio jingine aingiziwe walau 100/200 mjini mipangoKikubwa kama anawafahamu walomfanyia hivyo achukue hatua stahiki pia ajirekebishe kwenye yale mabaya ambayo yalimpelekea madhila maana bado uhai anao