witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahah THUBUTU mzee kama unataka usage bearing jaribu kufanya ivyo ktk magari ya NIssan...ILA tulipata moja ilikuwa inafanana meno ya nje na ndani issue ilikuwa shanga la nje lile tuliyopata shanga ilikuwa kubwa alafu Cv joint ya kwake shangaa zake zilikuwa ndogooo (hahahahahahaa) tukaforce kutoa shanga tuvishe mzee chamoto tulikionaaaaaAlikosa hata zile spea za kufananisha??
Cv joint ikishakubaliana meno ya nje na ndani na ukubwa kipenyo ukafanana unafunga bila tatizo....nimeshafanya hivi kwenye nissan..
Huyo hakujiongeza
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hili ni funzo...kwa yeyote anayetaka kumiliki gari lolote la nissan masharti na vigezo vyake kuzingatiwahahah THUBUTU mzee kama unataka usage bearing jaribu kufanya ivyo ktk magari ya NIssan...ILA tulipata moja ilikuwa inafanana meno ya nje na ndani issue ilikuwa shanga la nje lile tuliyopata shanga ilikuwa kubwa alafu Cv joint ya kwake shangaa zake zilikuwa ndogooo (hahahahahahaa) tukaforce kutoa shanga tuvishe mzee chamoto tulikionaaaaa
Wewe uko kama mimiKwa sasa gari yangu ni Nissan tu. Nikitoka Nissan ni gari za ulaya. Nimekuwa na Nissan Terrano 2, Nissan Note 2 na Xtrail. Pia naagiza Elgrand, dualis na Fuga Hybrid.
Ooohoo how I love Nissan! Riding is my passion...
Zipo stable barabarani, imara na spea ukifunga unasahau.
Tangu nihamie Nissan, no stress at all.
Swali lako lipo too general....Fundi gani mzuri wa nisssan
Dar es Salaam gereji gani nzuriSwali lako lipo too general....
Mafundi wazuri wa nissan wapo wengi tu....inategemea upo mji gani hapa nchini...au nchi ipi kama upo nje ya nchi
Gari linaundwa kwa mifumo inayotegemeana kama binadamu.
Kifaa fulani cha gari kikiharibika usipokibadilisha kwa wati, lazima kifaa kingine ambacho kipo kwenye mfumo huo kiharibike..
Ndiyo maana inashauriwa ukihisi sehemu fulani inagonga wahi kutatua kabla haijaambukiza sehemu nyingine..
Hii ipo kwa magari yote
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefatilia thread zako nyingi kuhusu nissan note unanishawishi sana hapa nipo na mawazo vipi spareparts kwa dar haitokuwa tatizo?
Kwa Dar haina tatizo..mimi nipo Arusha na ninapata....ila bei ni kubwa kidogo kuliko toyota
Nimefatilia thread zako nyingi kuhusu nissan note unanishawishi sana hapa nipo na mawazo vipi spareparts kwa dar haitokuwa tatizo?
Hili gari lina utamu sana...ukimpa mke wa jirani lift akifika anaweza kukataa kushuka....unaweza kusikia kiingereza hapa...Ooh baby, please take me to your place...haya ni majaribu sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaenda kula mzigo kiulaini kabisa
mashine tata hio😂😂😂Hii fuga ndio dude nilalolitaman [emoji3]View attachment 1055195
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Ahsante mkuu, ngoja nihangaikie hizo sensorSent using Jamii Forums mobile app
Usipate taabu na sensor,nenda Ilala Ulizia Duka la Jack Umeme,anazo za kila aina. Mie ninaendesha Nissan Extrail, iliwahi kuzingua gear box sensor, ikawa nikiondoa gari, halibadili gear kwenda no 2,inakaa no moja tu pia inavuma kama vile iko kwenye mchanga. Mafundi kibao wakashindwa kuitengeneza. Siku moja natoka Kisarawe nateremka kilima cha Pugu kuelekea mwisho wa lami nikaona kibao barabarani kimeandikwa "Fundi gearbox Auto" na namba za simu,nikapaki,nikachukua namba nikawapigia jamaa, nikawapa ramani ya nyumbani,kesho yake wakaja vijana wawili. Baada ya kutest wakafungua kudude fulani wakaniambia nenda katafute hiki, Kumbe ni gearbox sensor,nikaingia Ilala,kuulizia nikaoneshwa kwa Jack Umeme, akaniuzia hicho kidude 60,000.00. Kilipofungwa mpaka leo sijawahi kupata shida tena.[/QUOTE]Magari ya siku hizi hayataki nyundo...Ahsante mkuu, ngoja nihangaikie hizo sensor
Ana Id fake 2,Idimi=bizplan.Amevurugwa na harakati za maisha akaziachia akidhani ana resend SMS moja kwa I'd hiyo hiyo kumbe ameruka ukuta.
Maltipo fake huyohiyo mbinu ya ku quote mzee baba..dah.
Hatari sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kutamani ndugu. Sisi ndo mambo yetu haya. Sina nyumba wala kiwanja nakula maisha na NISSAN FUGA. Tusipangiane maishaHii fuga ndio dude nilalolitaman [emoji3]View attachment 1055195
Sent from my SM-G920P using Tapatalk