safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,837
- 17,412
Ikiwa umefahamu uzi wangu kwamba ni sheria basi naam napangia watu matumizi.mkuu unataka kupangia watu matumizi ya viungo vyao?
Na ikiwa umeufahamu uzi wangu kama ni ushauri na maoni basi sipangii watu matumizi