Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Wabongo wanaogopa Gari za kisasa kwa kudanganyana eti zinatumia umeme mwingi, Sasa mlitaka Gari za kisasa zitumie nn? Kuni?Rav 4 za kizamani zinapapatikiwa hapa Tanzania...watu wa nchi nyingine hawana time nazo..
[emoji23][emoji23][emoji23]eti kuni...Wabongo wanaogopa Gari za kisasa kwa kudanganyana eti zinatumia umeme mwingi, Sasa mlitaka Gari za kisasa zitumie nn? Kuni?
Unajua mentality ya Kibongo kuhusu Toyota ni mbaya sana...yaani kuanzia mafundi mpaka wamiliki huwaambii kitu kuhusu toyota.....Nilikwenda kutafuta gari show room nikaona Nissan x-trail nikaona bei yake bahati nilikwenda na fundi mzoefu.Nikatoka hapo nikaenda show room ingine nikakuta RAV4 nikaona bei yake.Nikagundua tofauti ya Nissan x-trail na RAV4 ni million 5.Kwa maana hiyo Nissan x-trail bei yake ili upate RAV4 unaongeza mil5.
Nikashikwa na ubahili nikataka kwenda kule kwenye x-trail yule fundi akaniambia mzee kama hela ipo chukua hii haraka kwa umri wako hustahili kuwa na x-trail itakutesa.
Nikachukua ile RAV4. Niliporudi jioni nikakutana na rafiki yangu kwa umri Nampa shikamoo kanizidi miaka 7 akaniambia mdogo wangu ungechukua hiyo X-trail ningekupiga makofi leo.
Hadi leo sijajua alikuwa na maana gani ila niwaambie hadi leo sijajutia kuchukua ile RAV4. Jamaa yangu mmoja siku moja akaniambia Nissan x-trail ni nzuri ila zina matatizo mawili 1.Spares za Nissan ni ghali sana ila ukiweka unasahau 2.Nissan zina mifumo ya umeme wenye electronics sana hivyo itakupa shida sana iki fail kitu kidogo RAV4 kidogo imekaa ki manual manual wadau changieni.
Ila ushauri wangu ukienda chukua gari au kuagiza usifuate mkumbo kuwa niwe na la kama flani kikubwa tafuta fundi na mzoefu wa magari uende naye
nipo DSM mpwaUpo wapi
Za gari ganiIridium Spark Plug. [emoji5]View attachment 1625774
XtrailZa gari gani
Rekebisha hizo figureNinataka kulipia nissan xtrail hii milioni 167,00,000 ushauri wenu kabla ya yoteView attachment 1637130View attachment 1637131
Rekebisha hizo figure
5w30 boss ukipata full synthetic inakuwa poa zaidi...Wakuu X-trail NT30 natumia engine oil aina gani? Manual wameandika kijapan sielew
15w-30 haifai kabisa?5w30 boss ukipata full synthetic inakuwa poa zaidi...
Kama inapatikanasiyo mbaya...inafaa kabisaa15w-30 haifai kabisa?
Wauzaji wengi wa spea ukiwaambia unataka spea ya Nissan fulni, wanakujibu tu kirahisi hakuna...ika ukienda na sample wanakutolea stoo.Nazipenda gari za Nissan kutokana na kazi zangu za SITE.
ukweli nissan wana gari nzuri sana yaani zinavumilia mikiki sana maporini.
first nilikuwa na X-trial but now NINA TERRANO II yani raha tu aiseee now nataka ya kukatia misere "Nissan Skyline" 2021 january naikamata.
but tatizo kwenye pedal ya mafuta na spare tu kama vijisenti vya mawazo basi tumia toyota tu.
spare nilishawahi hangaika mpk nilimaliza kariakoo nzima hahahah......
Kazi kweli kweliWauzaji wengi wa spea ukiwaambia unataka spea ya Nissan fulni, wanakujibu tu kirahisi hakuna...ika ukienda na sample wanakutolea stoo.
kwahivyo mkuu litre 30 unafika mbeya bila utata 🤣Mimi nimekuwa nazo mbili, moja niliuza nikanunua nyingine. Kwa kifupi ninaiamini sana kwa safari zangu.
IPO stable sana pamoja na udogo wake na inachanganya haraka sana. Huwezi kuamini kuwa inazipita gari nyingi sana kwa suala la mwendo.
Katika safari ina uwezo wa kutumia lita 1 kwa km 30 hasa ukiwa spidi kati ya 50 - 100 hapo.
Figure ziko sawa sema hizo alama za mkato ndo kashindwa kulocate zikae katikati ya namba ipiRekebisha hizo figure