Kwa Wanandoa: Bila tendo la ndoa hakuna ndoa(?)

amakyasya

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2013
Posts
3,480
Reaction score
914
Jamani hakuna ubishi kuwa tendo la ndoa ndilo linaloshikilia ndoa bila hivyo hakuna maana ya ndoa.

Hata kama kuna mataizo mwanandoa hastahili kumnyima unyumba mwenzie, cha kufanya ni kutafuta suluhu ya tatizo huku huduma ya msingi ya ndoa ikiendelea kama kawaida.

Kilichotokea kwa mumewe Flora Mbasha mpaka kabaka shemejiye ni matokeo ya kunyimwa unyumba kwa muda mrefu na aibu hii ni kwa wote wawili. Katika hili sio kwamba nampongeza huyu jamaa kubaka ila najaribu kusisitiza wajibu wa mwanamke au mwanandoa kwa mwenzie.

Tafakari, chukua hatua.

==========
Maoni:

Mwanamke, unapombania tendo la ndoa mmeo, fahamu hilo Ndio ndoa yenyewe


Maoni 2:

Ndoa ni zaidi ya Tendo la ndoa!


Recommended for reading:

1) Kwa Wanandoa: Conjugal Right/Haki ya tendo la ndoa

2) Tendo la Ndoa: Faida/umuhimu wa kushiriki tendo hili

3) Zifahamu nyakati kuu 3 muhimu za kufanya tendo la ndoa

4) Sababu 10 kwa nini mnatakiwa kufanya tendo la ndoa asubuhi mara kwa mara kwa wanandoa
 
Unajua sababu ya kumnyima?ushamfumania mara kadhaa,kwa nini nsikunyime labda mi sikutoshi ndo maana. flora si chizi amnyime maradhi mengi jamani,tutauana.Kingine mwanaume hana akili milupo wote hawa ndo umfate shemeji???genye hizo genye gani hasa mpya chini ya jua!
 
Alitakiwa ajichunguze na kujitathmini kwa nini mumewe anachepuka ili aweze kumuweka kwenye himaya yake vizuri. Inawezekana Flora mwenyewe alianza uvivu na kusahau wajibu wake kwa mumewe.
 
Wewe huwa unalala nao hadi ukajua kua jamaa alikua ananyimwa K?
 
Sometimes ukiwa mlokole kupitiliza ndo matokeo yake hayo.
Ila mdau kwanini abake wakati hawa viumbe wamejaa kibaoo.
 
Alitakiwa ajichunguze na kujitathmini kwa nini mumewe anachepuka ili aweze kumuweka kwenye himaya yake vizuri. Inawezekana Flora mwenyewe alianza uvivu na kusahau wajibu wake kwa mumewe.


Mbona wewe km vile umeshathibitisha kwamba Florah ndo alikua na matatizo?? hata kama Florah ndo alikua na matatizo kwa kumnyima mumewe but does that makes it okey kwenda kubaka?? siangetafuta jinsi nyingine ya kujiridhisha. Mbona kuna watu wananunua wanawake wa kufanya nw tendo la ndoa na wengine wanatafuta watu ambao wako tayari.

Hivi km ni kweli huyo mume alikua anacheat we ulitaka Florah ndo aendelee kumvuta tuu, mbona tunasahau kuwa hata Florah ni binadamu na anahisia pia? Mbona kuna wanaume wanapatiwa kila kitu and still wanacheat??? Hata wanawake pia wapo wanaopata kila kitu and they still cheat.

So kwangu mie kila mtu awe responsible kwa makosa yake na sio kutaka kumsingizia mwingine ndo amesababisha. Kila mmoja wao ana mchango wa kuifikisha ndoa yao hapo ilipo no matter who started.
 
nasema na nasema tena ukishampa mwanamke nafasi akamiliki pesa kuliko mwanaume umekwisha.
 
^^
Wawe watumishi wa Mungu, wawe watu maarufu wa fani zote, Wawe wachangiaji bora wa miaka yote JF au popote pale...
Ukweli utasimama, hawaishi maisha ya mapenzi yaliyotofauti na dunia hii. Si ajabu kwao kwani yakifunguliwa yaliyofichwa katika nyumba zetu, kuna siri zinazonuka
^^
 
hawa kumbe walimpokea bwana sio....?sasa nini wanadhalilishana....!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…