Kwa Wanandoa: Bila tendo la ndoa hakuna ndoa(?)

Kwa Wanandoa: Bila tendo la ndoa hakuna ndoa(?)

ndoa ambayo wanandoa hawashiriki au hawaridhishani kunako 6x6 ni ndoa mfu
Leo naomba tuwekane wazi juu ya hili maanake naona vijana wengi siku hizi wana maoni tofauti juu ya ndoa na maana yake na namna ya kuidumusha

Wengi wana illusions za maisha ya ndoa walio wengi wanaamini tendo la ndoa linachukua asilimia kubwa zaidi na mengine ni kidogo sana

Ukweli ni kwamba ndoa ni zaidi ya kugegedana,japo tendo la ndoa ni kiungo kikubwa katika ndoa lakini hilo sio kila kitu,ndoa ina mengi na ndo maana tukiwa alter tunaapa katika shida na raha ukiingia kwenye ndoa kwanza kumbuka umejitoa kwa ajili ya yule mwenzi wako ambaye mnatoka katika malezi tofauti tofauti na pia mmeunganisha koo mbili ambazo zote macho yao bado yapo juu yenu kwani ninyi kufunga ndoa haimaanishi kwamba mtakuwa na ulimwengu wenu wenyewe,kwa sababu hizo basi katika ndoa haya yanaweza kutokea

kutoelewana kati yenu

kutoelewana kati ya mmoja wenu na ndugu

ugonjwa wa kufisha kati ya mmoja wa ndoa

malezi ya watoto

na mengine mengi ambayo ukiyaangalia yakijitokeza hata huwezi kufikiria tendo la ndoa

Hivyo basi my take kwa vijana tuache kuliweka tendo la ndoa kama kipaumbele ambacho tungependa wenzi wetu wa ndoa wawe nacho sijui awe mjuzi kiasi kuonja kabla ya ndo ndio imekuwa habari ya mjini,hilo ni la ziada tu mengi yanahusika

Nawasilisha karibuni wote kwa pamoja tulijadili hili na wenye uzoefu watupe uzoefu wao ili sote tjifunze na tunufaike.
 
Ni kweli tendo la ndoa sio kila kitu ndani ya ndoa, lakini ndoa ambayo wanandoa hawashiriki au hawaridhishani kunako 6x6 ni ndoa mfu. Just that!!!!!
ndoa ambayo wanandoa hawashiriki au hawaridhishani kunako 6x6 ni ndoa mfu - facts
 
uko sawa kabisa mkuu Eli79 tendo hilo ni muhimu sana lakini halipaswi kutufanya mpaka tuhalalishe au tubadilishe mipangilio ambayo Mungu ameiweka just for the so called sex no,ni muhimu sawa lakini Mungu anasemaje kuhusu shake well before use?

I'm not for sex before marriage. I don't advocate it, though I did shake before I got into it.[emoji12] [emoji12] Hivyo, point yako hapo naiunga mkono 100%. Kujaribu na kuonja ovyo kunaharibu maana nzima ya ndoa na wala hakujengi!!!
 
Labda niulize maanake sipo kwenye ndoa,biologically umri unavyoenda ufanisi wa miili yetu unapungua ikiwemo ufanyaji wa tendo la ndoa. Je na upendo unapungua?
Upendo unazidi kuimarika kadri ndoa inavyokuwa. Mkifikia umri ambao uwezo wenu wa kufanya mambo umepungua, bond yenu ni kubwa mno na hakuna wa kuwatenganisha tena. "Ni maoni yangu tu"
 
Upendo unazidi kuimarika kadri ndoa inavyokuwa. Mkifikia umri ambao uwezo wenu wa kufanya mambo umepungua, bond yenu ni kubwa mno na hakuna wa kuwatenganisha tena. "Ni maoni yangu tu"
and thats when you realize there is more to marriage than sex.
 
I will ask you this simple question Paulo Sergio De Souz which quantity of men your woman had ever been with her whole life until she meets you will be okay with you?

If I had it my way, I'd wish for her to have been with none. But I know the drill, and it is what it is. I've been around the block long enough to be bothered by that now.
 
Kiongozi, Blue G tendo la ndoa ni jambo kuu, linapaswa kutiliwa mkazo na kufanyiwa kazi na wanandoa wote kwa pamoja. Upendo ndani ya ndoa hauwezi kutimilika bila kufurahishana kitandani, lazima mume na mke wote wawajibike ipasavyo kuhakikisha they please each other on bed, NI LAZIMA na sio hiari. Yote haya yanaenda sanjari na kuwajibika katika nyanja zingine ndani ya nyumba.
Trust me, usipofanya majukumu yako kitandani ipasavyo unaiharibu nyumba yako. Swali, je upo kwenye ndoa?
Sio kweli kwamba tendo la ndoa ndiyo linatengeneza ndoa, umeongea kinyume sana tendo la ndoa halitengenezi upendo, upendo ndiyo unatengeneza tendo la ndoa. ndoa inavipengele vingi ili ije kutokea cha kwanza ni upendo kati ya mwanamke na mwanaume, upendo huu umebeba mambo mengi yakiwemo kuheshimiana, kuvumiliana kuelewana na mengine mengi. Kumbuka tendo hilo linafanywa hata na machangudoa na wanafanya wakiwa hawapendani. Mkuu tendo la ndoa sio kiunganishi pekee cha wanandoa kuwa makini
 
I'm not for sex before marriage. I don't advocate it, though I did shake before I got into it.[emoji12] [emoji12] Hivyo, point yako hapo naiunga mkono 100%. Kujaribu na kuonja ovyo kunaharibu maana nzima ya ndoa na wala hakujengi!!!
hapo mkuu tunaenda sawa kabisa ila na me am a bit curious kama you don't advocate for it mbona ulishake before banaahhh shetani alikupitia auu?
 
..and how do you bond if you don't satisfy each other on bed? Mind you, am talking of young couples who need to bond through so much, sex inclusive.
your answer is within that line.
 
Sio kweli kwamba tendo la ndoa ndiyo linatengeneza ndoa, umeongea kinyume sana tendo la ndoa halitengenezi upendo, upendo ndiyo unatengeneza tendo la ndoa. ndoa inavipengele vingi ili ije kutokea cha kwanza ni upendo kati ya mwanamke na mwanaume, upendo huu umebeba mambo mengi yakiwemo kuheshimiana, kuvumiliana kuelewana na mengine mengi. Kumbuka tendo hilo linafanywa hata na machangudoa na wanafanya wakiwa hawapendani. Mkuu tendo la ndoa sio kiunganishi pekee cha wanandoa kuwa makini

Nisome tena kama unaweza kiongozi, nimesema upendo UNATIMILIZWA na kuridhishana kimwili. Sijasema kuwa tendo la ndoa linaleta upendo.
 
Me naamini sex ndo kitu kikuu kwenye ndoa as ni kitu cha pekee unachopaswa kushare na partner wako only.... but "THERE IS MORE TO MARRIAGE THAN SEX". Kuwa great sex partners/ compatible kwenye sex doesn't guarantee a happy and healthy marriage

Tunaadvocate mno "no sex before marriage", nafikiri hapa hapa tungejiuliza hawa watu wanafanyaje kujenga upendo, kubond na hadi ifikie hatua wanatambua na kukubaliana kwamba he/she is the one na wakati hakuna sex kati yao. Jibu ni easy tu kwamba kuna mambo mengine mengi yanayojenga mahusiano imara ukiachana na sex

Tunashukatana na sex partners wengi wazuri sana tu kunapohusika lakini still tuliachana nao, kwa nini na wakati walikuwa wanaturidhisha mno kunako? Ni kwa sababu kuna Vitu apart from sex tunavyohitaji kwa wenzi wetu. Vile vile kuna watu tulipendana nao kama mapacha but leo tumemwagana nao, possibly tumeoa/ Kuolewa na wengine. Jibu ni kwamba Ndoa ni zaidi ya upendo pia, we simply don't get married kwa sababu tu tunapendana. Sex is not everything kwenye ndoa (nishasikia sana eti vikojoleo havinuniani, so kuna wanandoa wanasex tu afu baada ya hapo mnuno unaendelea teh), na ndoa bila sex sijui kama kuna ndoa (ukiacha sababu za magonjwa)
 
If I had it my way, I'd wish for her to have been with none. But I know the drill, and it is what it is. I've been around the block long enough to be bothered by that now.
it could be possible to be in your own way if you wanted to and believe in that just assume if all men preferred waiting to marriage do you think you would have a woman with a long chain? its us ourselves who makes things worse by introducing useless things

and tell me this honestly how do you feel if you realize that your woman had at least six men before she met you and that was because of doing a matching thing
 
point yangu hapa ni kwamba halipaswi kuwa jambo kuu kiasi kusahau kuna mengi yanahusika zaidi ya hilo,

Hapo sikuungi mkono mdogo wangu!

Halafu unanifanya niwaze;

Aidha
1. kuna mtu amekuomba game kabla ya ndoa...

Au
2. ...????!
 
Back
Top Bottom