Muwe na balance ya mafuta sasa, maana 3500cc ni canter hio katika mfumo wa saloon car.VQ35 engine...V6..very powerful....high performance...ni kama ndege ya chini
Usipokuwa makini na pedal ya mafuta...jiandae kurest in peace
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3] mambo ni mengi na mengi ni mambo mkuuHela ya mafuta ipo lakini au ndio vijana mnataka ku bling na mafuta ya efu 10/10
Kiujumla, kwenye manunuzi Nissan ni cheap sana kuliko toyota yenye sifa zinazofanana. Uzuri wa Nissan hawana spea counterfeit sokoni, ndio sababu apea zake ni ghali. Ila kwa anaependa vya kudumu, Nissan is the way to go.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaa ah funika sura Wewe mega tuKuna Nissan Patrol moja Old Model nilipata kwa mzungu mmoja aliyekuwa anafanya research ya wanyama pori ..Yeye alilinunua DT Dobbie
Basi ikafika wakati anaondoka akaliuza kwa bei ya kishkaji sana ...sijawahi badilisha hata bolt zaidi ya kufanya service ya kawaida na kubadilisha Timing Belt
Juzi nasafiri nikamuachia jamaa yangu mmoja sasa sijui alipasulia wapi rejeta bila kujua akaendesha hivyo kilichotokea gari ilizima yenyewe kuja kufungua Bonnet ya gari engine imeoza yote kilicho baki salama ni cylinder head na block ..80% ya engine imekufa ..kuulizia sasa spare na kuifanyia overhaul niliishia kushika kichwa ,nilichofanya ni kutoa matairi nikalifunika mpaka majaliwa tena
Jamaa yangu mwenyewe maisha ya kuunga unga kama yangu ,mke wake mwenyewe sio mzuri maana ningemmegea kupunguza hasira basi ndio hivyo tena
Nissan ni gari nzuri sana ila isije ikaua kitu kikubwa lazima ulie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tehteh sasa sijui wanakuwa hawajiamini na michango wanayotoaKuna watu wana multiple ID humu.....halafu wengine wanachangia hoja baadae wanarudi na ID nyingine kusupport hoja yao ya kwanza[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana[emoji39][emoji39]No wonder Nissan Civilian City Buses zimekuwa nyingi kuliko Toyota Coaster sahivi. Hongera wapenzi wa Nissan!
Balaa lake zito hiyo engine ndogo ila speed ni hatari,ila vifaa vyake havipatikani sana bongo,ila unaagiza tu siku hizi
We mjanja kumbeKama una hela za mawazo usijiingize huku
Utapaki gari nyumbani
Hasa upande wa maintenance
Japo mi sitoki nishafikaa...sanasana ntahamia BMW,Audi au Benz
Toyota am soleee kwa kweli..
Ttz la Toyota nyingi(ofcz naexclude vitu km Majesta,Camry,MarkX hivii na SUV nzuri nzuri zile) taste ziko basic tu wkt hizi brand zina touches of luxury kwny design na interior
Welcome to JF lol hahahahahWe mjanja kumbe
Fuga usilichukulie poa unaweza kupewa warning na boss mwenye wivuuHii fuga ndio dude nilalolitaman [emoji3]View attachment 1055195
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Kwamba nisikuone nayo offsini hapa [emoji2]Fuga usilichukulie poa unaweza kupewa warning na boss mwenye wivuu
Mkuu nina nissan patrol y61 gari safi na zuri saana nimepiga mnoo safar za dar tabora, dar urambo, dar mwanza, huu mwaka wa 5 gari haisumbui japo sasa hiv vyuma vimenikaza siitembelei najichanga nipate fuba la maana nizungumze na jamaa wanajiita capitalzone4*4 nimeona kazi zao instagram wanafufua mpaka magari yaliyokufa na kupimp mazima lakin naona wamebobea kwenye landrover zaidi.
Hii gari ni safi saana mkuu, siwez kufananisha na gari nyingime sababu hii ni gari yangu ya kwanza, ndio nimeanza kujifunzia humo humo na kuwa konki liquid humo humo..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili gari lina utamu sana...ukimpa mke wa jirani lift akifika anaweza kukataa kushuka....unaweza kusikia kiingereza hapa...Ooh baby, please take me to your place...haya ni majaribu sasaFuga usilichukulie poa unaweza kupewa warning na boss mwenye wivuu
Sio ghali tu ata upatikanajinwake sometimes ni kipengelee..nakumbuka kuna mzee mmoja alikuwa anatafuta CV joint ya Nissan libert mbona alijutaa alizunguka maduka ya spare yote jijin dsm haikupatikana iyo Cv joint ikabidi aagize dubenga
Duh!! Huyu jamaa ni gegedu kweli mpaka kuua engine ya nissan si mchezo kidogo, kesi kama yako ilinitokea morogoro natokea tabora kumbe rejeta ilikuwa na tobo inavujisha taratibu, naanza kuiacha morogoro mjini nipo kwenye mashamba ya mkonge, napanda tuta gari ikazima yenyewe nikashuka kufungua bonet ni mvuke tu!! Wakatokea washikaj na canter wakanitisha humo ndio basi tena, dah!! Presha ikapanda nikikumbuka nyumban kuna canter dereva kakaanga engine ipo juu ya gogo na hii nayo tena engine nimekaanga mwenyewe na vyangu sina nikawa napiga mahesabu ya kuuza screpa tu, kwakuwa tulikuwa mbali na maeneo ya watu tukasukua kurudi nyuma tukafika sheli kuna mlinzi tukamuelezea akasema anamfahamu fundi akampigia simu fundi akaja mie nikawa nachungulia game nakumbuka walikuwa atletico madrid vs celta vigo, fundi kuja akaicheki kidogo akatupa matumain akasema km ilijizima yenyewe kisa maji basi engine nzima, labda ingekuwa oili akasema nissan engine si nyepesi kufa kwa maji huwa zinawahi kujizima, ila itakapozima usiifosi, akatuagiza maji tukaenda kuchota msikit fulani upo karibu, tukaacha ipoe kabisa, kuweka maji akasema tuwashe, kuwasha jino moja tuu!! Mnyama kaunguruma nikapata matumaini kucheki ndio akasema rejeta inavujisha ila taratibu saana na kadri muda unavyokwenda tatzo linaongezeka, so tutembee na madumu ya maji, akasema ikizima njiani tumshitue, basi na kweli mpka tunafika uraian ilikuwa kazi ni moja tu kuongeza maji kila mara.Kuna Nissan Patrol moja Old Model nilipata kwa mzungu mmoja aliyekuwa anafanya research ya wanyama pori ..Yeye alilinunua DT Dobbie
Basi ikafika wakati anaondoka akaliuza kwa bei ya kishkaji sana ...sijawahi badilisha hata bolt zaidi ya kufanya service ya kawaida na kubadilisha Timing Belt
Juzi nasafiri nikamuachia jamaa yangu mmoja sasa sijui alipasulia wapi rejeta bila kujua akaendesha hivyo kilichotokea gari ilizima yenyewe kuja kufungua Bonnet ya gari engine imeoza yote kilicho baki salama ni cylinder head na block ..80% ya engine imekufa ..kuulizia sasa spare na kuifanyia overhaul niliishia kushika kichwa ,nilichofanya ni kutoa matairi nikalifunika mpaka majaliwa tena
Jamaa yangu mwenyewe maisha ya kuunga unga kama yangu ,mke wake mwenyewe sio mzuri maana ningemmegea kupunguza hasira basi ndio hivyo tena
Nissan ni gari nzuri sana ila isije ikaua kitu kikubwa lazima ulie.
Sent using Jamii Forums mobile app