makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Hili tatizo sijawahi kukutana nalo mkuu.Tatizo spare moja ikiharibika mfuatano wa kuharibika vitu vingine nao unafuatano, unaweza kupata kichaa!
Yeah spare zake ukifunga huwazi tena!
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikosa hata zile spea za kufananisha??Sio ghali tu ata upatikanajinwake sometimes ni kipengelee..nakumbuka kuna mzee mmoja alikuwa anatafuta CV joint ya Nissan libert mbona alijutaa alizunguka maduka ya spare yote jijin dsm haikupatikana iyo Cv joint ikabidi aagize dubenga
Kesi kama hii imemkuta rafiki yangu...yeye ana Nissan xtrail....mambo ya ushkaji yakamponza.Duh!! Huyu jamaa ni gegedu kweli mpaka kuua engine ya nissan si mchezo kidogo, kesi kama yako ilinitokea morogoro natokea tabora kumbe rejeta ilikuwa na tobo inavujisha taratibu, naanza kuiacha morogoro mjini nipo kwenye mashamba ya mkonge, napanda tuta gari ikazima yenyewe nikashuka kufungua bonet ni mvuke tu!! Wakatokea washikaj na canter wakanitisha humo ndio basi tena, dah!! Presha ikapanda nikikumbuka nyumban kuna canter dereva kakaanga engine ipo juu ya gogo na hii nayo tena engine nimekaanga mwenyewe na vyangu sina nikawa napiga mahesabu ya kuuza screpa tu, kwakuwa tulikuwa mbali na maeneo ya watu tukasukua kurudi nyuma tukafika sheli kuna mlinzi tukamuelezea akasema anamfahamu fundi akampigia simu fundi akaja mie nikawa nachungulia game nakumbuka walikuwa atletico madrid vs celta vigo, fundi kuja akaicheki kidogo akatupa matumain akasema km ilijizima yenyewe kisa maji basi engine nzima, labda ingekuwa oili akasema nissan engine si nyepesi kufa kwa maji huwa zinawahi kujizima, ila itakapozima usiifosi, akatuagiza maji tukaenda kuchota msikit fulani upo karibu, tukaacha ipoe kabisa, kuweka maji akasema tuwashe, kuwasha jino moja tuu!! Mnyama kaunguruma nikapata matumaini kucheki ndio akasema rejeta inavujisha ila taratibu saana na kadri muda unavyokwenda tatzo linaongezeka, so tutembee na madumu ya maji, akasema ikizima njiani tumshitue, basi na kweli mpka tunafika uraian ilikuwa kazi ni moja tu kuongeza maji kila mara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania tunakariri magari. Yan tuna kama ile taste ya magari flani. Tazama bei za magari yakiwa bado JAPAn. Unakuta lava 4 mpaka dola 800 ila kufika juku unaikuta unauziwa million 15.Nina swali kuhusiana na hii gari.
Kwa nini sokoni, kwa iliyotumika hapa nchini, Bei yake huwa chini sana??
Je huwa zinatatizo gani common hizi gari??
Badilisha Radio funga yenye android 7.1.Namiliki Nissan Dualis, changamoto niliyopata na baadhi ya wamiliki ni Navigation System (Nissan Carwings) kuwa kwa Kijapan. Mpaka sasa hatujapata mtu ambaye anaweza kubadilisha language from Japenese to English. Otherwise gari iko vizuri sana
Mara nyingi engine kuharibika inasababishwa na nini?Duh!! Huyu jamaa ni gegedu kweli mpaka kuua engine ya nissan si mchezo kidogo, kesi kama yako ilinitokea morogoro natokea tabora kumbe rejeta ilikuwa na tobo inavujisha taratibu, naanza kuiacha morogoro mjini nipo kwenye mashamba ya mkonge, napanda tuta gari ikazima yenyewe nikashuka kufungua bonet ni mvuke tu!! Wakatokea washikaj na canter wakanitisha humo ndio basi tena, dah!! Presha ikapanda nikikumbuka nyumban kuna canter dereva kakaanga engine ipo juu ya gogo na hii nayo tena engine nimekaanga mwenyewe na vyangu sina nikawa napiga mahesabu ya kuuza screpa tu, kwakuwa tulikuwa mbali na maeneo ya watu tukasukua kurudi nyuma tukafika sheli kuna mlinzi tukamuelezea akasema anamfahamu fundi akampigia simu fundi akaja mie nikawa nachungulia game nakumbuka walikuwa atletico madrid vs celta vigo, fundi kuja akaicheki kidogo akatupa matumain akasema km ilijizima yenyewe kisa maji basi engine nzima, labda ingekuwa oili akasema nissan engine si nyepesi kufa kwa maji huwa zinawahi kujizima, ila itakapozima usiifosi, akatuagiza maji tukaenda kuchota msikit fulani upo karibu, tukaacha ipoe kabisa, kuweka maji akasema tuwashe, kuwasha jino moja tuu!! Mnyama kaunguruma nikapata matumaini kucheki ndio akasema rejeta inavujisha ila taratibu saana na kadri muda unavyokwenda tatzo linaongezeka, so tutembee na madumu ya maji, akasema ikizima njiani tumshitue, basi na kweli mpka tunafika uraian ilikuwa kazi ni moja tu kuongeza maji kila mara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Badilisha tu radio. Weka yenye abdroid 7.1. Ilyokuja nayo vunja na iyo ya android. Android ina navigation systemWe're sailing the same boat ...ukimpata mtaalam wa Navigation system unishtue mkuu...inanipa shida sana hii!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wabongo wananunua gar kwa kuangalia jirani yake au mshindani wake ana gar ganHizo bei haipungui sana kwa sababu ya demand yake sokoni....
Kwenye biashara kuna kitu kinafanya kazi namna hiyo....high demand leads to high price
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaahaaa[emoji1787][emoji1787]...hapa mbavu sina hivoo!Kesi kama hii imemkuta rafiki yangu...yeye ana Nissan xtrail....mambo ya ushkaji yakamponza.
Kuna mshkaji wake akaja akamuazima gari jamaa akaenda Sehemu inaitwa mbuguni karibia na ukuta wa Magufuli...kumbe njiani kuna tatizo lilitokea rejeta ikawa inavijisha jamaa yeye akakanyaga mafuta tu...si unajua tena gari la kupewa, unalifanyia sifa.
Injini ikapata moto sana jamaa haelewi yeye na gia tu, kwa bahati akafika safari yake..anafika anataka kupaki gari likazima lenyewe...malaika alimuongoza hakuliwasha...akafanya yaliyompeleka kwa muda mrefu huku gari linapoa ila boya haelewi chochote.
Alipomaliza mishe zake akaja kwenye gari, kupiga jino moja gari likawaka..kama kawaida mzee na gia anafika tu home kwa mwenye gari, gari likazima...sasa hapa wote wawili walikutana vichwa maji...hawakujishughulisha kutafuta tatizo ni kwa nini gari limezimika..Ikawa usiku, ikawa asubuhi...mwenye gari akawasha ,likawaka akenda mtaa wa jirani kama Km 2 hivi akaeguza kurudi home wakati anaiacha barabara ya vumbi aingie kwenye lami gari ikazima na kulikwa na kamteremko pale so usukani ukafeli na brake zikawa ngumu gari likamshinda jamaa coz naye ni lena lena...likaserereka kwenye lami likagonga gari lingine ubavuni....wakaongea sijui walielewanaje...ila wakayamaliza..
Akaita break down kufikishwa garage mafundi kufungua bonnet engine imekaangika to the maximum...rejeta haina maji hata tone....wakamsimulia fundi tangu mwanzo kule mbuguni gari ilivyozima...akawaambia wangeongeza maji wangenusuru Injini..
Kulikuwa hakuna namna hata ya kureface cylinder head....
Jamaa akanunua injini nyingine maisha yakaendelea..from that day, anakagua maji kuliko kitu kingine kwenye lile gari.
Haya ni madhara ya kupeana gari na washkaji wazembe na mwenye mali kuwa mzembe kutokukagua gari mara kwa mara
Mimi huwa nina desturi...rafiki yangu ni rafiki yangu mimi...ila si rafiki wa mali yangu hata kama nimeinunua 750/=
Bongo tunarudishana sana nyuma kisa ushkaji usio na mashiko
Sent using Jamii Forums mobile app
Jiwe lakin Jini
Toyota ma-fekero ni mengi sana mkuu...utashindwa kutofautishaKwani Toyota usahau mkuu? Funga bush original! Spark plugs recommended na vyote uone kama hutasahau!
Cylinder head inapigwa pasi aka refacing n na inadunda kama mpya vile...changamoto ni kwamba ikipinda tena inaweza isifae twna kupiga pasi..hiwa kuna kiwango chake cha mwisho cha kuoiga pasiMara nyingi engine kuharibika inasababishwa na nini?
Je kupiga pasi engine ni sahihi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu wana multiple ID humu.....halafu wengine wanachangia hoja baadae wanarudi na ID nyingine kusupport hoja yao ya kwanza[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haaahaaa[emoji1787][emoji1787]...hapa mbavu sina hivoo!
Na Mimi nilikuwaga zwazwa hivo kipindi mgeni na gari[emoji16][emoji1787]...naaambiwa kila siku kagua gari kabla hujaondoka mi aaah wapi! Kwanza kufungua boneti ya gari mvivu kinomazz!...
Siku moja rejeta ikapasuka full kuvuja mi mziki mkubwa mwendo mrefu sina habaree...gari likanizimikia bagamoyo road! Tena main road...asee siku hiyo niliangua kilio watu wananishangaa! Niliogopa nilidhani nimeharibu gari[emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sitakaa nisahau!
In a nutshell toka nipate sekeseke hilo miaka minne imepita jamani mi nakagua gari kabla ya kuondoka utafikiri fundi, maana nilishafikia kipindi cha kuwa nabeba watoto wa paka kwenye boneti, kumbe walikuwa wanaishi mle[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaaaaa wewe kiboko, hadi watoto wa paka unabeba !Haaahaaa[emoji1787][emoji1787]...hapa mbavu sina hivoo!
Na Mimi nilikuwaga zwazwa hivo kipindi mgeni na gari[emoji16][emoji1787]...naaambiwa kila siku kagua gari kabla hujaondoka mi aaah wapi! Kwanza kufungua boneti ya gari mvivu kinomazz!...
Siku moja rejeta ikapasuka full kuvuja mi mziki mkubwa mwendo mrefu sina habaree...gari likanizimikia bagamoyo road! Tena main road...asee siku hiyo niliangua kilio watu wananishangaa! Niliogopa nilidhani nimeharibu gari[emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sitakaa nisahau!
In a nutshell toka nipate sekeseke hilo miaka minne imepita jamani mi nakagua gari kabla ya kuondoka utafikiri fundi, maana nilishafikia kipindi cha kuwa nabeba watoto wa paka kwenye boneti, kumbe walikuwa wanaishi mle[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
No wonder Nissan Civilian City Buses zimekuwa nyingi kuliko Toyota Coaster sahivi. Hongera wapenzi wa Nissan!
Kama una hela za mawazo usijiingize huku
Utapaki gari nyumbani
Hasa upande wa maintenance
Japo mi sitoki nishafikaa...sanasana ntahamia BMW,Audi au Benz
Toyota am soleee kwa kweli..
Ttz la Toyota nyingi(ofcz naexclude vitu km Majesta,Camry,MarkX hivii na SUV nzuri nzuri zile) taste ziko basic tu wkt hizi brand zina touches of luxury kwny design na interior
Mafundi ndiyo wabovu....wanashindwa kuyengeneza magari nje ya Toyota.....Hivyo kundi kubwa linalazimika kubaki huko kwenye toyota.Toyota tupa kule.....afu zimekuwa nyingi kama uniform aaaaahaaa
Aseee!...sipati picha gari kuwaka moto[emoji848][emoji848][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Inashauriwa kukagua under the hood angalau kila baada ya siku mbili....si maji tu...unaweza kuta panya wameingia wakala nyaya gari lipige shoti liwake..
Sent using Jamii Forums mobile app