Kwa wamiliki wote wa magari ya Nissan tukutane hapa

Unajua mentality ya Kibongo kuhusu Toyota ni mbaya sana...yaani kuanzia mafundi mpaka wamiliki huwaambii kitu kuhusu toyota.....

Mfano mrahisi nchi nyingi za west Africa magari kama VW na mengine ya Ulaya yanatawala hizo toyota hazina nafasi..

Kuke unakuta VW zimejaa mpaka zinapiga kazi kama taxi....

Toyota kukubalika Tz haimaanishi kuwa ndiyo gari bora zaidi ya yote, kuna ukanda mwingine hazikubaliki unaweza kuta mazda ndiyo inakubalika
 
Ninataka kulipia nissan xtrail hii milioni 167,00,000 ushauri wenu kabla ya yote
 
Nazipenda gari za Nissan kutokana na kazi zangu za SITE.

ukweli nissan wana gari nzuri sana yaani zinavumilia mikiki sana maporini.

first nilikuwa na X-trial but now NINA TERRANO II yani raha tu aiseee now nataka ya kukatia misere "Nissan Skyline" 2021 january naikamata.

but tatizo kwenye pedal ya mafuta na spare tu kama vijisenti vya mawazo basi tumia toyota tu.

spare nilishawahi hangaika mpk nilimaliza kariakoo nzima hahahah......
 
Wauzaji wengi wa spea ukiwaambia unataka spea ya Nissan fulni, wanakujibu tu kirahisi hakuna...ika ukienda na sample wanakutolea stoo.
 
kwahivyo mkuu litre 30 unafika mbeya bila utata 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…